Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Matatizo yalikuwepo matatizo yataendelea kuwepo.angalia namna mbunge anavyo wasemea bungeni, matatizo yenu jambo la kutatua si kazi ya moja kwa moja la mbunge,kumbukeni serikali yetu inatatizo la fedha hilo wana wa ccm mnafanya hamjuwi.
 
Kesho axbuh na mapema nenda lumumba kachukue buku mbili Ya chai...maana leo ofisi zmefungwa shame on u
Wacha kukalili,mwenyewe anaongea kile kinacho mkera mpoje, yaani mmekalili mtu akitoa yamoyonimwake katumwa badirikeni
 
Kama kura yako ndio iliyompitisha basi mnyika kwishney ila kama ni siasa unafanya nakushauri uiambie serekali ya ccm baibai...
 
hv wewe unajua majukumu ya mbunge lakini tuanzie hapo kwwnza?
 
Mkuu kwani wakati mnachagua hamkujua kuwa mnyika siyo kiongozi? Sasa kumbukeni kuwa mnyika ni muigizaji wala siyo kiongozi wa kutumikia watu poleni sana.
 
Mbona chama chetu kimefanya mambo mengi makubwa tangu tupate uhuru inakuaje wewe kuhusu maji ubungo wakati serikali ha ccm imefanya kazi ya kusambaza maji nchi nzima au ubungo sio sehemu ya Tanzania...
Ubungo mbunge alisema ataleta maji yeye hategemei serikali ya ccm sasa imekuwaje?
 
Hivi umelazimishwa kukaa hapo?mnawasemea watu tu!ulitaka atoe pesa zake mfukoni kuwezesha maji ambayo yamekuwa tatzo sugu jijini Dar es Salaam, hebu mwacheni kijana wa watu kha!maji maji imekuwa shida sasa, hamuoni msaada mkubwa anaofanya kwa Taifa ili kupitia michango yake, mnakera basi tu
 
Mleta mada utakuwa una lako jambo! Tukiacha itikadi zetu Mnyika is the best MP of the decade!
 
Yaaan mnyika ndio basi amechoka akatapeli wajinga na atutaki siasa za kihuni maji shida wenyekit wa mitaa cdm hapa kimara ni wezi wanataka pesa hata kwa mwanafunz eti ni posho shame upon you mnyikaa
 
Hivi umelazimishwa kukaa hapo?mnawasemea watu tu!ulitaka atoe pesa zake mfukoni kuwezesha maji ambayo yamekuwa tatzo sugu jijini Dar es Salaam, hebu mwacheni kijana wa watu kha!maji maji imekuwa shida sasa, hamuoni msaada mkubwa anaofanya kwa Taifa ili kupitia michango yake, mnakera basi tu

Alivyotuadi kuleta maji ilhali anajijua hana Huo uwezo alidhani sisi Ni mamburula???

Mimi SI mshabiki WA chama chochote cha siasa, Tulimng'oa mbunge WA CCM kisa maji!

Mbwembwe ktk kutoa hoja lazma zi-synchronize na utendaji wake!

Mnyika kazi imekushinda Anza kufungasha virago!
 
Alivyotuadi kuleta maji ilhali anajijua hana Huo uwezo alidhani sisi Ni mamburula???

Mimi SI mshabiki WA chama chochote cha siasa, Tulimng'oa mbunge WA CCM kisa maji!

Mbwembwe ktk kutoa hoja lazma zi-synchronize na utendaji wake!

Mnyika kazi imekushinda Anza kufungasha virago!

Wewe siyo mkweli kabisa,juhudi zake tunaziona na mafanikio yake pia yanaonekana.Maji ni janga la kitaifa,miaka 53 ya uhuru bado tunatumia maji ya visima.Lakini mjona maji munayapata mara tu hizi kesi za kuzuia bomba kumalizika.Nadhani kuna watu hawajali maisha ya wengine hasa ktk swala la maji.
 
Wewe siyo mkweli kabisa,juhudi zake tunaziona na mafanikio yake pia yanaonekana.Maji ni janga la kitaifa,miaka 53 ya uhuru bado tunatumia maji ya visima.Lakini mjona maji munayapata mara tu hizi kesi za kuzuia bomba kumalizika.Nadhani kuna watu hawajali maisha ya wengine hasa ktk swala la maji.

Tatizo uweka ushabiki WA chama mbele!,

Kila raia anasababu zake zinazopelekea kuchagua kiongozi anaemtaka!

Mimi binafsi nilimchagua Mnyika 2010. Sio kwasabu Ni kijana au anatoka CDM Bali kwasababu alihaidi kuleta maji ubungo kitu ambacho actually ameshindwa kutekeleza so far!!

Niliitosa CCM 2010 kwasababu ya usanii kama huu.
 
Kalikosa kwa sababu ya kujifanya yeye ni mfia chama na kujitangazia maadui wa chama na kuwatelekeza wapigakura wake wa Ubungo
 
Je na huu mradi mkubwa wa maji wa mto Ruvu ambao umeshavuka kibaha??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom