Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

yaani mimi (mlete mada ) siongelei kwa ushabiki wa chama nazungumzia ahadi alizozitoa huyu mheeshimiwa mpaka tuka mpa kura zetu, tukakesha naye pale loyola, tukalivunja vunja gari la wizara ya mambo ya ndani kwa imani kuwa lilikuwa limejakuharibu matokeo.....leo ni mwezi wa pili ubungo tunanunua maji ndoo sh 1000 tena hapa mtaani kwetu kuna tajiri mmoja ndio analeta kwenye malori...vinginevyo utatumia ya chumvi sasa kama huyu tajiri wa hapa mtaani pamoja na kwamba anatuuzia maji lakini amekuwa msaada mkubwa sana yeye sio mwanasiasa Mnyika mwenye jimbo lako umeshindwa kweli kutafuta lori kumi za maji hata ukawa unatuuzia kwa sh 500 kwanza utapata faida pili utatuletea ahueni kwenye hili swala la maji, mchango wako bungeni ni mkubwa lakini jimboni hamna anayekuelewa...unahangaika na mambo makubwa mara katiba mara ufisadi wakati jimboni hamna
maji...watakuuua bure..kuwa mbunifu nunua malori kumi ya maji pitisha mitaani uzia wananchi kwa bei nafuu kidogo kwanza utapata faida kisha watu tunaweza kurudisha imani.

Hauna akiri
Ungekua na akiri ungeona juhudi anazozifanya ili maji yapatikane
Na kama ungekua na uelewa ungewakusanya vijana wenzako mtoe msukumo kwa serekari ili mpate maji
Inafahamika dhahili kwamba wanao kwamisha zoezi la kupatikana kwa maji ni viongozi wa serekari
Tunamwona mnyika anavyosumbuka kila siku kaonyesha juhudi sasa kosa lake ni lipi?
Mpatieni uwezo wa kukusanya kodi kabisa afu uone kama hataweza kuleta hayo maji
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetui sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
mpumbavu wewe
 
matahira yanazidi kuongezeka jf! mwenzio alimwita kafulila tumbili unajua ameishia wapi? matumbili hawashindwi bali wezi ndo wanaumbuka

Sasa ndipo utajua hii movie kuwa tumbili ni Mnyika au ni Wapiga Kura!
Sawa?
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

Usiseme kura zetu sema kura yako mwenyewe toka lini ukawa msemaji wa wanaubungo
 
mnyika kaja ubungo mwaka gani na maji yalikatika mwaka gani au hayajwahi kuwapo,?????
na unachagua mbunge ili akuwakilishe au unachagua kwa sababu amekuahidi maji, ?? na jee shida ya ubungo ni maji tuu au kuna nyingine pia na jee kule ambako maji hamna kabisa wao hawana mbunge,hivi kwa dar wapi kuna maji ambako hayakatiki,
 
Sasa ndipo utajua hii movie kuwa tumbili ni Mnyika au ni Wapiga Kura!
Sawa?

Haa.. Haa.. Mnyikaaa ...mnyikaa...njoo jimbon huku ubungo toka huko Kanda Ya ziwa wapiga kuraa wamechachamaa tafadhali .. Wanataka MAJI yao .. Njooo tafadhali jimbo umeliweka rehan
 
jamani hivi mnyika ni mara ngapi amekuwa akisimama bungeni kutetea wananchi wake kuhusu maji na mpaka amekuwa akitishia kuandamana na wananchi wake kwenda kwa waziri wa maji na huo ndo umekuwa ungomvi mkubwa na waziri ila kikubwa hapo ni serikali ya jk kutaka kumwangusha ili isipeleke huduma kwa wananchi wake utazani inamkomoa mnyika kumbe inawaumiza wananchi wake mnyika hana serikali na hana pesa zake bali kinachotakiwa ni kuunganisha nguvu tuweke chama kingine madarakani kuanzia juu mpaka chini hapo ndipo tuone maana hapa hata tukilia mpaka tupasuke ccm ilani yake jambo la maji halimo so watatekelezaji kitu ambacho hawfikilii na hakiko alanini mnyika ndio mbunge anaeongoza kwa kutoa hoja ametoa hoja 540 jamani af mnambeza daa kweli watz hatuoni mbali ila cwezi kusema sana najua humu tupo na mitazamo tofauti
 
Hauna akiri
Ungekua na akiri ungeona juhudi anazozifanya ili maji yapatikane
Na kama ungekua na uelewa ungewakusanya vijana wenzako mtoe msukumo kwa serekari ili mpate maji
Inafahamika dhahili kwamba wanao kwamisha zoezi la kupatikana kwa maji ni viongozi wa serekari
Tunamwona mnyika anavyosumbuka kila siku kaonyesha juhudi sasa kosa lake ni lipi?
Mpatieni uwezo wa kukusanya kodi kabisa afu uone kama hataweza kuleta hayo maji

Wewe ndo la hovyo kabisa, hizo pesa anazotumia kumfuatafuata zitto angekarabati yale mafuso chakavu yakaanza kusambaza maji mtaani kwake tungemwona wa maana, eti anapigania maslahi! yapi? juzi alikuwa na ramadhani madabida yule muuza ARV feki wakipiga picha kwenye greda la kajima tena kakenua meno hadi magego yanaonekana.
 
jamani hivi mnyika ni mara ngapi amekuwa akisimama bungeni kutetea wananchi wake kuhusu maji na mpaka amekuwa akitishia kuandamana na wananchi wake kwenda kwa waziri wa maji na huo ndo umekuwa ungomvi mkubwa na waziri ila kikubwa hapo ni serikali ya jk kutaka kumwangusha ili isipeleke huduma kwa wananchi wake utazani inamkomoa mnyika kumbe inawaumiza wananchi wake mnyika hana serikali na hana pesa zake bali kinachotakiwa ni kuunganisha nguvu tuweke chama kingine madarakani kuanzia juu mpaka chini hapo ndipo tuone maana hapa hata tukilia mpaka tupasuke ccm ilani yake jambo la maji halimo so watatekelezaji kitu ambacho hawfikilii na hakiko alanini mnyika ndio mbunge anaeongoza kwa kutoa hoja ametoa hoja 540 jamani af mnambeza daa kweli watz hatuoni mbali ila cwezi kusema sana najua humu tupo na mitazamo tofauti

Acha uongo, tunajua anapata mgao kutoka kwa wale wachagga wauza maji, tangu lini kashughulikia tatizo la maji ubungo, tena mshaurini kama amekosa sehemu za kufanya siasa zake bariadi sio mahala pake,
 
mnyika kaja ubungo mwaka gani na maji yalikatika mwaka gani au hayajwahi kuwapo,?????
na unachagua mbunge ili akuwakilishe au unachagua kwa sababu amekuahidi maji, ?? na jee shida ya ubungo ni maji tuu au kuna nyingine pia na jee kule ambako maji hamna kabisa wao hawana mbunge,hivi kwa dar wapi kuna maji ambako hayakatiki,

Alikuta mradi wa wachina yeye ndo kauvuruga akishirikiana na wajomba zake wauza maji, kakuta stand ya ubungo ikiwa mpya kaja yeye tukaanza kulipishwa kodi ya miguu kuingia standi ya ubungo.
 
Alikuta mradi wa wachina yeye ndo kauvuruga akishirikiana na wajomba zake wauza maji, kakuta stand ya ubungo ikiwa mpya kaja yeye tukaanza kulipishwa kodi ya miguu kuingia standi ya ubungo.

Mpuuz sana hana kura Mwaka huu
 
Acha uongo, tunajua anapata mgao kutoka kwa wale wachagga wauza maji, tangu lini kashughulikia tatizo la maji ubungo, tena mshaurini kama amekosa sehemu za kufanya siasa zake bariadi sio mahala pake,

Anajenga sakosi ya wachaga ili wakipata wabunge wengi ruzuku inaongezeka walau na yeye apate 10% si unajua
 
Hakuna ambacho mnyika hajapigania Ubungo..... Serikali ilimbania lakini ushahidi wa ufuatilia na maswali yake Bungeni upo.....
Sijui mafisiem watakuja na kashfa gani... Hii dunia ya utandawazi..... Kila mtua anaweza kutembelea website ya Bunge.
Mnyika ni mchapakazi, hoja zake bungeni zimekuwa na mashiko sana..
Najua chama cha ma-yuda walimsingizia maneno ambayo hakuyasema.
Matatizo ya maji Ubungo yamekuwa kama wimbo kwa Mnyika. CCM wamekwamisha makusudi utatuzi wa hili tatizo. Wanamwadhibu Mnyika, kumbe wanaadhibu WANANCHI....
WANANCHI HAWAADHIBIWI.
Makusudi natoka Ukonga, najiandikisha Ubungo.... Nina mengi kichwa, ntawaambia wanaUbungo Tutasimama naye......
 
Hiki ni kilio kikubwa sana Huku Kimara na Jimbo lote ta UBUNGO HAKUNA Maji. Cha kushangaza sana, Hakuna Taarifa kwenye Vyombo vya Habari(TV, Magazeti au Mitandaono) wala PA kusikika Barabarani. Ina sikitisha kwa kweli. Nimefanya Survey Jana, Debe/Dumu moja la lita 20, sasa Linauzwa Tzs.1,000/- hadi Tzs.1,500/- kwa maeneo ya SUCA, KIMARA, BARUTI, Manzese na Magomeni Kagera. Watu wana taabika sana, wanakesha kusaka maji.

Wakati, Ofisi za Wizara ziko katika Jimbo jilo, hakuna hata anayeguswa kushughulikia Kilio hiki....Inasikitisha kwa Kuwa Hapo Jirani na Tank Kubwa Ubungo, Kuna Kiwanda cha Kufyatua Matofari, kinatumia Maji BURE, Pamoja na Wakubwa wa Wizara Kumkamata Mhusika, lakini hakuna mabadiliko.

Mheshimiwa, MNYIKA UNALIJUA HILO AU UNAZUNGUKA ZUNGUKA TU KUPAMBANA NA ACT WAZALENDO, WAKATI SISI HUKU HALI MBAYA Ni kwa nini swala la Maji UBUNGO linafanyiwa Mzahaa SIASA???. Inasikitisha zaidi, kwani Wenye Magari ya Maji Imekuwa neema kwao, na Maji ya kwenye hayo magari yana chumvi Kupindukia.

DAWASA/DAWSCO Hivi Ni lini hasa Mtatenga Pembeni Siasa na Uhalisia wa Maisha ya Wananchi hawa wanao teseka na Uhaba wa Maji .Kwanini Bomba hilohilo la Ruvu, kuna Sehemu nyingi tu zinaendelea Kupata Maji, na Kwanini Wananchi wa Kimara, Ubungo na Manzese tu???

Mwaisho namalizia Kwa kumtaka mhe. Mnyika vipi anashindwa kutekeleza ahadi yake ya maji kwa wana ubungo au anataka kuja kutulaghai tena na ahadi ya maji, Mnyika kama umeshindwa kuleta maji kwa miaka hii mitano wanaubungo hatudanganyiki tena nawe
 
Maji yamemshinda sasa amehamia kwenye katiba..anatapatapa..atatukoma tunausongo nae yule tumbili we mwache tu!
kumbe zzk wasaliti kazini,acheni chuki binafsi na mnyika kijana huyu ni mzalendo wa kweli na wala hana chembe ya usaliti kama nyinyi mnaotukana wakubwa zenu alafu mnazawadiwa 7000

aibu kwenu........:msela:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom