Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Ndo tatizo la kuwa msukule hujui kufikiri!,

Huo utiifu akaupeleke kwa makasisi but This time atavuna alichopanda

Nilimchagua siyo kwasababu ya dini yake ( mimi ni Muislam ).

MAJIII MNYIKA MAJIIII

Ndo ashaikosa hivo kura yangu!

kamuombe magembe maji sio mnyika bana,mbona mnajifiatua akili nyie vijana !!!
nani alikuambia mnyika atawaletra maji wewe ,Kama ilikuwa ni ahafi yake kwenye,campaign sio mbaya lakini si kawatetea na kuwaombea maji Mara kibao tu bungeni.
serikali yako ndio imegoma kuwaletea maji ,mnyika kashapiga kelele za kutosha lako wapi,serikali sio sikivu,ni dhaifu na katili,badala mletewe maji ubungo serikali inapeleka barabara msonga .poor you.
 
Tofautisheni kati ya mpiga debe na dereva wake. Myinka ni mpigadebe, uongozi hauwezi.

Haya tumeyaona sisi wa Ubungo, wengine pigeni makelele tu. Kuleta maji ni swala lenye changamoto nyingi, lakini mnyika kashindwa hata kuwatembelea wananchi wake wakati wa shida. Wapiga kura wake wamekuwa vilio vya mara kwa mara ambapo yeye kama kiongozi angeonekana kushikana nao, lakini ameshindwa.

Vyovyote mtakavyosema na kutukana, Mnyika hafai kuwa Mbunge wetu tena. Kura hapati. Ubungo hatuangalii chama tutamchagua tutakayemuona anafaa.
 
endelea kujitekenya, ukishamaliza kucheka utatuambia. mnyika hawezi kurudi bungeni hata YESU AKIRUDI kwa ajili ya hilo tu

Kiongozi umefuatilia lakin uchaguzi wa serikali za mitaa ukawa walivyoshinda au hujui soma alama za nyakati ....mnyika bado ananguvu huku kwetu ubungo
 
Tofautisheni kati ya mpiga debe na dereva wake. Myinka ni mpigadebe, uongozi hauwezi.

Haya tumeyaona sisi wa Ubungo, wengine pigeni makelele tu. Kuleta maji ni swala lenye changamoto nyingi, lakini mnyika kashindwa hata kuwatembelea wananchi wake wakati wa shida. Wapiga kura wake wamekuwa vilio vya mara kwa mara ambapo yeye kama kiongozi angeonekana kushikana nao, lakini ameshindwa.

Vyovyote mtakavyosema na kutukana, Mnyika hafai kuwa Mbunge wetu tena. Kura hapati. Ubungo hatuangalii chama tutamchagua tutakayemuona anafaa.

sema wewe humpi kura,coz upo upande wa pili,Mimi pamoja na familia yangu tutampa kura zetu.
mnyika anafaa Sana tu kutuongoza watubwa ubungo,nyie pigeni kelele kwa wivu zenu za kitoto, wakati sqala lipo wazi kabisa.
badala ya kuwalalamikia serikali yenu iliyowatenga kosa mbunge wetu ni wa upinzani,mmekalia kumlalamikia mnyika ,shame on you political junks.
 
kwanini msiitoe serikali ya ccm ambayo ndo jukumu lake.mbunge ni mjenga hoja tu hana pesa..ndio siasa za ccm hizi wanakimbia jukumu lao.je mnyika ndo waziri wa maji anayepeleka bajeti bungeni?je kaligusia suala la maji mara ngapi?au kuna mbunge aliyegusia maji zaidi yake?
jibuni hoja kumjadili mtu
mtu awe subject tu.
 
Ubungo mbunge alisema ataleta maji yeye hategemei serikali ya ccm sasa imekuwaje?

kwani kabla ya mnyika nilikuwa na maji yakakatwa??
jiulize miaka jamaa hamna maji ubungo,Leo mnamlaumu mnyika,hasira zenu pekekeni ccm bana,msimlaumu mnyika.
Alafu kitu kingine mnapolaumu tambueni kwamba mnaivua nguo serikali,sio mnyika .hata Rais alihahidi maji ubungo yako wapi?? Mimi nazani MTU wa kwanza kula nae sahani moja ni Rais ,chama tawala na serikali kwa ujumla .
ila Kama unafanya siasa humu ,basi kwa taarifa yako mnyika kufanya kazi kubwa Sana ,anastahili pongezi,ila serikali hii iliyovhoka ndio imewatekekeza wananchi wake.
 
Wewe kwanza siyo mpigakura na ni fwata upepo tu. Jimbo atalichukua tu.

kweli kabisa mkuu na sie wtu wa Jimbo hili tunajua fika mchezo mchafu unaochezwa na ccm kwa lengo kumharibia Mnyika sie tunasema 'sisi na mnyika ni damu damu'
 
endelea kujitekenya, ukishamaliza kucheka utatuambia. mnyika hawezi kurudi bungeni hata YESU AKIRUDI kwa ajili ya hilo tu

Hizi hoja za kuandika ukiwa na hang-over ya viroba utaacha lini? sasa hapa umeandika nini? Hebu viroba vikiisha kichwani uone utumbo ulioandika!
 
nakaa mbezi kura yangu nampa mnyika.mnyika anatosha mafisi wenye ahadi choooomaaaaaaaaaa
 
Wakati anapita kwenye mbio za ubunge miaka michache iliyopita hakika kila mtu aliona hapa tumepata kiongozi tena kijana tukaona sasa ubungo na viunga vyake tutapata muwakilishi na kuondokana na kero zilizokuwa zimekithiri ila matarajio ya wanaubungo imekuwa kama ndoto vile.

Hakuna kilichofanyika watu wanasota karibu miezi kwa tatizo la maji na hatujawahi kumsikia huyu mtu hata akinyanyua mdomo kusema chochote.

Mnyika amekuwa ni mbunge wa CHADEMA TAIFA Ofisi haonekani.Huwa nasikia uchungu sana nikiona wabunge wanavyosema ni nini wamewafanyia wapiga kura wao ndugu yetu yeye yupo kuponda tu kwa maslahu yake na Chama chake.

Mnyika amejaa porojo ametusahau watu tuliompa madaraka.

Ama kweli binadamu tu wa ajabu halafu eti arudi hapa mwezi wa kumi kuomba kura, wana Ubungo tunasema kiama chako kipo Oktoba.

Tuliuza humu jf upatikanaji wa Mnyika jimboni,tukajibiwa yuko bize na mambo ya kitaifa zaidi kuliko jimbo! hivyo nadhani tuchague mtu ambaye hatakua bize sana ili tumpate mara kwa mara. Ni hayo tu.
 
Wewe mtoa post bila shaka yoyote ile utakuwa umekwisha chinja viroba aina ya jogoo kwa meno!!! Katika majimbo ya dar ambayo chadema tunauhakika kulichukua kabla ya saa nne asbh siku ya kupiga kura nilaubungo!
 
kwani kabla ya mnyika nilikuwa na maji yakakatwa??
jiulize miaka jamaa hamna maji ubungo,Leo mnamlaumu mnyika,hasira zenu pekekeni ccm bana,msimlaumu mnyika.
Alafu kitu kingine mnapolaumu tambueni kwamba mnaivua nguo serikali,sio mnyika .hata Rais alihahidi maji ubungo yako wapi?? Mimi nazani MTU wa kwanza kula nae sahani moja ni Rais ,chama tawala na serikali kwa ujumla .
ila Kama unafanya siasa humu ,basi kwa taarifa yako mnyika kufanya kazi kubwa Sana ,anastahili pongezi,ila serikali hii iliyovhoka ndio imewatekeleza wananchi wake.

Ndo mana tulimtoa mbunge Wa CCM na kumweka mnyika Wa upinzani ili aonyeshe mabadiliko katika utekelezaji Wa ahadi!,

Mimi sikumchagua Mnyika ili nimuone akibwabwaja bungeni, Nilihitaji a-perform kiutendaji

Ubungo tumechoka kudanganywa na wanasiasa.

Ameshindwa kutimiza ahadi zake Kama mibunge ya CCM afu uaanza kumtetea na kutupia lawama serikali.

Mnyika nakusubiri October kwenye sanduku la kura uvune ulichopanda!
 
kweli kabisa mkuu na sie wtu wa Jimbo hili tunajua fika mchezo mchafu unaochezwa na ccm kwa lengo kumharibia Mnyika sie tunasema 'sisi na mnyika ni damu damu'

Mchezo mchafu upi??, Tumempa Ubunge wenyewe wanaubungo ameshindwa kutimiza ahadi.

Mimi sina chama chochote cha siasa,

Nilfanya mabadiliko 2010 na Sasa natarajia kuyafanya Tena 2015 October.
 
sasa wewe nae sijui wa wapi,badala ya kuilaum chama chako cha Ccm na serikali yake unayo ilipa kodi,unakuja hapa kumlaumu mnyika!.,
Rais wako alipokuja hapo ubungo kwenye campaign alihahidi maji,mbona yeye umeshindwa kumlalamikia wewe kijana,acha wivu wa kitoto,mnyika bungeni anarudi na Kama maji ya chumvi mtakunywa tu mpaka hapo serikali yenu hii iliyochoka itakapo wakumbuka wananchi wake.
ndio ujue kwamba wengi wenu mnao shabikia ccm hamnazo chama kimewatesa miaka naenda rudi,bado tu umekingangania utazania mlikula yamini na chama hicho.
Hahahaha umenichekesha kweli. Sasa kama rais aliahidi unasema ameshindwa si ndio maana wananchi wakamchagua Mnyika ili awatatulie matatizo yao. Na Mnyika aliahidi kwenye kampeni kuwa atatua kero zooote. Sasa niambie Mnyika kazi yake ninini hasa amefanya kama matatizo yamebaki palepale. Hatuna haja naye. Tunataka mwingine aje aahidi anavyoweza. Tafadhali tafadhali usiahidi kitu ambacho unaona kipo juu ya uwezo wako. Msituletee biashara ya ndoooooooorobo, si bora tungeendelea kujipepea tu na uongozi wa zamani.??? Sababu hakuna yoyote mapya yamefanywa na almost wabunge wote wa chadema. Tumeambulia kelele
 
Kwanza nashukuru tu yale niliyoyasema mwanzo umeuaongelea..ila bado ckuelewi.....Kwanini huwa unakuwa mtu wa lawama sana na mnun'gunikaji sio mtendaji....tulikuchagua ili ukatendende mnyika sio kunun'gunika na kutoa lawama....tunachotaka usimame utatue hili tatizo hili tunaimani unajua nini cha kufanya....mwezi wa pili huu hatuna maji ubungo....we unakaa kutoa porojo na lawama.....we a headin to the General election watchout utaondoka kwa aibu wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom