Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Tuliuza humu jf upatikanaji wa Mnyika jimboni,tukajibiwa yuko bize na mambo ya kitaifa zaidi kuliko jimbo! hivyo nadhani tuchague mtu ambaye hatakua bize sana ili tumpate mara kwa mara. Ni hayo tu.

Asante kaka hapo nimekuelewa hivi ndivyo kijana anatakiw kuwa
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

mapovu yote ya nini kwahiyo mnyika ndio wizara ya maji ama Dawasco unahitaji Earavi .kura yako ntafidia
 
Maji yamemshinda sasa amehamia kwenye katiba..anatapatapa..atatukoma tunausongo nae yule tumbili we mwache tu!

hasara kuwa na watanzania wa .ubungo mko wananchi wangapi.wote nyie mmeshindwa kufikiri kuleta maji ?
 
Kwa heshima na taadhima nitakujibu hivi kama RAHISI wako wa nji hii.Niko busy kukwapua pesa za WADANGANYIKA kwa sasa maendeleo sijisumbui. NA ya NNJI ya DANGANYIKA imenishinda,na kwa sasa napanga safari ya kwenda kufanya check up,si mwajua kuwa nilifanyiwa operation ya TEZI DUME,halafu bado nina ED ya miezi tisa,sitakiwi kuwa na STRESS.

Ila kama kuna ESCROW nyingine mniambie itakuwa FASTA tu.

Huhuhuuuuuuuuuu
 
Tumia akili kufikiri.mamlaka ya maji dawasco imeshindwa kuleta maji japokuwa inapata fedha serikalini.mnyika hapati fedha maji atayaletaje?na kumbuka maji hapa dar ni tatizo karibu la kila mahari.kipindi cha keenja mbunge ubungo maji mlikuwa nayo kama mnavyopata Sasa japo kwa uchache?....tumia akili kufikiri na si ma.ta.ko

Acha kutetea upumbavu WA mnyika!, Moja ya sababu tuliyomtoa mgombea WA CCM 2010 Ni kutudanganya na ahadi ya kuleta Ubunge!,

Mnyika alitoa ahadi ya maji na mpaka sass hakuna alichafanya, mnaanza kusingizia serikali ya maCCM.

Kwani alivoahidi maji alidhani yanatoka kama unavoenda kukojoa chooni au!??

kwanini alitoa ahadi ya kitu ambacho ajua hawezi kutimiza!??

Ifike mahala tuweke siasa za vyama pembeni, tuangalie utendaji zaidi.

Mnyika nakusubiri Octoba kwenye sanduku la kura mana wanasiasa washazoea kufanya raia mazwa zwa!
 
Acha kutetea upumbavu WA mnyika!, Moja ya sababu tuliyomtoa mgombea WA CCM 2010 Ni kutudanganya na ahadi ya kuleta Ubunge!,

Mnyika alitoa ahadi ya maji na mpaka sass hakuna alichafanya, mnaanza kusingizia serikali ya maCCM.

Kwani alivoahidi maji alidhani yanatoka kama unavoenda kukojoa chooni au!??

kwanini alitoa ahadi ya kitu ambacho ajua hawezi kutimiza!??

Ifike mahala tuweke siasa za vyama pembeni, tuangalie utendaji zaidi.

Mnyika nakusubiri Octoba kwenye sanduku la kura mana wanasiasa washazoea kufanya raia mazwa zwa!

MAWEEEEEEEEEEEE 2015 VOTE FOR MNYIKA.............:whoo::whoo::whoo::whoo::nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa CCM ATM
 
Mjiandikshe basi kwe lile daftari letu... La kura za wenye kula....
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

mkuu inaonekana ww unamchukia tu mnyika..hapo kwenye post yako inzonekana unajua serikali ya ccm imemuundia zengwe ili aonekane hajafanya kitu...sasa hauoni kama ww ndiye mjinga?!...unayejua kuwa mnyika amejitahid sana lakini ww na serikali yako ya ccm ndiye mnawaumiza watu?...kumbe nyie watu mnakaa mjini lakini hamnazo kabisa..bora ss tunaoishi huku mikoani tunaweza kutambua mambo...pumbaf kabisa.
 
Tumia akili kufikiri.mamlaka ya maji dawasco imeshindwa kuleta maji japokuwa inapata fedha serikalini.mnyika hapati fedha maji atayaletaje?na kumbuka maji hapa dar ni tatizo karibu la kila mahari.kipindi cha keenja mbunge ubungo maji mlikuwa nayo kama mnavyopata Sasa japo kwa uchache?....tumia akili kufikiri na si ma.ta.ko

Dada pole sana kwa kuwa upo kwenye siku zako, mpigie simu Mnyika mwambie arudi ubungo atimize ahadi yake watu wanashida na maji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom