Kwanza nashukuru tu yale niliyoyasema mwanzo umeuaongelea..ila bado ckuelewi.....Kwanini huwa unakuwa mtu wa lawama sana na mnun'gunikaji sio mtendaji....tulikuchagua ili ukatendende mnyika sio kunun'gunika na kutoa lawama....tunachotaka usimame utatue hili tatizo hili tunaimani unajua nini cha kufanya....mwezi wa pili huu hatuna maji ubungo....we unakaa kutoa porojo na lawama.....we a headin to the General election watchout utaondoka kwa aibu wewe
Ungemtumia kwenye peji yake ingependeza sana lkn kwa hapa czan
Na hutakaa umwelewe kwa sababu wewe gamba... Magamba na ukawa wapi na wapi? Kwa akili yako, unategemea siku moja panya atamwelewa paka??Kwanza nashukuru tu yale niliyoyasema mwanzo umeuaongelea..ila bado ckuelewi.....Kwanini huwa unakuwa mtu wa lawama sana na mnun'gunikaji sio mtendaji....tulikuchagua ili ukatendende mnyika sio kunun'gunika na kutoa lawama....tunachotaka usimame utatue hili tatizo hili tunaimani unajua nini cha kufanya....mwezi wa pili huu hatuna maji ubungo....we unakaa kutoa porojo na lawama.....we a headin to the General election watchout utaondoka kwa aibu wewe
Na hutakaa umwelewe kwa sababu wewe gamba... Magamba na ukawa wapi na wapi? Kwa akili yako, unategemea siku moja panya atamwelewa paka??
Mnyika wanaubungo tunapata shida sana,dumu la maji kwa sasa tunanunua sh 1000,au kwa sababu hukai ubungo
Kwanza nashukuru tu yale niliyoyasema mwanzo umeuaongelea..ila bado ckuelewi.....Kwanini huwa unakuwa mtu wa lawama sana na mnun'gunikaji sio mtendaji....tulikuchagua ili ukatendende mnyika sio kunun'gunika na kutoa lawama....tunachotaka usimame utatue hili tatizo hili tunaimani unajua nini cha kufanya....mwezi wa pili huu hatuna maji ubungo....we unakaa kutoa porojo na lawama.....we a headin to the General election watchout utaondoka kwa aibu wewe
Kwanza nashukuru tu yale niliyoyasema mwanzo umeuaongelea..ila bado ckuelewi.....Kwanini huwa unakuwa mtu wa lawama sana na mnun'gunikaji sio mtendaji....tulikuchagua ili ukatendende mnyika sio kunun'gunika na kutoa lawama....tunachotaka usimame utatue hili tatizo hili tunaimani unajua nini cha kufanya....mwezi wa pili huu hatuna maji ubungo....we unakaa kutoa porojo na lawama.....we a headin to the General election watchout utaondoka kwa aibu wewe
Hopeless kabisa... trash...Kwa hiyo Mnyika ndiye aliyeongeza gharama za maisha? Yeye anakusanya kodi? Kazi zambunge unazijua? Shule ya wapi wewe ulisoma??Narrow minded...... hata siku moja usini changanye na siasa kwangu mimi ni utekelezaji sio porojo inaelekea hujui maana ya uwakilishi wewe upo hapa kutetea watu sio kuangalia nini wananchi wanapata kutoka kwa muwakilishi wao....matatizo ya wanaubungo tunayajua sisi....adha tunayoipata tunaijua sisi gharama ya maisha imeongezeka kwa wanaubungo kwa kiasi kikubwa kwa ajili ya gharama za maji ndoo sasa tunanunua 700 hadi buku halaf mtu anakaa kupiga porojo na lawama sio upuuzi...we ongea hapa si tutakutana nae OCTOBER
sasa wewe nae sijui wa wapi,badala ya kuilaum chama chako cha Ccm na serikali yake unayo ilipa kodi,unakuja hapa kumlaumu mnyika!.
Rais wako alipokuja hapo ubungo kwenye campaign alihahidi maji,mbona yeye umeshindwa kumlalamikia wewe kijana,acha wivu wa kitoto,mnyika bungeni anarudi na Kama maji ya chumvi mtakunywa tu mpaka hapo serikali yenu hii iliyochoka itakapo wakumbuka wananchi wake.
ndio ujue kwamba wengi wenu mnao shabikia ccm hamnazo chama kimewatesa miaka naenda rudi,bado tu umekingangania utazania mlikula yamini na chama hicho.
Tumia akili kufikiri.mamlaka ya maji dawasco imeshindwa kuleta maji japokuwa inapata fedha serikalini.mnyika hapati fedha maji atayaletaje?na kumbuka maji hapa dar ni tatizo karibu la kila mahari.kipindi cha keenja mbunge ubungo maji mlikuwa nayo kama mnavyopata Sasa japo kwa uchache?....tumia akili kufikiri na si ma.ta.ko
Ndo mana tulimtoa mbunge Wa CCM na kumweka mnyika Wa upinzani ili aonyeshe mabadiliko katika utekelezaji Wa ahadi!,
Mimi sikumchagua Mnyika ili nimuone akibwabwaja bungeni, Nilihitaji a-perform kiutendaji
Ubungo tumechoka kudanganywa na wanasiasa.
Ameshindwa kutimiza ahadi zake Kama mibunge ya CCM afu uaanza kumtetea na kutupia lawama serikali.
Mnyika nakusubiri October kwenye sanduku la kura uvune ulichopanda!