rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,113
- 18,744
Hakuna Mbunge aliyewakilisha kama Mnyika
wapi huko??
Hakuna Mbunge aliyewakilisha kama Mnyika
wapi huko??
Tatizo uweka ushabiki WA chama mbele!,
Kila raia anasababu zake zinazopelekea kuchagua kiongozi anaemtaka!
Mimi binafsi nilimchagua Mnyika 2010. Sio kwasabu Ni kijana au anatoka CDM Bali kwasababu alihaidi kuleta maji ubungo kitu ambacho actually ameshindwa kutekeleza so far!!
Niliitosa CCM 2010 kwasababu ya usanii kama huu.
Mtoa hoja hana hoja. Anaponda then anasifia. Kama wenye nchi hawataki kuleta maji Mnyika kosa lake nn? Mchague Mnyika 2015 wabinge wawe wengi ili shida zako na za wengine zitatuliwe haswa ambazo ccm wameshindwa kbs
Pole sana ndugu sisi wananchi wa ubungo kwakweli tunajifunia kua na mbunge wa aina ya mnyika ambae haangalii masilahi ya ubungo pekee bali masilahi ya taifa kwa ujumla.Mnyika ni chaguo la mungu kijana huyu ameyatoa maisha yake hadi kuamua kusoma evening class kwa ajili ya mabadiliko ya nchi hii kwakweli,
Hao watawala wanambania kuleta maendeleo ubungo hasa ya maji ambayo ndio kero kubwa ya maji sababu za kisiasa kwani wao kikubwa wanacho jali ni idadi ya uwakilishi bungeni na si maendeleo kwa taifa kwa ujumla wake,watu kariba ya mnyika ni wanamapinduzi ambao serikari yoyote yenye kuendekeza vitendo vya kifisadi hawapendi kumsapoti kisiasa hasa maendeleo jimboni kwake au kwa wapiga kura ili asionekane yeye ni mtu safi,nachelea kusema kwamba mimi kama mwananchi wa ubungo tena kimara namsapoti sana mnyika kuwa sio tu mbunge bali hata waziri au Raisi kabisa.
Wewe mtoto isoongee kama hujasoma. Swali gani hilo unauliza. Je unajua mambo mangapi Mbunge huyu aliahidi wakati wa kampeini???? Na je unajua ni njia gani alipanga kizitumia ili kutatua kero zote za wananchi? ?? Je wewe ni msemaji wa Mbunge? ?? Kama sio haya majibu umeyapata wapi. Msitetee ujinga hapa. Wakati mnafanya kampeni huwa hamjui kuwa nyinyi sio wakusanya kodi? ? Kama ni hivyo sasa nini mantiki ya wewe kugombea ubunge wakati unajua kabisa hutaweza tatua kero za wananchi? ?. Kwa maana nyingine mtu kama wewe ukigombea tunajua fika kwamba nia yako ni kujinufaisha binafsi tuu. Hakuna cha kutatua kero wala baba yake na kero.pyuuuuuuu utapeli mtupu. Fedha ya walipa kodi imepotea bureeee. Wajameeeni tubadilikeNi sheria ipi inasema Mbunge analeta maji,shule gani uliyosoma ilikwambia mbunge ndiyo mkusanya kodi na muelekezaji fedha hizi ziende ubungo kuleta maji?
Kwa taarifa yako tu,wewe na ccm yako ndiyo muliokataa kupeleka fedha za maji jimboni,mukiamini kuwa,mtalirudisha jimbo la ubungo( siasa mfilisi)
Wanaubungo wanajua jukumu la serikali na la Mbinge mtaisoma adhabu yenu october!
Adhabu inaanzia kwa Madiwani wa ccm,jiongeze kaka
Akili ya mbayuwayu jumlisha na yako aisee. Usikubali kirahisi rahisi sababu zisizokuwa na mbele wala nyuma. Tafakari chukua hatua. Hatujawahi sikia hata siku moja mbunge akilalamika kuwa viongozi wa serikali ya mitaa hawampi ushirikiano. Katika kipindi chote hiki cha ubunge wake. Kwa hiyo nyinyi mliolipwa ili muje mumsemee mbunge humu hamna faida yoyote hapa. Mnamtumikia ------? ??? Wajameeni tubadilikeeNaishi ubungo kwangu naona mnyika bado anafaa coz serikal za mitaa hazmpi ushrikiano wowote zaidi ya fitina.
Ajiandae kupigwa chini huyoo. Hana lolote la maana ambalo amesaidia jimboni kwakeHuyu jamaa kazi yake kupepeta mdomo bungeni na kwenye migogoro ya waandamaji madereva bodaboda na magari.....mengine hayawezi sasa ubungo aiache akawe kiongozi wa hao madereva wake wagome vizuri
Mnyika ubungo hatumtaki kabisaa,bora liwekwe jiwe ila sio huyu mwizi
Hata wenzake wa Tandale si hawana maji?, nao mbunge wa chadema?
Hata kwa Azan zungu( ccm), nao hakuna maji
Kwa Mama Ana Makinda hakuna maji naye ni wa chadema?
Labda aende kwa baba Yake Riz ,kule nako sidhani kama maji yanatoka mferejini
Upatikanaji wa maji ubunge si kama ilivyokuwa 2010.... Mnyika hamumwezi...
CCM, ACT mtalia lia sana... Kwanza ubungo mnyika ana mtaji wa kura zaidi ya 30000 kutoka kwa waumini wa akina Kakobe, Gwajima..... Pili huyu mtoto aliyesomea seminarini, mtiifu kwa wazazi wake, na ushiriki wake wakatoliki woote wa ubungo watamchagua...... Tatu ni vijana ambao amekuwa pamoja nao mda wote. Nne jimbo la ubungo lina wachaga na wapare(kabila lake) wengi kuliko majimbo mengine ya Dar es Salaam mpaka kuna mtaa unaitwa Rombo.
Tano.. Hili jimbo lina wabara wengi kuliko wa pwani na waha...
Kingine ni uwepo wa vyuo vingi jimbo la ubungo ambapo hawajui shida ya maji ndani ya Taasisi hizo na pia wanavyua humwona kama msela wao.... Hivyo inasemekana Mnyika tayari ana turufu yake mkononi
Wewe mtoto isoongee kama hujasoma. Swali gani hilo unauliza. Je unajua mambo mangapi Mbunge huyu aliahidi wakati wa kampeini???? Na je unajua ni njia gani alipanga kizitumia ili kutatua kero zote za wananchi? ?? Je wewe ni msemaji wa Mbunge? ?? Kama sio haya majibu umeyapata wapi. Msitetee ujinga hapa. Wakati mnafanya kampeni huwa hamjui kuwa nyinyi sio wakusanya kodi? ? Kama ni hivyo sasa nini mantiki ya wewe kugombea ubunge wakati unajua kabisa hutaweza tatua kero za wananchi? ?. Kwa maana nyingine mtu kama wewe ukigombea tunajua fika kwamba nia yako ni kujinufaisha binafsi tuu. Hakuna cha kutatua kero wala baba yake na kero.pyuuuuuuu utapeli mtupu. Fedha ya walipa kodi imepotea bureeee. Wajameeeni tubadilike
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.
Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
CCM imeua vipaji vyingi vya watanzaniaNaona unatishwa na uchi wa mwili kuliko uchi wa akili, maana mwenyewe unakiri kuwa maji yameundiwa zengwe, pili unakiri mnyika ni mwingi hoja na kwa mantiki hiyo anakuwakilisha vyema bungeni iwe kwa hoja za kijimbo au kitaifa! Nikushauri tu kabla ya kutembea uchi, vaa vazi la akili!
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.
Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"