palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
Mkuu nitakupa shule kidogo,
Kazi ya mbunge ni kwenda kutuwakilisha sisi mbele ya serikali/Bunge.Yeye ndiye wa kwenda kuitolea macho serikali na kuwaambia NO lazima mtenge fedha kwa ajili ya utanuzi wa bomba ambalo linapeleka maji sehemu kadha wa kadha,bila hivo serikali inapeleka hela sehemu nyingine,sasa kama hata kazi hii ya kutuhakikishia tunapata maji imemshinda ndani ya miaka 5 ataweza nini? Tunamsubiti kwa hamu baada ya bunge kuvunjwa,sisi sio wa kudanganywa
kasome kwanza ule mpango wa miaka 5 kwanza. mambo hayaendi hivyo.