omusiranga
Senior Member
- Apr 4, 2015
- 195
- 32
Haya na huyu mwingine ambaye amekerwa sana matatizo yasiyokuwa na mwisho jimboni,Kasinge Mnyika, oli mushaija mara nolwo balaba mbakujuma. Kandi obubunge bwa Ubungo nobwala elindi, otatiina
Haya na huyu mwingine ambaye amekerwa sana matatizo yasiyokuwa na mwisho jimboni,Kasinge Mnyika, oli mushaija mara nolwo balaba mbakujuma. Kandi obubunge bwa Ubungo nobwala elindi, otatiina
Hivi wewe umesoma wapi, unadhani maendeleo kenya sehemu kubwa yaliletwa sababu ya vyama vingi? Chama cha kanu kimeongoza kenya kwa miaka mingapi, na maendeleo ya kenya kwa kipindi cha miaka yote hiyo yamekuwaje, unazungumzia mambo ya vyama yaliyokuja juzijuzi, khaaaa, wao walienda mbele zaidi sababu ya sera yao ya ubepari chini ya kanu. Usitudanganye hapa
Mimi nakereka sana. Nataka maendeleo ya kweli na sio ya kujaribu jaribu. Wajameeni tubadilike.
usijishaue wewe ni mwizi tu unaenufaika na chama tawala na mtakufa na njaa baada ya uchaguzi lazima mng'oke ,the second freedom is hereWeweee unafikiri kwa kutumia m.a.t.a.k nini nani kasema kuondoa chama ndio solution ya matatizo. Kenya wamekuwa wakiondoa vyama miaka nenda rudi mpaka leo hawajaweza kuona faida yoyote. Ndio kwanza wanafukuza na kusimamisha mawaziri kwa ufisadi, who to trust, mi nimestuka naona mnatufanya mabwege mnajifanya mnatatua matatizo halafu mkishindwa mnaruka na kusema sio wakusanya kodi. Nimeamua kubadili mawazo na mtazamo kuhusu nchi yetu . Tunahitaji kurudisha misingi ya waasisi wetu kwa dhati kabisa, na sio usanii usanii huu mnaotufanyia. Tumechanga michango mingi sana ya kuendesha vyama lakini hatuoni hela zinatumikaje, tukiuliza tunaambiwa wasaliti. Kuna michango ya harambee, mtandao wa chama, na hata pesa za ruzuku hatujui zinaendaga wapi. Hahahaha kwelj wajinga ndio waliwao, namimi nasema sitaliwa tena kwa sababu nimeondokana na ujinga
Majibu ya hovyo kwa maswali ya msingi!Wewe ni msemaji wa wananchi wa Ubungo?
Unajua majukumu ya Mbunge?
Matatizo ya maji ya miaka 53 unataka yaishe kwa miaka mitano?Badala uilalamikie serikali ya ccm inayokusanya kodi unakuja JF kutafuta umaarufu?? wewe ni attention seeker tu
Ili tanzania iendelee kwanza wezi ccm pamoja na wapambe wao kama wewe inabidi waondoke madarakani .kama ccm haitaondoka mambo ya maendeleo sahau.escrow,richmond,meremeta, kwa utamaduni wenu mwizi ndio shujaa .Well said, kamanda nakuunga mkono na miguu yote, kwa kweli wakazi wa jimbo la ubungo hawajaona maendeleo yoyote toka waamue kumchagua Mnyika. Nadhani makosa makubwa yanafanyika wakati wa kuahidi mambo meengi as if watakuwa mwarobaini wa matatizo ya wananchi, mwisho wa siku unakuta hakuna kitu, hivi kiukweli kama ni hivyo basi hana budi kupigwa chini na aje yule ambaye ataweza kuleta mabadiliko. Kwa sababu ukimchagua mtu huyu mtaendelea kulalamika tena kwa machungu kwa miaka mingine mitano ijayo. Wananchi lazima tubadilike . Tusiende na mihemko ya wanasiasa bila kufikiri mara mbili mbili. Halafu sasa kinachokatisha tamaa zaidi. Ukimuuliza na ukimbana na maswali atakwambia kwani yeye ndio anakusanya kodi? Khaa ! What a stupid answer is that, kwani mtu anavyoahidi wananchi huwa anategemea atapataje ufumbuzi wa matatizo. Wajaameni tubadilike, twende na wakati. Sio kila wakati kubadili chama eti ndio suluhu . Tuangalie mtu anasema nini na ana sera gani
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.
Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
Wewe bado ni mjinga tena sana kwa kifupi wewe ni mbumbumbu anayeamini kwamba kama ccm imeshindwa basi hakuna anayeweza,yani wewe ni mbumbumbu kabisa sijui umeingiaje jamii forumsWeweee unafikiri kwa kutumia m.a.t.a.k nini nani kasema kuondoa chama ndio solution ya matatizo. Kenya wamekuwa wakiondoa vyama miaka nenda rudi mpaka leo hawajaweza kuona faida yoyote. Ndio kwanza wanafukuza na kusimamisha mawaziri kwa ufisadi, who to trust, mi nimestuka naona mnatufanya mabwege mnajifanya mnatatua matatizo halafu mkishindwa mnaruka na kusema sio wakusanya kodi. Nimeamua kubadili mawazo na mtazamo kuhusu nchi yetu . Tunahitaji kurudisha misingi ya waasisi wetu kwa dhati kabisa, na sio usanii usanii huu mnaotufanyia. Tumechanga michango mingi sana ya kuendesha vyama lakini hatuoni hela zinatumikaje, tukiuliza tunaambiwa wasaliti. Kuna michango ya harambee, mtandao wa chama, na hata pesa za ruzuku hatujui zinaendaga wapi. Hahahaha kwelj wajinga ndio waliwao, namimi nasema sitaliwa tena kwa sababu nimeondokana na ujinga
Halafu nije nisikie unalalamikia chinichini kama nguchiro. Tusife na tai shingoni jamani, tunaweza mweka kamanda mwingine ambaye ni mchapa kazi zaidi yake, mbona wapo wengi subiri October utawaona
Mkuu umeshachelewa..nimeshaomba majukumu yote hayo, yakiwemo na ya kumtawaza pindi akijisaidia haja kubwa awapo matembezini......mi nitaomba kuwa nyuma yake kumlinda
Maji yamemshinda sasa amehamia kwenye katiba..anatapatapa..atatukoma tunausongo nae yule tumbili we mwache tu!
Ukitaka kujua misukule ya CCM humu jf wala hautumii nguvu nyingi cheki tu majina yao na utajirizisha kuwa ni misukule ambayo imetumwa