Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

Kwa hali halisi ilivyo ni wazi kabisa mnyaka anapaswa kubadilishana jimbo akagombee jimbo lingine kwasababu wananchi watamhukumu mnyika bila kujua kwamba jukumu la kusambazia wanaubungo maji ni la serikali!!bado natamani kuona uwepo wa mnyika bungeni.
 
Kuna kitu unatafuta kwa vijana wa Kariakoo.....uchi.......watakugombani kama mpira wa kona .....inawezekana wewe ni mzoefu.......
Mbunge wangu Mnyika kama ni wewe(Maana naona haya MATUSI ni kama ya ile MIKUTANO yako inayoendelea.RUDI JIMBONI....
 
Salaam JF ! Kiukweli sisi kama wananchi tunaokaa Katika JIMBO LA UBUNGO tunasema kwamba....."Mnyika ni mbunge tuliyemwamini na kumchagua kwa KURA lukuki tukitarajia huo ndio mwisho wa matatizo yetu hususani MAJI ,yaliyodumu kwa takribani miaka 53 sasa!Tunasema kwamba UMETUANGUSHA sana!!Jimbo lililokupa ubunge umelisahau na kutwishwa majukumu mazito ya chama.Tumekuwa tukikusikia ukitukanana na viongozi wenzio wa kisiasa mikutanoni.Hivi hili ndilo tulilokutuma?Chama ni bora kuliko sisi?Wanasema hukusanyi KODI na hivyo huwezi kuleta maji na kama ni hivyo ni kwanini ulituahidi?Why Tusiendelee kumchagua yuleyule aliyekuwepo amma hata mtu mwingine,chama kingine ila wewe?.Kwasababu ya yote hayo tunasema tunashukuru sana kwa utumishi wako na tunakushauri URUDI SHULE.Ahsante..... IBRAHIM MGAYA Mkazi Kimara!!

Wewe ni msemaji wa wananchi wa Ubungo?
Unajua majukumu ya Mbunge?
Matatizo ya maji ya miaka 53 unataka yaishe kwa miaka mitano?Badala uilalamikie serikali ya ccm inayokusanya kodi unakuja JF kutafuta umaarufu?? wewe ni attention seeker tu
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

WEWE LZM NI MS...ENGE. UKU KIGAMBONI MBUNGE WETU TANGU ALIPOCHAGULIWA HATUJAWAI KUMUONA. MAJI HATUJAWAI KUWA NAYO. UMEME HATUNA. SI HERI YENU HATA UMEME MNAO? ? TUSHAURI NA SI TUMFANYE NINI UYU MBUNGE ?? INSHORT APA UMEKUNYa. ..
 
Wewe binadamu wa kale,muulize kwanza Kikwete maisha bora aliyowaahidi watz wote umeyapata,majengo ya machinga complex kila mkoa yapo? Meri kubwa kila ziwa hadi kwenye mabwawa mlipata,nk,waulize HAWARA zako akina Mwigulu,Nape na Kibajaji kwenye uchaguzi wa Arumeru mashariki walisema Nassary akishinda wangevua nguo zote watembee mitaani uchi walivua?mmebaki watz wachache sana wenye kufikiria kwa kutumia MASABURI.
 
Nilichojifunza humu ndani ni kwamba kwa jf ni marufuku kumkosoa kiongozi yoyote wa kisiasa wa chadema hapo ingekuwa ni mbunge wa ccm kashindwa kutimiza hayo majukumu yake humu ndani pangewaka,anyway sioni mantiki ya kumtukana mtoa maada maana alichoandika ni kama amekuwa disappointed na mbunge wake aliemuamini.
 
Hii ndio SERA ya Chadema,MATUSI/MAJUNGU/MAUAJI/FITNA/UMBEYA/UWONGO Sishangaii....

Ametuqmbia anataka kutembea uchi kariakoo, mimi nimempa ushauri tu, kama vipi apuuze ushauri wangu pengine anataka kuzuru hospital ya apolo on his way to hell.
 
WEWE LZM NI MS...ENGE. UKU KIGAMBONI MBUNGE WETU TANGU ALIPOCHAGULIWA HATUJAWAI KUMUONA. MAJI HATUJAWAI KUWA NAYO. UMEME HATUNA. SI HERI YENU HATA UMEME MNAO? ? TUSHAURI NA SI TUMFANYE NINI UYU MBUNGE ?? INSHORT APA UMEKUNYa. ..

kaka asante kwa matusi nataka nikushangaze ntakutafuta physically at any cost halafu uone umemtukana nani zoezi hili litachukua mwezi mmoja kutoka sasa....
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"
wewe utakuwa umedata kojoa ukalale
 
Habari wanabodi. Kwa wiki mfululizo kuna thread mbalimbali ambazo zinazohusu Ubunge wa JJ Mnyika, na wengine wameapa kutembea uchi kama Mnyika atashinda Ubunge, wengine wanatoa hoja za shida ya maji Jimbo la Ubungo. Ukweli ni kwamba JJ Mnyika kupitia Operesheni za chama amekuwa tishio. jimbo la Ubungo ni la watu wasomi, wanajua kazi ya JJ ndani na nje ya Bunge. Kama kweli JJ akikosa Ubunge hata Zitto hataweza kushinda Ubunge - kwa Jimbo lake alilotelekeza hakuweza kufikisha hata 50% ya kura zote. Na kwa Jimbo lolote ambalo Ukawa wataweka Mgombea ACT haiwezi kushinda.
 
Salaam JF ! Kiukweli sisi kama wananchi tunaokaa Katika JIMBO LA UBUNGO tunasema kwamba....."Mnyika ni mbunge tuliyemwamini na kumchagua kwa KURA lukuki tukitarajia huo ndio mwisho wa matatizo yetu hususani MAJI ,yaliyodumu kwa takribani miaka 53 sasa!Tunasema kwamba UMETUANGUSHA sana!!Jimbo lililokupa ubunge umelisahau na kutwishwa majukumu mazito ya chama.Tumekuwa tukikusikia ukitukanana na viongozi wenzio wa kisiasa mikutanoni.Hivi hili ndilo tulilokutuma?Chama ni bora kuliko sisi?Wanasema hukusanyi KODI na hivyo huwezi kuleta maji na kama ni hivyo ni kwanini ulituahidi?Why Tusiendelee kumchagua yuleyule aliyekuwepo amma hata mtu mwingine,chama kingine ila wewe?.Kwasababu ya yote hayo tunasema tunashukuru sana kwa utumishi wako na tunakushauri URUDI SHULE.Ahsante..... IBRAHIM MGAYA Mkazi Kimara!!
Well said, kamanda nakuunga mkono na miguu yote, kwa kweli wakazi wa jimbo la ubungo hawajaona maendeleo yoyote toka waamue kumchagua Mnyika. Nadhani makosa makubwa yanafanyika wakati wa kuahidi mambo meengi as if watakuwa mwarobaini wa matatizo ya wananchi, mwisho wa siku unakuta hakuna kitu, hivi kiukweli kama ni hivyo basi hana budi kupigwa chini na aje yule ambaye ataweza kuleta mabadiliko. Kwa sababu ukimchagua mtu huyu mtaendelea kulalamika tena kwa machungu kwa miaka mingine mitano ijayo. Wananchi lazima tubadilike . Tusiende na mihemko ya wanasiasa bila kufikiri mara mbili mbili. Halafu sasa kinachokatisha tamaa zaidi. Ukimuuliza na ukimbana na maswali atakwambia kwani yeye ndio anakusanya kodi? Khaa ! What a stupid answer is that, kwani mtu anavyoahidi wananchi huwa anategemea atapataje ufumbuzi wa matatizo. Wajaameni tubadilike, twende na wakati. Sio kila wakati kubadili chama eti ndio suluhu . Tuangalie mtu anasema nini na ana sera gani
 
Muheshimiwa wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010 ulituahidi kuwa utamaliza kero ya maji Ubungo, tukakupa kura zetu. Tukakesha wote pale loyola kuhakikisha kura hazichakachuliwi, peoplez power tukalibeba na kulipindua gari la wizara ya mambo ya ndani wakati lilipolazimisha kuingia pale getini mimi Dar es salaam nimekuja mwaka 90 nilifikia Gongolamboto ambapo nakumbuka tulikuwa tunakunywa maji ya kisima na yenye chumvi.

Niliendelea kunywa maji ya chumvi mpaka mwisho wa miaka ya tisini ndiyo ilikuwa mwisho wa kunywa maji ya chumvi..leo karne ya 21 miaka 50 ya uhuru kwa mara ya kwanza na kunywa maji ya chumvi. Kweli tunasifu juhudi zako za kufichua maovu huko bungeni lakini kura zetu sahau. Umeshindwa kusoma alama za nyakati kwamba wakuu wamekuundia zengwe Ubungo pasipatikane maji ili uonekane hufanyi chochote. Ungeweza hata kuleta maji ya kununua kwenye malori tunge appriciate uwajibikaji wako sasa huku maji hakuna hata ya kununua hakuna. Ukipata ubunge 2015 walahi natembea uchi. "maana tumechoka sasa"

Kwanini usifikirie kuiondoa CCM iliyoko mamlakani zaidi tangu UHURU imeshindwa kufanya chochote badala yake unalamu mnyika aliekaa miaka 5
 
Wewe ni msemaji wa wananchi wa Ubungo?
Unajua majukumu ya Mbunge?
Matatizo ya maji ya miaka 53 unataka yaishe kwa miaka mitano?Badala uilalamikie serikali ya ccm inayokusanya kodi unakuja JF kutafuta umaarufu?? wewe ni attention seeker tu
Khaaaa sasa wewe ndio msemaji wa wana ubungo? Naomba ueleze majukumu ya mbunge ni nini, kama hawezi kuleta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi kwa nini amegombea? Au kaenda kupiga hela sio, hatutaki upuuzi huu tutakuwa wakali sana mwaka huu, tumezinduka sasa naona mnatuchezea kama wajinga.
Kwa hiyo matatizo ya maji ya miaka 53 , kwa mahesabu yako yanaweza kuisha baada ya miaka mingapi, tueleze, na kama hayakuisha tukupe adhabu gani. Utakubali kunyongwa?
 
ubungo hatukataki haka kajamaa kanajishauwa sana.
 
Kwanini usifikirie kuiondoa CCM iliyoko mamlakani zaidi tangu UHURU imeshindwa kufanya chochote badala yake unalamu mnyika aliekaa miaka 5
Weweee unafikiri kwa kutumia m.a.t.a.k nini nani kasema kuondoa chama ndio solution ya matatizo. Kenya wamekuwa wakiondoa vyama miaka nenda rudi mpaka leo hawajaweza kuona faida yoyote. Ndio kwanza wanafukuza na kusimamisha mawaziri kwa ufisadi, who to trust, mi nimestuka naona mnatufanya mabwege mnajifanya mnatatua matatizo halafu mkishindwa mnaruka na kusema sio wakusanya kodi. Nimeamua kubadili mawazo na mtazamo kuhusu nchi yetu . Tunahitaji kurudisha misingi ya waasisi wetu kwa dhati kabisa, na sio usanii usanii huu mnaotufanyia. Tumechanga michango mingi sana ya kuendesha vyama lakini hatuoni hela zinatumikaje, tukiuliza tunaambiwa wasaliti. Kuna michango ya harambee, mtandao wa chama, na hata pesa za ruzuku hatujui zinaendaga wapi. Hahahaha kwelj wajinga ndio waliwao, namimi nasema sitaliwa tena kwa sababu nimeondokana na ujinga
 
Habari wanabodi. Kwa wiki mfululizo kuna thread mbalimbali ambazo zinazohusu Ubunge wa JJ Mnyika, na wengine wameapa kutembea uchi kama Mnyika atashinda Ubunge, wengine wanatoa hoja za shida ya maji Jimbo la Ubungo. Ukweli ni kwamba JJ Mnyika kupitia Operesheni za chama amekuwa tishio. jimbo la Ubungo ni la watu wasomi, wanajua kazi ya JJ ndani na nje ya Bunge. Kama kweli JJ akikosa Ubunge hata Zitto hataweza kushinda Ubunge - kwa Jimbo lake alilotelekeza hakuweza kufikisha hata 50% ya kura zote. Na kwa Jimbo lolote ambalo Ukawa wataweka Mgombea ACT haiwezi kushinda.
Haya sasa siasa zenyewe ndio hizi hamuwezi kuzungumzia yenu pasipo Zitto? jamani Chadema hii vipi yaani wewe unataka kuwaamulia wananchi na kwamba wewe sijui Mungu mtu mbona ulitimuka TLP kwa nini?. Kwa sababu sio wewe mwamuzi. Mnyika anaweza kushinda/ndwa na hata Zitto anaweza kushinda/ndwa. Ni maamuzi ya wananchi wewe unaomba ridhaa yao tu huwezi kuwa refa wakati wewe mwenyewe unaomba ridhaa..Siasa gani hizi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom