Mnyika: CHADEMA haitasusia uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, amuomba Rais Magufuli kupeleka muswada wa Tume huru ya uchaguzi kwa hati ya dharura!

Nadhani hujui Kanuni za Kudumu za Bunge!

Bunge linaruhusu Muswada Binafsi ina maana kuwa Mbunge yeyote anaweza kupeleka bungeni Muswada binafsi na kama akipata majority inakuwa ni sheria.

Kanuni ya 81(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge imeeleza utaratibu wa kuwasilisha Muswada Binafsi.

Kwa mantiki hii, Mnyika kama Mbunge anaweza kuwasilisha Muswada Binafsi kuhusu Tume ya Uchaguzi.
itasaidia nini km wabunge wengi ni wa chama tawala wanaolindwa na hiyo tume!

Wamezoea kutumia wingi wao kupitisha miswada ya hovyo tu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliwadanganya wenyeviti mae wakasusia,na kwa vile walikua wajinga wakakosa kazi. Wao hawawezi maana wana njaa kali tu. Chadema bhana.

macson
 
itasaidia nini km wabunge wengi ni wa chama tawala wanaolindwa na hiyo tume!

Wamezoea kutumia wingi wao kupitisha miswada ya hovyo tu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wabunge wa upinzani walikuwa wengi wakati Mnyika alipopeleka Muswada binafsi wa Kuundwa kwa Baraza la Vijana na ukapitishwa na kuwa sheria?

Remember, You go to political war with the army you have, not the army you might want or wish to have at a later time!
 
Wanafki hawa,waliwatoa kafara wenzao.Wanaanzia wapi kutokugombea ubunge?Huko wao wanahusika moja kwa moja.Siasa za Tanzania bado sana.Hakuna usawa hata ndani ya vyama.
 
Tindo njoo umsikilize Mnyika!

Mnyika anaweza kuwa na msimamo huo yeye kama kiongozi wa chama, ila tatizo liko kwetu sisi wapiga kura, bila tume huru ya uchaguzi hatutashiriki huo uhuni uitwao uchaguzi. Tutahakikisha unakuwa uchaguzi wenye wapiga kura wachache kupata kutokea hapa nchini. Uzuri ni kuwa somo limeshaeleweka hivyo tunasubiri hatua ya utekelezaji tu. Hapo ndio vyama vyote vya siasa vitagundua nguvu ya umma ni nini. Na uzuri wa nguvu yetu ya umma kwa sasa itakuwa sio ya machafuko. Nina hakika tutakuwa na serikali iliyo madarakani kisheria, lakini isiyo na uhalali wa umma.
 
Nadhani hujui Kanuni za Kudumu za Bunge!

Bunge linaruhusu Muswada Binafsi ina maana kuwa Mbunge yeyote anaweza kupeleka bungeni Muswada binafsi na kama akipata majority inakuwa ni sheria.

Kanuni ya 81(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge imeeleza utaratibu wa kuwasilisha Muswada Binafsi.

Kwa mantiki hii, Mnyika kama Mbunge anaweza kuwasilisha Muswada Binafsi kuhusu Tume ya Uchaguzi.

Kwahili uko sahihi kabisa. Huyo Mnyika na cdm nimewaambia kabisa wapeleke wao hiyo hoja binafsi kwakuwa rais au ccm hawahitaji hiyo tume huru, kwakuwa wao sio waathirika wa mfumo huu wa uchaguzi. Na iwapo hoja hiyo itapigwa chini, basi waje huku mtaani wananchi tupo tutawaunga mkono. Kusubiri rais ndio apeleke huo mswaada wa dharura ni utani wa mchana kweupe.
 
Kwahili uko sahihi kabisa. Huyo Mnyika na cdm nimewaambia kabisa wapeleke wao hiyo hoja binafsi kwakuwa rais au ccm hawahitaji hiyo tume huru, kwakuwa wao sio waathirika wa mfumo huu wa uchaguzi. Na iwapo hoja hiyo itapigwa chini, basi waje huku mtaani wananchi tupo tutawaunga mkono. Kusubiri rais ndio apeleke huo mswaada wa dharura ni utani wa mchana kweupe.
Mtani mko tayari acheni uongo kama mmeshindwa kusajili line zenu huku mkiwa na NIDA mfukoni.Wapinzani wasitegemee keyboard worriers
 
Hahahaàaaaaaaa Magu anapita kwa kura halali na safari hii ccm kiboko

Ndio atapita kwa kura halali lakini chache, maana wapiga kura wengi watakuwa ni wa ccm maana wao hawadhuriki na mfumo huu wa wizi. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatutashiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi, hivyo naona idadi ndogo sana ya wapiga kura kuwahi kujitokeza ndani ya chaguzi zetu.

Uzuri huu uhamasishaji wa watu kutokupiga kura kutokana na mazingira ya kihayawani tulianza wakati wa uchaguzi SM, Tena bila ushawishi wa chama chochote cha siasa na tulifanikiwa. Na sasa uhamasishaji huo tunaendelea kuufanya huku kwenye mitandao ya kijamii, kwenye masoko, michezoni, ikiwemo na kwenye mikusanyiko mingine ya umma na tunapata uungwaji mkono. Bila tume huru ya uchaguzi hakuna kushiriki uchaguzi fullstop.
 
Mtani mko tayari acheni uongo kama mmeshindwa kusajili line zenu huku mkiwa na NIDA mfukoni.Wapinzani wasitegemee keyboard worriers

Unadhani nguvu ya umma ni lazima machafuko, nguvu ya umma ina njia nyingi nazo lengo lake ni kuonyesha hairidhushwi na uongozi uliopo. Machafuko ni hatua ya mwisho.
 
Watz wamekubali utendaji kazi wa magu. Wamesema hakuna haja ya kuchagua cilaza mwingine
 
Wabinafsi hawa:eek::eek:mitaani tumepoteza wenyeviti, tuliowahitaji....leo wao kwa kuangalia maslahi yao mapana ya faida za kibunge....wao hawatasusia uchaguzi...

Bongo hatuna upinzani...upuuzi mtupu


Everyday is Saturday.............:cool:
 
Rais alishasema hana mpango wa katiba,kumuomba kujipendekeza tu kwani hakuna short way kama noama na iwe
 
Wabinafsi hawa:eek::eek:mitaani tumepoteza wenyeviti, tuliowahitaji....leo wao kwa kuangalia maslahi yao mapana ya faida za kibunge....wao hawatasusia uchaguzi...

Bongo hatuna upinzani...upuuzi mtupu


Everyday is Saturday.............:cool:
Mbowe na Lema bila ubunge wataishije?!
 
Back
Top Bottom