Mnyika amejibu vizuri sana

Mnyika amejibu vizuri sana

Kwakweli hili swali limejibiwa vizuri na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika.

Lissu: Kuna kosa mtu akisema, “Msimamo huu unaashiria uasi”?

Mnyika: Sioni kosa, kwa sababu nilishawahi kuona nukuu ya Mwalimu Nyerere akiwaambia vijana:

“Tunataka katika taifa hili vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi" na hakukamatwa.
[/QUOweTE]
We ni shoga lake tunakufahamu!
 
So hapo Tundu Lissu anakiri kweli kuwa alikuwa anahamasisha uasi, ila dhidi ya mfumo kandamizi.....Je huo mfumo unapimwaje kuwa ni kandamizi? Maana ukienda Marekani Kuna wanaharakati wanaona nchi Yao Ina mfumo kandamizi, ukienda China pia wapo wanaiona nchi Yao Ina mfumo kandamizi, Urusi, Kenya, Rwanda, n.k
Mifumo kandamizi na isiyo kandamizi inapimwa kwa kutumia nini?

Je kama mfumo ni kandamizi kweli, kufanya uasi anaoumaanisha Lissu (riots, sabotage, n.k) linakuwa suluhisho halali kwa sababu Nyerere alisema? Tunatakiwa kuchukua maneno ya wanasiasa au viongozi kama kuhalalisha jambo hata kama litahatarisha amani na usalama wa nchi?

Mfano Magufuli alishawahi kusema wafungwa wafanyishwe kazi kama punda, wapigwe mateke, Inakuwa ni kauli sahihi kwa sababu kiongozi mkubwa alisema?
Wewe kumbe ni kiazi namna hii? Mtu akisema tuupige vita umasikini anakuwa amemaanisha tuchukue AK47 na mabomu ya nyuklia kwenda kupigana na umasikini? Hivi barabara unazivuka kwa kutumia akili hii hii au unavushwa?
 
Kwakweli hili swali limejibiwa vizuri na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika.

Lissu: Kuna kosa mtu akisema, “Msimamo huu unaashiria uasi”?

Mnyika: Sioni kosa, kwa sababu nilishawahi kuona nukuu ya Mwalimu Nyerere akiwaambia vijana:

“Tunataka katika taifa hili vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi" na hakukamatwa.
Screenshot_20250823-084911~2.png
 
Ukimsikiliza Mnyika Kichadema utashangilia kuwa amejibu vizuri na utamuona kama Genius ..ila kwa jicho la sheria Kuna vitu vingi anamtia hatiani lisu kwenye maeneo mengi Sana! wacha kesi iishe tuone
Hakuna cha hatia, uhaini ni vitendo sio maneno
 
Back
Top Bottom