Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,412
- 191,569
Waswahili midomo midomo sanabora tu waswahili tuna maneno mno acha tujitenge
Waswahili midomo midomo sanabora tu waswahili tuna maneno mno acha tujitenge
Waswahili midomo midomo sana
Hey there
Missed ..Hey u?
Missed ..
UmemalizaAkili za kimasikini hizi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hatari mzeeMwandiko wako ni kama hujanyaka fweza mkononi mkuu..
[emoji28][emoji28]Bwana akutie nguvu.Hallelujah!
Nimeishi magetini na uswazi. Kwa kweli magetini kuna faraja mara elfu hasa kama hupendi maisha ya kufatiliana leo jirani amekula nini, amevaa nini sijui ametoka na nani.Uswahili bana, jamaani acheni tu
Unakuta unaweka bulb kwnye older yake majiran wote wale madomo jaba watakuuliza "naona leo umekuwa tanesco"
Yaani Mimi sitaki kuona kabisa....siku mtu akijichanganya kwangu anaomba nyanya au kitunguu nampa hela akanunue then Nampa onyo Kali Sana asirudie kufanya ujinga huo....afanye kaziKusaidiana tusaidiane ila masuala ya kuingiliana kwakweli mimi siyapendi. Napenda sana privacy sio kila saa uwe kwangu unijue kwa kila kitu. Hapana na hapo ndipo gate ni muhimu.
Haya mambo ya kuinteract kulikopitiliza ndiyo maana utakuta wanawake wa uswahilini hawaishi kuchambana. Mara mtu atoke mtaa wa saba na bakuri aje kwangu kuangalia leo imepikwa mboga gani ili achukue. Aisee siyo.
Shida inaanza unaponunua kiwanja. Wengi tunautazama uwanja tu kama umekuvutia kwa ukubwa wake au bei nzuri we unanunua. Unatakiwa pia uangalie wanaoishi hapo ni akina nani na je utaendana nao?Yaani Mimi sitaki kuona kabisa....siku mtu akijichanganya kwangu anaomba nyanya au kitunguu nampa hela akanunue then Nampa onyo Kali Sana asirudie kufanya ujinga huo....afanye kazi