Nilitaka kuandika mengi ila naona wakuu hapo juu washanisaidia.
Watu wenye mawazo kama yako mtoa mada huwa na-delete mapema sana.
Kuna watu wanaishi wakifikiria matatizo tu katika maisha yao.
Unakuta mtu anakuambia upo hivyo peke yako peke yako, ukipata tatizo nani atakayekusaidia, halafu wanamaliza kusema "penda kujichanganya na kuongea na watu".
Hawa ndo wale unakuwa na namba zao kwenye simu ukipatwa na shida tu ukipitia phonebook yako kila unayempigia hana msaada wowote zaidi ya kutoa pole.
Live your life and never trust anyone!!
Sent from my E2333 using
JamiiForums mobile app