AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,647
- 4,753
Hizi nyumba maeneo yao hawana ujirani, walikuwa na ujirani wakati wa ujenzi labda. Wengine hata mpaka wanahamia nyumba zao za mageti hamjui jirani yake.
Haya maisha sio kabisa, Allah aniepushe na mfumo huu wa maisha na aniepushe na majirani watu wa mageti wasio jali wala kujua majirani zao. Siku hizi majirani wasalimiana kwa honi, hii adabu tumeitoa wapi?
Watu kama hawa akipata tatizo wewe ndio wavuta shuka kabisa. Raha za majirani ni msalimiane msaidiane katika shida na mfurahi pamoja wakati wa raha watoto watembeleane na siye watu wazima tusalimiane na wala tusigombanie mipaka unakuta ka sehemu kanakogombaniwa ni kahatua kamoja.
Allah aniepushe majirani waovu
Haya maisha sio kabisa, Allah aniepushe na mfumo huu wa maisha na aniepushe na majirani watu wa mageti wasio jali wala kujua majirani zao. Siku hizi majirani wasalimiana kwa honi, hii adabu tumeitoa wapi?
Watu kama hawa akipata tatizo wewe ndio wavuta shuka kabisa. Raha za majirani ni msalimiane msaidiane katika shida na mfurahi pamoja wakati wa raha watoto watembeleane na siye watu wazima tusalimiane na wala tusigombanie mipaka unakuta ka sehemu kanakogombaniwa ni kahatua kamoja.
Allah aniepushe majirani waovu