Mnawaita weupe "mabeberu" wanatulia, Tujifunze ku balance na kuheshimu utu wa watu wote, weusi kwa weupe

matunge

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
442
426
Wandugu,

Licha ya kuwa mtanzania mweusi nachukizwa na viongozi na baadhi ya watu kuwaita wazungu mabeberu.

Ni wazi neno beberu linatumika kuwabagua watu weupe hasa wa nchi za magharibi.

Kuendelea kutumia maneo ya aina hii kwenye dunia ya kisasa iliyounganika karibu kwa kila kitu kunaonesha ni kwa kiasi gani watanzania bado tupo gizani na tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo ya kweli.

Ni wazi mfumo wa uchumi wa kidunia unainyonya Africa.

Lakini hauzuii nchi za Africa kunufaika ikiwa viongozi wake watakuwa wajanja kung'amua namna ya kupata kitu kutoka mfumo uliopo bila ya kuzua ugomvi.

Mzee JK aliwahi kusema 'ruhusu kuliwa ili nawe ule'.

Kauli hii inamaanisha kuwa ukijifanya mbabe dhidi ya mataifa yalioendelea tangu zaidi ya miaka 200 iliyopita na kuwaita mabeberu utaula wa chuya.

Kuwaita wazungu mabeberu ni ujima na ujamaa ambao haujawahi kufanikiwa na hautofanikiwa.

Tunachekelea na kuona inapendeza kuwaita wazungu mabeberu ilihali wao wakituita "tundu la choo cha shimo la udongo" nchi nzima mapovu.

Fikiria mfano meingine uwe London wazungu waanze kukuita "mweusi mweusi mweusi" dunia yote italipuka. ..ooh ubaguzi ubaguzi....lakini sisi tunaona raha kuwaita "mzungu mzungu mzungu" wapitapo kwenye mitaa yetu.

Tujifunze ku balance na kuheshimu utu wa watu wote, weusi kwa weupe.

Usiku mwema.
 
Beberu!! Sidhani kama ni sifa ya kiutawala wa kizungu tu ila hata waafrika wanaweza kuitwa hivyo wakiwa na utawala wa kibeberu,hivi ndivyo ninavyofahamu pia sidhani neno mzungu ni kosa bali linaonyesha race ambayo ni watu wazungu
 
Sio sisi ni awamu ya tano ndo inawaita hivyo.
Mungu wabariki wazungu,mungu wabariki mabeberu
 
Halafu hili neno beberu/ mabeberu lilivuma zaidi awamu hii ya tano hasa baada ya kabudi kupewa uwaziri, yeye ndio bingwa wa kuwaita mataifa yaliyoendelea mabeberu, sijui akiendaga ulaya na marekani bado anawaita hukohuko au anakausha, akirudi tz anawachana mbele ya bosi, kabudi bwana,
 
Wandugu,

Licha ya kuwa mtanzania mweusi nachukizwa na viongozi na baadhi ya watu kuwaita wazungu mabeberu.

Ni wazi neno beberu linatumika kuwabagua watu weupe hasa wa nchi za magharibi.

Kuendelea kutumia maneo ya aina hii kwenye dunia ya kisasa iliyounganika karibu kwa kila kitu kunaonesha ni kwa kiasi gani watanzania bado tupo gizani na tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo ya kweli.

Ni wazi mfumo wa uchumi wa kidunia unainyonya Africa.

Lakini hauzuii nchi za Africa kunufaika ikiwa viongozi wake watakuwa wajanja kung'amua namna ya kupata kitu kutoka mfumo uliopo bila ya kuzua ugomvi.

Mzee JK aliwahi kusema 'ruhusu kuliwa ili nawe ule'.

Kauli hii inamaanisha kuwa ukijifanya mbabe dhidi ya mataifa yalioendelea tangu zaidi ya miaka 200 iliyopita na kuwaita mabeberu utaula wa chuya.

Kuwaita wazungu mabeberu ni ujima na ujamaa ambao haujawahi kufanikiwa na hautofanikiwa.

Tunachekelea na kuona inapendeza kuwaita wazungu mabeberu ilihali wao wakituita "tundu la choo cha shimo la udongo" nchi nzima mapovu.

Fikiria mfano meingine uwe London wazungu waanze kukuita "mweusi mweusi mweusi" dunia yote italipuka. ..ooh ubaguzi ubaguzi....lakini sisi tunaona raha kuwaita "mzungu mzungu mzungu" wapitapo kwenye mitaa yetu.

Tujifunze ku balance na kuheshimu utu wa watu wote, weusi kwa weupe.

Usiku mwema.
mtu anaye muita mzungu ni beberu anashangaza hajui kuwa bahieti kama ya nchi inategemea nchi wahisani na ndio hao hai wanaowaita mabeberu, dawa za ukimwi tunapata kama msaada kutoka kwa hao hao maana tungeambiwa tununue tungekufa miradi kibao inayo simamiwa na mabeberu ndio inayoleta positive change katika jamii. bado wanasema wanatafuta wawekezaji na hao hao mabeberu. Kinacho tuua africa ni uroho wa madaraka na mail halafu tunasingizia mabeberu
 
Halafu hili neno beberu/ mabeberu lilivuma zaidi awamu hii ya tano hasa baada ya kabudi kupewa uwaziri, yeye ndio bingwa wa kuwaita mataifa yaliyoendelea mabeberu, sijui akiendaga ulaya na marekani bado anawaita hukohuko au anakausha, akirudi tz anawachana mbele ya bosi, kabudi bwana,
Kwani wao wazungu wanajua kama seeikali ya magufuri inawaita mabeberu?
 
Wandugu,

Licha ya kuwa mtanzania mweusi nachukizwa na viongozi na baadhi ya watu kuwaita wazungu mabeberu.

Ni wazi neno beberu linatumika kuwabagua watu weupe hasa wa nchi za magharibi.

Kuendelea kutumia maneo ya aina hii kwenye dunia ya kisasa iliyounganika karibu kwa kila kitu kunaonesha ni kwa kiasi gani watanzania bado tupo gizani na tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo ya kweli.

Ni wazi mfumo wa uchumi wa kidunia unainyonya Africa.

Lakini hauzuii nchi za Africa kunufaika ikiwa viongozi wake watakuwa wajanja kung'amua namna ya kupata kitu kutoka mfumo uliopo bila ya kuzua ugomvi.

Mzee JK aliwahi kusema 'ruhusu kuliwa ili nawe ule'.

Kauli hii inamaanisha kuwa ukijifanya mbabe dhidi ya mataifa yalioendelea tangu zaidi ya miaka 200 iliyopita na kuwaita mabeberu utaula wa chuya.

Kuwaita wazungu mabeberu ni ujima na ujamaa ambao haujawahi kufanikiwa na hautofanikiwa.

Tunachekelea na kuona inapendeza kuwaita wazungu mabeberu ilihali wao wakituita "tundu la choo cha shimo la udongo" nchi nzima mapovu.

Fikiria mfano meingine uwe London wazungu waanze kukuita "mweusi mweusi mweusi" dunia yote italipuka. ..ooh ubaguzi ubaguzi....lakini sisi tunaona raha kuwaita "mzungu mzungu mzungu" wapitapo kwenye mitaa yetu.

Tujifunze ku balance na kuheshimu utu wa watu wote, weusi kwa weupe.

Usiku mwema.
Kwa dunia ya Leo ya utandawazi lawama za kizamani hazitupeleki kokote, all needed is political integrity
 
Wandugu,

Licha ya kuwa mtanzania mweusi nachukizwa na viongozi na baadhi ya watu kuwaita wazungu mabeberu.

Ni wazi neno beberu linatumika kuwabagua watu weupe hasa wa nchi za magharibi.

Kuendelea kutumia maneo ya aina hii kwenye dunia ya kisasa iliyounganika karibu kwa kila kitu kunaonesha ni kwa kiasi gani watanzania bado tupo gizani na tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo ya kweli.

Ni wazi mfumo wa uchumi wa kidunia unainyonya Africa.

Lakini hauzuii nchi za Africa kunufaika ikiwa viongozi wake watakuwa wajanja kung'amua namna ya kupata kitu kutoka mfumo uliopo bila ya kuzua ugomvi.

Mzee JK aliwahi kusema 'ruhusu kuliwa ili nawe ule'.

Kauli hii inamaanisha kuwa ukijifanya mbabe dhidi ya mataifa yalioendelea tangu zaidi ya miaka 200 iliyopita na kuwaita mabeberu utaula wa chuya.

Kuwaita wazungu mabeberu ni ujima na ujamaa ambao haujawahi kufanikiwa na hautofanikiwa.

Tunachekelea na kuona inapendeza kuwaita wazungu mabeberu ilihali wao wakituita "tundu la choo cha shimo la udongo" nchi nzima mapovu.

Fikiria mfano meingine uwe London wazungu waanze kukuita "mweusi mweusi mweusi" dunia yote italipuka. ..ooh ubaguzi ubaguzi....lakini sisi tunaona raha kuwaita "mzungu mzungu mzungu" wapitapo kwenye mitaa yetu.

Tujifunze ku balance na kuheshimu utu wa watu wote, weusi kwa weupe.

Usiku mwema.
Usiwe na hofu mkuu kama tunawaita wao mabeberu basi ujue sisi ni mbuzi jike
 
Mtu mweusi hawezi na hatuna uwezo wa kuwa racist, acha kujifanya wewe ni post-human.
 
Wandugu,

Licha ya kuwa mtanzania mweusi nachukizwa na viongozi na baadhi ya watu kuwaita wazungu mabeberu.

Ni wazi neno beberu linatumika kuwabagua watu weupe hasa wa nchi za magharibi.

Kuendelea kutumia maneo ya aina hii kwenye dunia ya kisasa iliyounganika karibu kwa kila kitu kunaonesha ni kwa kiasi gani watanzania bado tupo gizani na tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo ya kweli.

Ni wazi mfumo wa uchumi wa kidunia unainyonya Africa.

Lakini hauzuii nchi za Africa kunufaika ikiwa viongozi wake watakuwa wajanja kung'amua namna ya kupata kitu kutoka mfumo uliopo bila ya kuzua ugomvi.

Mzee JK aliwahi kusema 'ruhusu kuliwa ili nawe ule'.

Kauli hii inamaanisha kuwa ukijifanya mbabe dhidi ya mataifa yalioendelea tangu zaidi ya miaka 200 iliyopita na kuwaita mabeberu utaula wa chuya.

Kuwaita wazungu mabeberu ni ujima na ujamaa ambao haujawahi kufanikiwa na hautofanikiwa.

Tunachekelea na kuona inapendeza kuwaita wazungu mabeberu ilihali wao wakituita "tundu la choo cha shimo la udongo" nchi nzima mapovu.

Fikiria mfano meingine uwe London wazungu waanze kukuita "mweusi mweusi mweusi" dunia yote italipuka. ..ooh ubaguzi ubaguzi....lakini sisi tunaona raha kuwaita "mzungu mzungu mzungu" wapitapo kwenye mitaa yetu.

Tujifunze ku balance na kuheshimu utu wa watu wote, weusi kwa weupe.

Usiku mwema.


CCM ndio wanaongoza kuita watu lugha za UBAGUZI

1. MABEBERU
2. MAJIZI
3.NYUMBU


WAO WAKIITWA:-

1. NZI WA CHOONI wanalia lia
 
Usihuzinike bure, usidhani kama wao wanajali sana tunawaitaje.

Wengi wao wanasikia huruma zaidi, na wapo tayari tuite majina tunayojisikia iilimradi watuone tukiwa na furaha.
 
1274700.jpg
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom