Vp mkuu.. kwani ajira za Jw watu washachukuliwa mwaka huu?Utasikia uzalendo dooh
Duuh.. kweli sio poaWanachukua kimya kimya ndo mfumo wao ukisikia wanatangaza usahili washamaliza
AiseeAjira Zipo ila connection ATA kama unavigezo
Aiseee.. tusio na connection mtaa utaendelea kutunyooshaSasa ivi ndo tabia yao ,Tena ukiwa na ndugu atakama ujapita JKT
Uliyepitia jkt unajiajiri vipi? Wasiongeze uhalifu mtaani tu hawa viongozi!Wanatuambia SISI tujiajiri
Pole mkuu.. bado upo huko au usharudi kitaa?Wanipotezea mda wangu Nina hasira sio ya kitoto
Pole.. acha maisha yaendeleeNIMELUDI nipo kama zoba TU apa sielewi
Ujuzi upo mkuu kule si kuna range mnalenga shabaha, kwata, unafundishwa kutumia silaha japo ni basic tu, kuna vitengo mbalimbali unaweza jifundisha ufundi wa magari au ujenzi n.kAkuna ujuzi unaopata kule kaka zaidi ya kufanya kazi zawatu tuu ,
Haya ninayoyasema unatakiwa kuyafanya tangu siku ya kwanza unafika JKT kwani kipindi kile cha kozi huwa muda mwingi ni mazoezi maovyoovyo kama yote na mafunzo mengine hilo la JKT kujihusisha na miradi ya kiserikali huwa mtafanya baada ya kumaliza kozi na hilo kwa JKT haliepukiki ndio maana likaitwa Jeshi la Kujenga Taifa hivyo ni wewe kujua jinsi ya kwenda nalo.Brother ilikua zamani ,sasa hivi jeshi la kimkakati JKT sasa wanafanya miradi ya serikali,mafunzo ni sehemu ndogo sana ya jkt
Hayo mafunzo ya miaka 3 ni dili kubwa sana kwenye mchakato wa kuipata Tanzania mpya. Ni vile tu bado hamjagundua.Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu mnambiwa mkajiajiri kujiajiri nyoko madako yenu.
kweli nimeona una hasira sio ya kitoto,..😆😆😃😅😂🤣Wanipotezea mda wangu Nina hasira sio ya kitoto
Kweli kabisaTulikuwa na msemo enzi hizo tupo JKT kwamba JKT KAMA JKT HAIAJIRI tulikuwa tunapokuwa "HANGANI" tunapeana hilo tangazo, lakini jembe halimtupi MKULIMA hiko cheti kitakuja kukusaidia mahalia hautegemei.
Kwa kuongezea ukiona miradi sensitive kwa Taifa au matukio maalum kama maafa huko ndipo pakukimbilia maana huwa panakuja na NEEMA.Haya ninayoyasema unatakiwa kuyafanya tangu siku ya kwanza unafika JKT kwani kipindi kile cha kozi huwa muda mwingi ni mazoezi maovyoovyo kama yote na mafunzo mengine hilo la JKT kujihusisha na miradi ya kiserikali huwa mtafanya baada ya kumaliza kozi na hilo kwa JKT haliepukiki ndio maana likaitwa Jeshi la Kujenga Taifa hivyo ni wewe kujua jinsi ya kwenda nalo.
Watu walishashtuka kitambo kuwa ile ni mipigo tu,..na kama unampeleka mtoto wako wa kike ndo kabisaaaaaa watu wanakushangaa unavyo wapelekea watu nyama..Wakuu mbona mnacheka