Wazungu wanapenda adventure lakini sio kama hiyo voyage uliyoifanya wewe Madame, hapo uliamua ku risk your lfe kwakweli na usirudie kama ulivyojiapiza, wapo wenyewe walozowea
Hao sio watumwa walikua ni manamba yaani vibarua waliokua wanafanyakazi kwenye mashamba ya mkonge ya Tanga ndio waliokua wakichukuliwa na kukusanywa pale Kipumbwi na Sakura wakiwa na mapanga yao makali kwenda kufanya mapinduzi ya zanzibar ya mwaka 1963, ni historia inayofichwa kwa sababu zisizoeleweka dada, mimi nimesoma kwenye vitabu