KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
I was asked to supervise those tests, but i am to busy with my job
Hiki "Kiingereza" nimekipenda sana
ILA nakushauri ujipige msasa kabla hujafa ili upate muda wa ku-edit comment hii
I was asked to supervise those tests, but i am to busy with my job
Umeambiwa mgombea ubunge wewe...Hahaha Mtihani halaf uwe mbunge? Hebu tuone maajabu ya hili.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mfumo mpya wa kuwapata wagombea nafasi ya ubunge kuanzia uchaguzi wa 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa alisema kuwa kuanzia uchanguzi ujao wa 2015, nafasi za wagombea ubunge majimbo yote nchini zitatangazwa kwenye magazeti.
Dk. Slaa alisema baada ya waombaji kujitokeza watafanyiwa usaili kwa kufanya mtihani utakaokuwa umeandaliwa kwa kuzingatia nafasi hizo.
Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe amekwisha kusema kwamba kuanzia sasa hatupokei makapi kutoka Chama Cha
Mapinduzi (CCM) na hili naliweka wazi kwamba uchaguzi ujao utakuwa na mfumo mpya na wenye mabadiliko makubwa, tunaamini utaleta uzalendo na kuondoa upuuzi unaojitokeza.
Kwa wale walio na mipango ya kujitokeza dakika za mwisho kugombea nafasi za ubunge kupitia Chadema au nje ya chama, naomba wasahau hilo tunataka mtu anayetetea wananchi, mwenye uzalendo, hoja, ujasiri na mwenye kuitoa Tanzania hapa ilipo na kuisogeza mbele,alisema.
Akizungumzia suala la mchakato wa katiba mpya alisema Chadema haitakubali kuona inakuwa sehemu ya watu walioshiriki kutengeneza katiba isiyo ya Watanzania wote.
Bravo Chadema. CCM nao waige waache kupeana kwa upendeleo.
Ningeshauri Chadema utafute timu wa watakaosaili wenye uzoefu na siasa na wasio wanachadema ili kutotoa upendeleo.
Hivi kufanya mtihani kunakufanya uwe na haiba ya kuchaguliwa na wananchi? Halafu huo mtihani utampimaje mtu kutambua ni mzalendo? Any way ngoja nianze mishe mishe za kuchukua form ili nikagombee nyamagana.
inaonesha hata akili yako iko ki hollograph pia hujitambui....
Hv jimbo la Bunda c liko wazi muda wote wa Wassira au nakosea? Naomba mniunge mkono nikagombee kule jamani! Mm ni mzawa kabisa na mzalendo wa kweli acha huyo mzee wa kuchapa usingizi bungeni a.k.a Tumbotumbo.CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mfumo mpya wa kuwapata wagombea nafasi ya ubunge kuanzia uchaguzi wa 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa alisema kuwa kuanzia uchanguzi ujao wa 2015, nafasi za wagombea ubunge majimbo yote nchini zitatangazwa kwenye magazeti.
Dk. Slaa alisema baada ya waombaji kujitokeza watafanyiwa usaili kwa kufanya mtihani utakaokuwa umeandaliwa kwa kuzingatia nafasi hizo.
Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe amekwisha kusema kwamba kuanzia sasa hatupokei makapi kutoka Chama Cha
Mapinduzi (CCM) na hili naliweka wazi kwamba uchaguzi ujao utakuwa na mfumo mpya na wenye mabadiliko makubwa, tunaamini utaleta uzalendo na kuondoa upuuzi unaojitokeza.
Kwa wale walio na mipango ya kujitokeza dakika za mwisho kugombea nafasi za ubunge kupitia Chadema au nje ya chama, naomba wasahau hilo tunataka mtu anayetetea wananchi, mwenye uzalendo, hoja, ujasiri na mwenye kuitoa Tanzania hapa ilipo na kuisogeza mbele,alisema.
Akizungumzia suala la mchakato wa katiba mpya alisema Chadema haitakubali kuona inakuwa sehemu ya watu walioshiriki kutengeneza katiba isiyo ya Watanzania wote.