david chacha
New Member
- Jun 22, 2011
- 3
- 0
Ni sahihi, kwani hii inaweza kuondoa kupitishana kiupambe, lakini atakaesahihisha huo mtihani ni nani? na nani atakaethibitisha kuwa waombaji waliokosa kwa kigezo cha mtihani wametendewa haki na si mizengwe kufanyika?