Naomba CHADEMA kama inawezekana mnisaidie nigombee ubunge katika jimbo la Tunduru mjini kama kuna nafasi.
Subiria nafasi zitatangazwa mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba CHADEMA kama inawezekana mnisaidie nigombee ubunge katika jimbo la Tunduru mjini kama kuna nafasi.
Umupangane kaka, walimila kati mbii kwanso
Ndugu yangu kama kweli Tanzania ya leo tuna watu mnaoongelea ukabila kwa kuwaleng watu fulani mjue tuna muda mrefu wa kupiga maendeleo kiuchumi na kifikra. Na bahati nzuri watu unaowapa jina baya nawasifu maana walipotambua mnawabagua wakawekeza katika elimu na uchumi. Wakati mnaangaika na shule kila kata wao washapita huko zamani maana wao wanaongelea sekondari 4 na zaidi kwa kila kata. Wako too strategic maana wanasoma focusing on the industry from which they can be employed or self employed and extract cream. Wenzetu wametuzidi hata kama mtawapaka matope. Hamna ukabila kwao bali uwezo. That's the bottomline
Dr.W.Slaa naomba utwambie nani atasahisha hiyo mitihani?maana hatutegemei wewe mwenyewe ndio msahishaji wa mtihani.
Nani atasimamia hiyo mitihani?
Umejiandaa vipi kukabiliana na watakao chora mazombi kwenye mitihani?
Umejiandaaje kukabiliana na watakao ingia kwenye mitihani wametumia vilevi na mihadarati kama gongo na bangi?
Mmejiandaa vipi kukabiliana na wizi wa hiyo mitihani?bila shaka unajua vijana wako hawashindwi kuiba?
Umejiandaa vipi kukabiliana na uvujaji wa hiyo mitihani maana pale makao makuu ndio maarufu kwa kuvujisha siri za chama.
Dr.W.Slaa ina maana hata wenye viti wa mikoa na wilaya wa chama watafanya mitihani?
Katika hili naomba uandae video camera ili kuweza kuwabaini watakao kuwa wanapiga chabo kwenye chumba cha mtihani na adhabu yao ni kuwaanika hadharani.
Kamanda Rose Mayemba chukua fomu umuondoe sugu.
Kamanda Yericko Nyerere chukua fomu upige paper.
Kuna wabunge watajitoa mapema kabisa
mh Dr.W.Slaa na wabunge viti maalum hawatofanya mitihani?
Hahahahaha sipati picha dr slaa anatangaza matoke alaf anatuonesha karatasi jinsi watu walivyo chora mazombi.
Cc
Ritz, CHAMVIGA, mwekundu
Pls kill yourself!
Naenda mbinga magharibi kwa mzinzi john komba
Beba KY
Naona una uzoefu nayo
Unataka kunipa ndogo na mimi? Bahati mbaya michezo hiyo sifanyi mpelekee Komba tu.
Naomba CHADEMA kama inawezekana mnisaidie nigombee ubunge katika jimbo la Tunduru mjini kama kuna nafasi.