Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Tofauti na wewe, mimi huwa nasema ukweli ambao mtu yeyote anaweza kuu-verify! Nimeshawahi kupigwa ban hapa hapa kwa kusema ukweli ambao (naambiwa) kuwa ulikiuka sheria za JF! Invisible, nimwambie kinachomstahili huyu mtu?
Kijana ukitaka kutukana wewe tukana tu, mimi nakuruhusu maana najua malezi yenu yanakosoro ndio maana bila kutukana huoni kama hoja yako itasikika.