Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
thank you for sharing nakukubali sanaTatizo ni kwamba kila mtu unayeona amefanya mambo makubwa chimbuko lake ni huko.
Ukitaja watu matajiri au wenye ushawishi na wenye uvumbuzi wa teknolojia chimbuko lao ni Israel.
Hivi unajua teknolojia ya Artificial Intelligence ilivyopindua meza kwenye masuala ya uendeshaji mitambo?
Unajua mvumbuzi wake ni asili ya wapi? Mark Zuckerberg unajua asili yake wapi?
A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi
Nb. Siwaabudu Israel