STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Mbona ndio wanaongoza kwa umaskini pia au ndio laana mopaka leo inawatafuna?
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
N
Wikipedia yenyewe inatuambia kuwa ni Mjerumani
N
Wikipedia yenyewe inatuambia kuwa ni Mjerumani
MKUU hata hio wikipedia uloileta wewe mwenyewe kama ushahidi juu eistein inakukatalia kama Albert alikua Muisrael Cjui kwaasili
Ila jamaa alikua Mjerumani safi kabisa aliepelekwa US kwamasuala yakimaisha naharakati zahapa napale
Albert Einstein was a German-born theoretical physicist who developed the theory of relativity, one of the two pillars of modern physics. His work is also known for its influence on the philosophy of science. Wikipedia
Born: March 14,.....
hapa labda .....he was born in german yes but has jewsh background, read the whole article
USA haiwezi kuhangaika na Israel Kama hawana lolote.Israel bila ya dollars bilion zaidi ya 10 wanazopewa na USA kila mwaka hawana lolote.
hiyo mwaka 1933 nchi ya israel ilikuwa wapi? maana inajulikana taifa la israel liliundwa mwaka 1947Einsten ni raia wa israel na kuna kipindi alipewa ofa ya kua raisi wa israel baada ya raisi aliekuepo kumaliza mda wake ila alikataa kwa kisingizo kua hana uzoefu mzuri wa malalamiko ya watu, he is from israel
Albert Einstein - Wikipedia
View attachment 1501755
Na unajua bila waisrael hata hiyo marekani ni hamna kitu?Bila USA hao Israel ni kaputi tu.
Tanzania kabla ya mwaka 1964 ilikuwa iko africa mashariki, imepakana na kenya, uganda, rwanda, ilikuwa inaitwa Tanganyika, Turudi kwa Israel, kabla ya vita kuu ya dunia, ilikuwa wapi?Swali langu kabla ya mwaka 1964 Tanzania ilikuwa wapi?
Akikujibu Unitag MKUU.....Tanzania kabla ya mwaka 1964 ilikuwa iko africa mashariki, imepakana na kenya, uganda, rwanda, ilikuwa inaitwa Tanganyika, Turudi kwa israel, kabla ya vita kuu ya dunia, ilikuwa wapi?
Ni vema sana unaposema siyo, ukasema sahihi ni hivi au vile.Mkuu sijui kama una elewa. Acha kula propaganda. Tumia akili kuelewa mambo badala ya kusema tu kumeza.Unakuwa unatumika kusambaza propanda bila kujua. Zucker sio myahudi wa asili wala Mccarthy sio myahudi wa asili.
Kama umenielewa hapo basi utatambua kwamba wayahudi wa asili ni wachache sana na hawana utofauti wa kiakili na wewe. Kama unataka kufanya jambo kubwa unaweza. Chukua tu hatua.
Naomba utwambie Taifa la Shetani ni lipi, rafiki wa Shetani ni yupi ambaye kila Mkristo na mwenye akili anamjua na pia utuambie kwa mukhtadha wako Tanzania ni taifa la nani!!?Ni taifa teule la Mungu, ni rafiki wa mungu, na ni watu wa mungu. Kila mkiristo na mwenye akili analijua hilo
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unajitia msomiiii hujaelewa nini sasa ,yani kuna watu mnajifanya mmesoma.sana kazi yenu kuangalia makosa tu.Huu uandishi ni wa wapi?? Islaeli ndio nchi gani?
Kwa nini wao wapewe tuuu! watu hawajui tu hizi familia ni za kifalme na Mejemadari wa kale wa Ulaya yote! Babu wa Babu zao ndiyo walikuwa chachu ya mapinduzi na Maongozi ya kuibadilisha Ulaya yote! na DuniaIsrael bila ya zaidi ya dollars bilion 10 wanazopewa na USA kila mwaka hawana lolote.
Uchambuzi wako ni wa kishabiki mno!!!!Kwa nini wao wapewe tuuu! watu hawajui tu hizi familia ni za kifalme na Mejemadari wa kale wa Ulaya yote! Babu wa Babu zao ndiyo walikuwa chachu ya mapinduzi na Maongozi ya kuibadilisha Ulaya yote! na Dunia
walibuni ni kwa vipi wataendela kufaidi keki ya Dunia vizazi vyao vyote! Ulaya ikijaa wataenda wapi! Middle East! kwa sbabu wanajiita wayahudi Basi lengo lao ni kuhakikisha Israel inakuwa katikati ya Mito iliyo tajwa kwenye Biblia yaani Tigris na Nile river
ni nchi zao mwisho Uganda, Rwanda Burundi Ziwa victoria lote mpaka Tanga kuelekea Cairo.
Bendera ya Israel ina Rangi za Blue juu na chini ile inaonyeshea Mito miwili yaani Tigris na Nile! kadiri wanavoongezeka wanapanua mipaka yao mpaka muwekwe mtu kati. kinachotakiwa Dunia ijue wao ndiyo Israel asilia