Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Waua Yesu. Makatili. Wapora ardhi. Wabaguzi ukibisha nenda kaishi kule na hata ukifuata dini yao ya hebrew bado utabaguliwa tu
kwan yesu alihukumiwa na wananchi au utawala au Je Tundulisu alitaka kuuliwa na wananchi kisa serikali kuhusishwa ?
 
Israel wao waliba jina la Mtume Yaqoub sababu alikuwa na Majina mawili ili watengeneze Bibilia zao na kusema Israel ni taifa teule wamesahau history huwezi ibadilisha makibila 12 ya wajukuu wa Israel wapo Warabu, Wa Afghanstan, Wayahudi na makibila mengi

Afu nchi walio ahidiwa katakana na Quran na Bibilia

Itakuwa ni Aradhi ya kinani ni Misr automatic kwa sasa ni Egypt

Afu bani Israel mbona wengi tu walifuata dini ya baba yao ni Uislam.

Mungu Alisha wauliza swali wakristo nawayahudi kuhusu Ibrahim kama wanadai Ibrahim alikuwa myahudi au mkristo walete Dalili zao

Hawana kitu hao ni kila watu wakipata elimu ndio watajua hio Israel ilitengenezwa na muingereza si kama wanavyo dai wakristo.
uyaudi , uislam na ukristu ni utoto wetu sisi kujibagua il ahakukuwepo ma jina la hzio dini enz za Ibrahim kikubwa ilikuwa kumuabudu mungu tu
 
Hitler alitaka kuondoa kizazi Cha wayahudi kwenye uso wa dunia.....Je ni kwanini ? Tuanzie hapo
 
Mkuu angekuwa na akili angelialia na kuitia deni kubwa nchi yake.
.
Screenshot_20230516-205847.jpg
 
Tatizo ni kwamba kila mtu unayeona amefanya mambo makubwa chimbuko lake ni huko.

Ukitaja watu matajiri au wenye ushawishi na wenye uvumbuzi wa teknolojia chimbuko lao ni Israel.

Hivi unajua teknolojia ya Artificial Intelligence ilivyopindua meza kwenye masuala ya uendeshaji mitambo?

Unajua mvumbuzi wake ni asili ya wapi? Mark Zuckerberg unajua asili yake wapi?

A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Nb. Siwaabudu Israel
We jamaa Mark ni mvumbuzi au CEO, llke in TESLA, Elon ni CEO na si mvumbuzi wa TESLA car.
Dunia ya Leo haina mvimbuzi wa jambo mmoja, vitu vibwfanyika katia team work, bado unaweza kizamani sana.
Mark alisha acha kuandika code zamani.
AI haina mvumbuzi mmoja like internet haina mvimbuzi mmoja, computer haina mvimbuzi mmoja,gari haina mvimbuzi mmoja.
Kitu kimejengwa ktk mifumo mingine kifanye kazi unasemaje kina mvumbuzi mmoja! AI ina tumia mifumo mingi sana kuwa ilivyo, hivyo si uvumbuz⁶i wa mtu mmoja.
 
Waisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.

Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?

Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.

Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.

Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.

Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?
Wana akili sana ukilinganisha na waarabu ambao wao kila uchao ni kujilipua tu.
 
Hawana AKILI wale ni propaganda tu za Wazungu. Kama Wana AKILI wangekuwa no. 1 kiuchumi but wanaongoza kupokea mikopo kutoka marekani
There is no leading technology kule. All cutting age technology zinatoka Ulaya,USA, China,Japan,Korea. Sijawahi ona vifaa vinavyotumika ktk nazingira ya kibongo kutoka Islael. Labda huko jeshi
Nadhan wana technoloji ya kuwatosha wao.
Hakuna kitu kibachotikisa dunia kinatoka Islael. Hawakugunfua gari,meli, hedge,computer, internet nk vyote vinayoka ulaya,USA na China nadhani hata Islae wanaweza kuwa wanatumia vitu vingi sana vya mchina.
Islael level zake ni Singspoor, Taiwan, Mslsysia,Iran South Africa. Nedhetlana, Turkey.
 
Back
Top Bottom