4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 8,585
- 7,571
kwan warab hawakusaidiwa ? kubali kushindwaAcha kupotosha watu, nyuma ya israel walikuwa wakina nani wakimsaidia nyuma yake?
kwan warab hawakusaidiwa ? kubali kushindwaAcha kupotosha watu, nyuma ya israel walikuwa wakina nani wakimsaidia nyuma yake?
kwan yesu alihukumiwa na wananchi au utawala au Je Tundulisu alitaka kuuliwa na wananchi kisa serikali kuhusishwa ?Waua Yesu. Makatili. Wapora ardhi. Wabaguzi ukibisha nenda kaishi kule na hata ukifuata dini yao ya hebrew bado utabaguliwa tu
nini hoja yako ? sion mantik ya hilo swaliIran ni waarabu?
uyaudi , uislam na ukristu ni utoto wetu sisi kujibagua il ahakukuwepo ma jina la hzio dini enz za Ibrahim kikubwa ilikuwa kumuabudu mungu tuIsrael wao waliba jina la Mtume Yaqoub sababu alikuwa na Majina mawili ili watengeneze Bibilia zao na kusema Israel ni taifa teule wamesahau history huwezi ibadilisha makibila 12 ya wajukuu wa Israel wapo Warabu, Wa Afghanstan, Wayahudi na makibila mengi
Afu nchi walio ahidiwa katakana na Quran na Bibilia
Itakuwa ni Aradhi ya kinani ni Misr automatic kwa sasa ni Egypt
Afu bani Israel mbona wengi tu walifuata dini ya baba yao ni Uislam.
Mungu Alisha wauliza swali wakristo nawayahudi kuhusu Ibrahim kama wanadai Ibrahim alikuwa myahudi au mkristo walete Dalili zao
Hawana kitu hao ni kila watu wakipata elimu ndio watajua hio Israel ilitengenezwa na muingereza si kama wanavyo dai wakristo.
Mkuu angekuwa na akili angelialia na kuitia deni kubwa nchi yake.yan wamerusha ad satelite wanakuaje hawana akili. watahudi wanaakili sana wengi wanaushi nchi nyingine kv. england Usa NK
chkulia mfano akili kubwa ya Zelensky myahudi.
.Mkuu angekuwa na akili angelialia na kuitia deni kubwa nchi yake.
We jamaa Mark ni mvumbuzi au CEO, llke in TESLA, Elon ni CEO na si mvumbuzi wa TESLA car.Tatizo ni kwamba kila mtu unayeona amefanya mambo makubwa chimbuko lake ni huko.
Ukitaja watu matajiri au wenye ushawishi na wenye uvumbuzi wa teknolojia chimbuko lao ni Israel.
Hivi unajua teknolojia ya Artificial Intelligence ilivyopindua meza kwenye masuala ya uendeshaji mitambo?
Unajua mvumbuzi wake ni asili ya wapi? Mark Zuckerberg unajua asili yake wapi?
A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi
Nb. Siwaabudu Israel
Wana akili sana ukilinganisha na waarabu ambao wao kila uchao ni kujilipua tu.Waisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.
Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?
Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.
Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.
Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.
Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?
Hawana AKILI wale ni propaganda tu za Wazungu. Kama Wana AKILI wangekuwa no. 1 kiuchumi but wanaongoza kupokea mikopo kutoka marekaniWana akili sana ukilinganisha na waarabu ambao wao kila uchao ni kujilipua tu.
There is no leading technology kule. All cutting age technology zinatoka Ulaya,USA, China,Japan,Korea. Sijawahi ona vifaa vinavyotumika ktk nazingira ya kibongo kutoka Islael. Labda huko jeshiHawana AKILI wale ni propaganda tu za Wazungu. Kama Wana AKILI wangekuwa no. 1 kiuchumi but wanaongoza kupokea mikopo kutoka marekani