Mnaopanga kuandamana tena

Mnaopanga kuandamana tena

Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Toa location tuje tukusaidie kwenda kwa Mungu moja kwa moja maana huko Imeandikwa Hakuna Njaa ni mwendo wa kutafuna Bikra 72
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Muda sio rafiki kwa kweli hayo unayoyasema jaribu kuwaambia wale wanaojifanya wanaambiwa lakini hawasikii wanachoambiwa na muda unakimbia vibaya sana...
 
Acha kulialia sister.
Tunakutengenezea Nchi yenye haki, demokrasia na utawala bora.

Tumechoka kua watumwa kwenye Nchi yetu.
Kwa sasa Tanzania ili uwe salama au upate fursa za kiuchumi na utawala inabidi uwe chawa kwanza.
Je wewe unafuraha kuishi kwenye Nchi ya namna hii?

It's better to die fighting for freedom than to be a prisoner all the days of your life.

Meet us on December 9 🔥
 
🤣🤣🤣🤣 nimekwisha Mimi
1000102808.jpg

Kosa ni kurudia kosa
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Wewe mwenye maisha magumu ndio unatakiwa uwe frontline 9D.

Fikiria una maisha ya kuungaunga halafu fisadi na mwizi said lugumi anakuonesha yard yake ya magari ya thamani alioifunga kiyoyozi.

Gari ya bei ya chini milioni mia nne ambazo amezipata kifisadi.

Ujakaa sawa unamuona mtoto wa mkurugenzi wa usalama wa taifa anachezea dola laki 3 ambazo ni milioni 700 na ushee za kitanzania.

Hiyo haitoshi anakuonesha na dole la kati kabisa kama ishara ya matusi na huna la kumfanya.

Hapo bado ujaongelea rozi rozi la Abdul la billion 2 na ushee na manunuzi yake ya tiles za bilioni 2 na milioni mia nne ambazo zote zimepatikana kifisadi.

Kwa hali kama hiyo unaanzaje kulala ndani?

Toka tukaikomboe nchi yetu.

Toka tukawsshikishe adabu watekaji na wauaji.

Usiogope wao ni binadamau kama sisi.

Wanaumia na kufa kama sisi.

Ndio maana maandamano yaliyopita kuna wengine baada ya kuzidiwa na wananchi walivua gwanda zao na kukimbia.

Naomba tutoke 9D nguvu yako inahitajoka sana.

#9D save the date.

#Aluta continua.
 
Acha kulialia sister.
Tunakutengenezea Nchi yenye haki, demokrasia na utawala bora.

Tumechoka kua watumwa kwenye Nchi yetu.
Kwa sasa Tanzania ili uwe salama au upate fursa za kiuchumi na utawala inabidi uwe chawa kwanza.
Je wewe unafuraha kuishi kwenye Nchi ya namna hii?

It's better to die fighting for freedom than to be a prisoner all the days of your life.

Meet us on December 9 🔥
Naelewa mdogo angu na najua mnachopigania.ila
Au basi
 
Back
Top Bottom