Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 8,017
- 12,647
Mimi na nani, umewahi kuniona popote nikimlenga dada au mama yako? Tumewahi kukutana nikakuhubiria?Ulokole ni utapeli kama utapeli mwingine
Wakati huo unaouzungumzia walikuwepo matapeli wengi tu
Ni porojo na kuzinguana tu Ulokole ni wadhambi period!
Tusali sio kutudanganya na uponyaji sijui mafanikio sijui utapata mume
Swali langu mbona mnalenga wanawake tu?
Nendeni mkaponye mahospitalini maana wale ndio wanahitaji uponyaji...
