Mnaohubiri stand ya Mbezi mnaboa

Mnaohubiri stand ya Mbezi mnaboa

Mnapiga makelele ya kuomba Sadaka, watu wengine ni wagonjwa hawahitaji kusikia makelele yenu,yaani hata kuongea na Simu tunashindwa. Tena mmejigundulia wote mnasimama foleni ya mwendokasi, kazi yenu nikuomba Sadaka, hamfanyi tena kazi mahubiri.Hebu nendeni mahospitalini kuna watu wanahitaji huduma za maombezi zaidi.

Amo 8:11 SUV​

Angalia, siku zinakuja, asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA.

Ipo siku utawatafuta hao mkuu. Hamna Injili ya watu wote kwa wakati mmoja. Kuna mtu anaponyeka hapohapo stand. Yupo mwingine alikata tamaa na akapata tumaini jipya hapohapo.
 
Mnapiga makelele ya kuomba Sadaka, watu wengine ni wagonjwa hawahitaji kusikia makelele yenu,yaani hata kuongea na Simu tunashindwa. Tena mmejigundulia wote mnasimama foleni ya mwendokasi, kazi yenu nikuomba Sadaka, hamfanyi tena kazi mahubiri.Hebu nendeni mahospitalini kuna watu wanahitaji huduma za maombezi zaidi.
Wadhambi wakubwa ni hawa wanajiita walokole
Hakuna kitu inaitwa ulokole
Ulokole ni utapeli wa kidini
Walokole wengi ni wezi matapeli waongo wanafiki
Kama wanaponya Kwa nini hawaendi mahospitalini kutwa kwenye madhabahu barabarani nk

Serikali ilipashwa kuangalia hili swala la walokole kwa jicho la tatu
Wanawatesa sana wamama hasa wajane watafutao wenza ni utapeli tu
 
Wadhambi wakubwa ni hawa wanajiita walokole
Hakuna kitu inaitwa ulokole
Ulokole ni utapeli wa kidini
Walokole wengi ni wezi matapeli waongo wanafiki
Kama wanaponya Kwa nini hawaendi mahospitalini kutwa kwenye madhabahu barabarani nk

Serikali ilipashwa kuangalia hili swala la walokole kwa jicho la tatu
Wanawatesa sana wamama hasa wajane watafutao wenza ni utapeli tu
Hata zama za Yesu kulikua na wagonjwa na hospitali zilikuwepo. Luka alikua daktari kitaaaluma lakini uliwahi kusikia popote kuwa wameenda hopitali kuombea wagonjwa? Unadhani kule Bethzatha kwenye birika kulikua na wagonjwa wangapi lakini aliponywa yule mwenye kupooza pekee? Kulikua na vipofu wengi sana lakini aliponywa Brthimayo. Walikuwepo wakinamama wengi lakini aliponywa yule aliyegusa vazi. Unadhani njaa iliwapiga makutano ile siku moja pekee?
 
Hata zama za Yesu kulikua na wagonjwa na hospitali zilikuwepo. Luka alikua daktari kitaaaluma lakini uliwahi kusikia popote kuwa wameenda hopitali kuombea wagonjwa? Unadhani kule Bethzatha kwenye birika kulikua na wagonjwa wangapi lakini aliponywa yule mwenye kupooza pekee? Kulikua na vipofu wengi sana lakini aliponywa Brthimayo. Walikuwepo wakinamama wengi lakini aliponywa yule aliyegusa vazi. Unadhani njaa iliwapiga makutano ile siku moja pekee?
Nyie Matapeli tu. Pumbavu zenu, hivi sasa mmefikia mnaogesha visichana kwenye hayo majumba yenu ya kishetani mnayoita makanisa. Kuna waliokuja nyumbani kwangu kulazimisha kunihubiria, niliwafukuza kwa upole hawakunielewa, nikaenda bandani nikafungulia mbwa, kumamae zao walikimbia nusu ya kuvunja nyonga. Pamoja na kwamba mimi ni mkristo lakini siwapendi kabisa hawa wanaojiita walokole na wahubiri wao
 
Nyie Matapeli tu. Pumbavu zenu, hivi sasa mmefikia mnaogesha visichana kwenye hayo majumba yenu ya kishetani mnayoita makanisa. Kuna waliokuja nyumbani kwangu kulazimisha kunihubiria, niliwafukuza kwa upole hawakunielewa, nikaenda bandani nikafungulia mbwa, kumamae zao walikimbia nusu ya kuvunja nyonga. Pamoja na kwamba mimi ni mkristo lakini siwapendi kabisa hawa wanaojiita walokole na wahubiri wao
Mbona kunitusi mkuu. Umewahi kunikuta nauza hata hayo unayoita maji ya upako? Sidhani kama umetumia busara kujaj nilichoandika.
 
Dini ni nzuri kwa ajili ya kuboresha mienendo ya binadamu,ila sasa hawa ndugu zetu imekuwa too much wanatembea na maspika wakifika kwenye umati wa watu wanalianzisha makelele kama yote,wajirekebishe bana inakuwa kama fujo sasa na ndio maana kuna sehemu maalum za kusali nikihitaji nitaenda
 
Mnapiga makelele ya kuomba Sadaka, watu wengine ni wagonjwa hawahitaji kusikia makelele yenu,yaani hata kuongea na Simu tunashindwa. Tena mmejigundulia wote mnasimama foleni ya mwendokasi, kazi yenu nikuomba Sadaka, hamfanyi tena kazi mahubiri.Hebu nendeni mahospitalini kuna watu wanahitaji huduma za maombezi zaidi.
Mkuu naunga mkono hoja abiria tunashindwa kusikia magari yanaelekea wapi ni kelele
 
Kweli wanaboa.Wanachokiongea hakina mantiki yoyote ni kupiga makelele tu.
Kunauhitaji wa wakatoliki kuwafundisha haya madhehebu madogomadogo ustaarabu wa namna ya kuhubiri.
Maana wanatuboa,watu wengine hatupendagi makelele.Wapiga debe watupigie kelele na hawa nao,wenye dini yao y kikiristo ambao ni wakatoliki huwezi kuwakuta barabarani wakipiga kelele hovyo na wanaiju biblia kuliko wao.
 
Tupo wengi mkuu nadhani ni kazi fikilia hamsini na mia wanazo pewa pale😬😬
Nikiwa pale mbezi huwa nawapiga hilo jicho.. hadi wakati wanaomba hela wananipita.. yaani mimi nahustle kusaka hela siku nzima kwa masimango wao wanachukua tu.
 
Nikiwa pale mbezi huwa nawapiga hilo jicho.. hadi wakati wanaomba hela wananipita.. yaani mimi nahustle kusaka hela siku nzima kwa masimango wao wanachukua tu.
Wana boa yaani ukifika mbezi unawasikiliza wao utake usitake
 
Mashimo huyo,mkamateni mumpige ,,vitu vingine Wala havistahili kuwa kero za jamii wakati muhusika anajulikana,mashimo Hana dini yoyote mganga njaa tu,
 
Tatizo hao jamaa hawawezj kuusoma huu uzi wako. Ni vyema ungewachana hapo hapo wanapohubiri.
 
Mnapiga makelele ya kuomba Sadaka, watu wengine ni wagonjwa hawahitaji kusikia makelele yenu,yaani hata kuongea na Simu tunashindwa. Tena mmejigundulia wote mnasimama foleni ya mwendokasi, kazi yenu nikuomba Sadaka, hamfanyi tena kazi mahubiri.Hebu nendeni mahospitalini kuna watu wanahitaji huduma za maombezi zaidi.
Kama utaki kelele panda taxi
 
Mashimo na majembe yake. Sijawahi kuwakuta wakihubiri. Sijui ndio uchelewaji wangu, huwa nakuta session ya sadaka.
Teh teh teh aisee hata mimi sijawahi kukuta mahubiri. Ni mwendo wa kutishana tu madhara ya kutotoa sadaka
 
Hata zama za Yesu kulikua na wagonjwa na hospitali zilikuwepo. Luka alikua daktari kitaaaluma lakini uliwahi kusikia popote kuwa wameenda hopitali kuombea wagonjwa? Unadhani kule Bethzatha kwenye birika kulikua na wagonjwa wangapi lakini aliponywa yule mwenye kupooza pekee? Kulikua na vipofu wengi sana lakini aliponywa Brthimayo. Walikuwepo wakinamama wengi lakini aliponywa yule aliyegusa vazi. Unadhani njaa iliwapiga makutano ile siku moja pekee?
Ulokole ni utapeli kama utapeli mwingine
Wakati huo unaouzungumzia walikuwepo matapeli wengi tu

Ni porojo na kuzinguana tu Ulokole ni wadhambi period!

Tusali sio kutudanganya na uponyaji sijui mafanikio sijui utapata mume
Swali langu mbona mnalenga wanawake tu?
Nendeni mkaponye mahospitalini maana wale ndio wanahitaji uponyaji...
 
Back
Top Bottom