Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,815
- 44,728
Kwa gari za Japan ambazo zipo transit unapakia ila kama inaingia kwao unalipia kodi sema kutoka Durban bei inakua kubwa ndio maana Wazimbabwe wanakuja kupokea kupitia Daslm.Hivi Zimbabwe sahv bado sheria yao ukitoka na gari kutokea dizonga ukipita hapo lazima uipakie kwenye lodder ipo bado au wameiondoa
Ova