Mnaoagiza magari mmesikia hili

Mnaoagiza magari mmesikia hili

Kwann ata seikali haiwazi kubana matumiz(Magari yote ya serikali watumie /wanunue ya hadhi ya chin kdogo then yafungwe gesi ) na kuleta mzgo moja kwa moja , kodi tuu za usajili wa Gari ni kipngele, Mzgo mpe punda.

Tunawalisha , Tunajilisha alafu tunawapigia makofi,
 
rahisi sana, futa uchaguzi, gharama za uchaguzi ziende huko na Rais aliyeko madarakani aendelee maana anafanya kazi nzuri sana kwa Watanzania.
Punguza matumizi ya Serikali hasa Kwa kuondoa posho za wabunge baadala yake accomodation iwe free wakiwa Dodoma.

Ondoa safari zote za nje, midaharo nk

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
Pale unapokuwa na nyundo afu mende apite mbele yako.......nyumbu utawajua ty
 
Ulitaka nani watibie Ukimwi? Wakati mnatiana serikali iliwatuma? Bebeni mizigo ya ndg zenu, mambwa nyie
Ona sasa na wewe sijui umetokea wapi,akili za hovyo kabisa hizi, kwahiyo wewe ukifanya umalaya ina maanisha na mimi nafanya?

Huwezi kuwa responsible na matendo yako?
 
Mimi kwakweli nitatafuta namna ya kutowajibika na hiyo kodi ya kipuuzi kabisa hiyo.
Ukiagiza sasa haikwepeki mkuu
Lazima uilipe tu 😄
Au tushushie bagamoyo kutokea zenji kwa jahazi alafu usajili tuweke namba ya tractor

Ova
 
One time fee during reg...

0 - 1000 cc [50,000TZS]

1001 - 1500 cc [100,000TZS]

1501 - 2500 cc [150,000TZS]

2501cc kuendelea [200,000TZS]

Wazee wa mitambo kama Cats n.k [250,000]

70% inaelekezwa TACAIDS
30% inaelekezwa Bima kwa wote
 
Maisha yatakuwa magumu zaidi baada ya uchaguzi huu ....
Umoja wa ulaya nao wanaenda kusitisha misaada nchini tutegemee Kodi nyingine zaidi Kwenye vitu vingine
 
Hawa watu sijui kama wanawaza vizuri Nchi ina kodi kwenye magari ya hatari leo nimeangalia hapa Mitsubishi moja ya 2023 hapa wanauza rand 110,000 ambayo haifiki hata Tsh 20m nikaangalia kikokotoo cha TRA wao wanataka Tsh 31m aisee sijui wanawaza nini hapo hapo wanataka kuongeza iwe 50m kwa vitu ambavyo havieleweki kabisa ndio maana watu wengi wanakwepa kulipa kodi za magari na wao wapo busy na Task force hawajui chanzo cha mambo yote hayo ni wao wenyewe kodi ingekua rafiki wasingekua wanakimbizana bara barani kuuliza kama magari yamelipiwa kodi na wanaongeza ajali kwa sababu watu wanajikita na magari chakavu..
 
Hawa watu sijui kama wanawaza vizuri Nchi ina kodi kwenye magari ya hatari leo nimeangalia hapa Mitsubishi moja ya 2023 hapa wanauza rand 110,000 ambayo haifiki hata Tsh 20m nikaangalia kikokotoo cha TRA wao wanataka Tsh 31m aisee sijui wanawaza nini hapo hapo wanataka kuongeza iwe 50m kwa vitu ambavyo havieleweki kabisa ndio maana watu wengi wanakwepa kulipa kodi za magari na wao wapo busy na Task force hawajui chanzo cha mambo yote hayo ni wao..
Huko BMW,Ford nk bei ya kawaida sasa sema uilete huku uone ukatavyopigwa kama ngoma

Ova
 
Nimeleta Ford hapo ya 2020 ina miaka kadhaa ila nilitaka kupata la 2024 au 2025 biturbo ni nyepesi sana sema wahuni kodi yao wanaweza kuondoka na roho ya mtu..
Hivi Zimbabwe sahv bado sheria yao ukitoka na gari kutokea dizonga ukipita hapo lazima uipakie kwenye lodder ipo bado au wameiondoa

Ova
 
Back
Top Bottom