Amekuonyesha dharau kubwa sana mkuu, mimi nashauri wazee wakae kikao kumkanya huyu kijana kwa utomvu wa nidhamu na ubaguzi.Kwa hiyo hao akina Mshana ndio wanaoagiza magari?
Eti mzee we umeona wapi ,starehe na upuuzi wenu mtu mwingine azigharamikie kwa hela yake.Tuendelee kupigana miti weee na kuwasitiri single mothers kwa msaada wa US AID.
Kummmke 😒 Magufuri sijui aliwaza nini aisee.Inaonekana ukiwa na gari kupata juliana a.k.a ukimwi ni rahisi sana au sio!....
Naona wawekezaji wa ki Asia macho yanawatoka..ndio mama huyo tunae na tunatamba nae mpaka 2035.
nchi hii ina viongozi wapuuzi sana , madini yote haya bado mnamkaba mtu anayeagiza garihakuna maneno mengi Acha niwaweke video msikilize wenyewe
Ova
Mshana Jr
Extrovert
RRONDO
Black Sniper
Erythrocyte
Halafu hizo kodi sasa🥵🥵🥵🥵Hawana ubunifu bali wanachojua ni kuiba tu
Eti mzee we umeona wapi ,starehe na upuuzi wenu mtu mwingine azigharamikie kwa hela yake.
Kuna namna nyingi za kukusanya kodi tena tozo ndogo kwa wingi ambao utafanya makusanyo ya kodi kuwa makubwa.Halafu hizo kodi sasa🥵🥵🥵🥵
Upumbavu tu et trump ametelekezaHakuna maneno mengi acha niwaweke video msikilize wenyewe
View attachment 3446995
Ova
Mshana Jr
Extrovert
RRONDO
Black Sniper
Erythrocyte
Kodi za kawaida tu, sio kubwa hataHakuna maneno mengi acha niwaweke video msikilize wenyewe
View attachment 3446995
Ova
Mshana Jr
Extrovert
RRONDO
Black Sniper
Erythrocyte