Mnaoagiza magari mmesikia hili

Mnaoagiza magari mmesikia hili

hakuna maneno mengi Acha niwaweke video msikilize wenyewe

Ova
Mshana Jr
Extrovert
RRONDO
Black Sniper
Erythrocyte
Pale watu wanapokosa mbinu kabisa za kuchangisha hela kwa kujikimu
Eti Ukimwi
Kuna nchi nne jirani wanatengeneza madawa ya ARV wenyewe na wanajitambua
Sisi tunashindwaje kutengeneza?
Basi waige hata Zimbabwe au Namibia kutengeneza

Hakuna think tank huko ?
Hapa Khan amepita kwa kishindo muhula wa 3 kama Mayor wa jiji

Anakusanya £445m kwa mwaka kwa congestion charge pamoja na Ulez (ultra low emission zone)

Ukiingia tu jijini lazima ulipie
Ukija bongo sasa eti mtu ndio kwanza anakuja na kigari tayari ana mlolongo wa kodi
 
Umalaya wafanye wengine mzigo tubebeshwe wengine. Hivi mtu na akili zako unatoka kwako asubuhi unakwenda kwenye ofisi ya serikali unaweka matako yako magumu kama nyani,unakaa na wapuuzi wenzako mnakuja na kodi maalumu kwaajiri ya kuchangia manunuzi ya dawa za ukimwi? KWELI KUMMMKE?🤔

Hivi raia tumeshindwa kabisa kumalizana vibaya na hawa wapumbavu?🤔
 
Umalaya wafanye wengine mzigo tubebeshwe wengine. Hivi mtu na akili zako unatoka kwako asubuhi unakwenda kwenye ofisi ya serikali unaweka matako yako magumu kama nyani,unakaa na wapuuzi wenzako mnakuja na kodi maalumu kwaajiri ya kuchangia manunuzi ya dawa za ukimwi? KWELI KUMMMKE?🤔

Hivi raia tumeshindwa kabisa kumalizana vibaya na hawa wapumbavu?🤔

Kimeumana...kimeumana....kimeumana
 
Back
Top Bottom