dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Kichwa chako kigumu kufahamu vitu kumbe?Bun, usarama???????????
Kichwa chako kigumu kufahamu vitu kumbe?Bun, usarama???????????
ni matatizo ya malezi tu lakini nina uhakika jinsi ninavyoendelea kuishi JF nitabadilika sana.
Ngoja tuchangie ili kunusuru maisha yako hapa JF!Hii thread isipopata wachangiaji naapa kujitoa JF na wala hamtaniona tena.
Nahisi yey ni He na wala si She,tafadhari mtake radhi!me nilikuwa na swali,umeolewa?
a ..................man who doesn't know anything'
Mmmm..kumbe ww Male,ok ilo jina la mkeo sio geni kwangu?Bila shaka umeuliza swali lako kwa tafasiri ya kiingereza ukiwa na maana 'are you married?''. Ni kweli mimi ni mume wa mke mmoja (Elizabeth Mushi) ingawa yeye nilimkataza asijiunge na JF.
Kwani hawezi kuoa mke mwingine!Kha! mume tena? mi bado sijahitaji mume bwana. Alafu wewe si umeoa?
Mbona ulini-PM ukinihitaji niwe mumeo?
Sasa Mwita25, hayo ya sirini mbona unayaanika hapa? PM zinazungumza vizuri zaidi na mara nyingine huwa ni muhimu sana, siku nyingine utakosa hizo PM.
Kama una mpango wa kuwa mume na baba mzuri inakupasa kuwastahi wanao propose kwa kuku-PM.
Nashukuru sana mdogo wangu. Mungu akuinue sana katika kila unachokifanya.
Huwa mnakutana kwenye kitchen party?
Fuatilia post yake niliyomjibu hapo juu utagundua kwanini nimeamua kumuanika hadharani ingawa huwa sina tabia kama hizo. Mara ngapi mademu wananitaka kimapenzi lakini sijawahi kuwatangaza hata mara moja.