Mnakosea mahesabu wadada wa mjini

Mnakosea mahesabu wadada wa mjini

Tatizo wengine sisi tulipenda maskini,unamkuta mwanaume boksa zimechanika unazishona kwa mkono maisha yanaenda!!

Tukawasaidia kufikia utajiri,tulichokutana nacho mungu anajua!!tukaishia kuumizwa,kuachwa na kuonekana hatuna mvuto tena!!

Bora tu sasa hivi tuwapende matajiri,tuwachune wapite hivi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapenda wanaume wenye pesa, wawe wasafi, wamiliki magari mazuri. Hiyo hesabu ni kama pyramid walio na vitu hivyo ni wachache sana nao kuna waliowasaidia kufikia hapo hawawezi kuwasahau. Inawezekana ni wazazi, ndugu, au wapenzi na wake zao.

Unampenda bank teller anaepata
750,000. Anakatwa student loan, anakatwa mkopo wa vitz, analipa kodi ya chumba na sebule, hajakula wala hajaweka gari mafuta. Unategemea akupe hela ya saloon, akununulie vocha ya simu na kumbom vi 20,000. Unamuongezea pressure, akikukimbia usitafute mchawi.

Wakati kuna mkaka anakaanga chips na mishkaki, anaingiza laki mbili kwa siku na ana uwezo wa kukupa hayo maisha unayotaka. Humtaki kisa status mjini utawaambia nini mashost eti babe mkaanga chips!

Ndiyo hapo mnapokosea hesabu zenu.

Sky Eclat, wadada wenye upeo wa kuchanganua mambo kama wewe wapo wachache Sana.
 
Tatizo wengine sisi tulipenda maskini,unamkuta mwanaume boksa zimechanika unazishona kwa mkono maisha yanaenda!!

Tukawasaidia kufikia utajiri,tulichokutana nacho mungu anajua!!tukaishia kuumizwa,kuachwa na kuonekana hatuna mvuto tena!!

Bora tu sasa hivi tuwapende matajiri,tuwachune wapite hivi...

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂
Hawana jema hawa.
 
Mnapenda wanaume wenye pesa, wawe wasafi, wamiliki magari mazuri. Hiyo hesabu ni kama pyramid walio na vitu hivyo ni wachache sana nao kuna waliowasaidia kufikia hapo hawawezi kuwasahau. Inawezekana ni wazazi, ndugu, au wapenzi na wake zao.

Unampenda bank teller anaepata
750,000. Anakatwa student loan, anakatwa mkopo wa vitz, analipa kodi ya chumba na sebule, hajakula wala hajaweka gari mafuta. Unategemea akupe hela ya saloon, akununulie vocha ya simu na kumbom vi 20,000. Unamuongezea pressure, akikukimbia usitafute mchawi.

Wakati kuna mkaka anakaanga chips na mishkaki, anaingiza laki mbili kwa siku na ana uwezo wa kukupa hayo maisha unayotaka. Humtaki kisa status mjini utawaambia nini mashost eti babe mkaanga chips!

Ndiyo hapo mnapokosea hesabu zenu.
Umenikumbusha wakati nafanya tathmini ya kazi za kuajiriwa na za kujiajiri, eneo nililofanyia utafiti niligundua kuwa Kwanza waajiriwa wengi wamepanga kwenye myumba za watu ambao wamejiajiri. Lakini nikagundua kazi nyingi zenye majina au hadhi Fulani kipato chake ni duni au Cha wastani tu tofauti na hadhi wanayopata kwenye jamii, ila kazi ambazo status yake ni ndogo au hadhi yake ni ndogo baadhi yake Zina kipato kikubwa kuliko unavyoweza kufikiri. Tokea hapo niliacha kazi ya kuajiriwa nikaamua kujitegemea japo Cha mtemakuni nilikiona,mpaka ujw upatie mfumo wa kukuingizia kipato kwangu ili chukua muda sna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
i.Kumbuka unaweza kuwa na akili nzuri lakini ukakosa na upeo, maarifa na bidii ktk utafutaji.
Unawezaje kuwa na upeo bila ya kuwa na akili na unawezaje kutumia maarifa bila ya kuwa na akili? Bidii inakujaje bila ya akili kung'amua kwamba inatakuwa bidii itumike?

Hii ni MMU tusichoshane kwa mabishano. Furahia maisha!
 
Unawezaje kuwa na upeo bila ya kuwa na akili na unawezaje kutumia maarifa bila ya kuwa na akili? Bidii inakujaje bila ya akili kung'amua kwamba inatakuwa bidii itumike?

Hii ni MMU tusichoshane kwa mabishano. Furahia maisha!
Hujiulizi kwanini watu wengi waliokuwa vizuri kiakili mashuleni na vyuoni wameajiriwa na Watu waliokuwa vilaza hasa darasani na wamezidiwa sana tu ktk mafanikio ya kimaisha kiuchumi?

Kujua hilo nalo linahitaji uwe na degree ngapi, au unaishi sayari ipi wewe?

Mungu katuumba tofauti kwa upeo, akili na maarifa ili tuishi kwa kutegemeana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhalisia mimi nshawahi kuwa afisa mkopo mshahara wangu ulikuwa laki nane ila makato yote nabaki na kama 470,000 ndo niliyokuwa napokea kwa mwezi ,lakini benki kuna rushwa sana kwa mwezi nilikuwa natoa mikopo 10 hadi 20 ,tufanye 12 mara kwa chini sana 200,000=2,200,000/= ,hapo sija weka tips za wateja ,mfano wewe unataka mkopo umeweka dhamana nyumba yako iko chamanzi hivi kunifata ofisa kaliakoo mpaka chamanzi nikazunguke na kwa wenyekiti wa mtaa au halmashauri na wewe umeomba mil 40 halafu mimi ndo unajua naandika ripoti nzuri au mbaya unadhani utaniacha bure sasa afisa mkopo karibu kila siku anakagua dhamana kuna siku hata wateja watatu
Kwa zamani sawa ila kwa sasa ni vigum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good examples. Na wanawake hao ni wale wa mipango. Huenda kuwa sio romantic kivile lakini ni yule mwaname anaekupa fursa. Mipango. Michongo.. yaaan mwanamke anakupush mfanye kitu. Yeye sio spender bal ni mtafutaji pia.

Hawa wa pwan wengi wao wanajua kula tu.. kutwa kudanga. Lakin ukimwambie nipe idea ya biashara. Hana hata moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa Mkuu. Niliwahi kua na binti flani anatokea ukanda wa pwani, nilipoona mapenzi yamekolea nikamwambia akae afikirie ni biashara gani anaweza kufanya alafu nimuwezeshe mtaji, kila kukicha ni ntakwambia wiki ijayo, mara mwezi, mara mwezi ujao....

The rest is history

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom