Mnakosea mahesabu wadada wa mjini

Mnakosea mahesabu wadada wa mjini

Hata kama ni 50,000 kwa siku kumi ana 500,000 wakati teller ana 750,000 kwa mwezi
Tulishatoa gharama za pango katika 200,000 hii 50,000 ni net profit ya muuza ships. Sema changamoto ni siku za mvua wateja wanapungua na akiumwa hakuna sick pay
 
Tena wale wakiona hela ndogo ila fursa ya hela nyingi IPO wanakaa.
Hamjuagi tu ila hawa wadada wa mjini wanatembeaga na watu wa ajabu jamani ni vile hawawaonyeshi. Yani MTU unasema hata na 2M simvulii NGUO ila ukimkuta na mdada wa mjini mahaba kama yoteeee.
Washamba kina sie ndio tunaangalia status ila wale kazi kazi wamekuja mjini kusaka hela yeyote mwenye hela wanasukumia ndani
Akili za kushikiwa eti wadada wa mujini watasemaje wakati kodi ya nyumba wadada wa mujini hawakusaidii kuilipa.

Kuna kabila moja la kaskazini wale hawaangalii status wa wanaangalia mwanaume ataweka shilingi ngapi mezani. Anaolewa na mkaanga chipss baada ya miaka miwili wamesimamisha ghorofa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ndio tatizo lenu. Status? Status itakulisha,status itakupa kazi? Status italipa kodi?

Status isnot equal to reality.

Niliwahi kuwa na mdada yaan yeye huwa anaangalia nikipata kazi katika kampuni nzur ndio anaanza kuwa karib. Nikienda kampun ya kawaida napotezewa..
Ukiangalia kwao ni makapukuwa kutupwa. Yeye na dada zake wana njaa mpaka kwenye kucha.. tena njaa za waziwaz.. ila wikitok hapo wanataka waonekane wa matawi ya juu..
Huyu nilimtema. Hiv kuna shida gani ukiishi maisha yako ya kihualisia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hukua kundi la mwanaumr wa maisha Bali alikua anakuchukulia kama sponsor halafu mshamba anaonekana wifi pia anajua ukiwa ofisi Fulani Una hela (kama wanaojua bankers wana hela).
Halafu hata uwe na hela Kama nini kama mwanamke hajataka kutulia na wewe ataruka tu chief. Hao wapika chips unakuta MTU hajampenda ndio maana haoni maana ya kupoteza muda wake na MTU anaehustle. Hawa wenye hela hata ukimlia wakati humpendi roho haiumi wala nini.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena wale wakiona hela ndogo ila fursa ya hela nyingi IPO wanakaa.
Hamjuagi tu ila hawa wadada wa mjini wanatembeaga na watu wa ajabu jamani ni vile hawawaonyeshi. Yani MTU unasema hata na 2M simvulii NGUO ila ukimkuta na mdada wa mjini mahaba kama yoteeee.
Washamba kina sie ndio tunaangalia status ila wale kazi kazi wamekuja mjini kusaka hela yeyote mwenye hela wanasukumia ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
Wadada wa mujini walimlipisha Msukuma Mbunge kodi ya mwaka, amestuka kumbe ilitakiwa hela yake tu si yeye 😂
 
Sisii uwe na hela aau muonekano mzuri baasi
Haha wadada mnapenda sifa, kwa sisi wanaume, mwanamke awe mfagia barabarani, muuza bagia, mmachinga, msafisha vyoo, hata kama hatuna mpango wa kumuoa, as long as ana chura/ni mzuri, kiroho safi bila aibu tutawaambia rafiki zetu wa kiume kuwa pale tunakula mzigo.. Mzigua90

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah but for how long? Yes atatoa ila to what end?
Muda utafika atasepa.
Atakuja mwingine nae hivyo hivyo.. atatoa vihela akishakula papuchi mbele.
Sasa hapa tofauti yako na wanajiuza pale sinza itakuwa ni eneo tu ma style ya biashara.

Mwanamke inatakiwa uamke kiakili. Sio kutwa uawaza mbinu mpya za kudanga. Utakimbiwa na kila mwanaume.. baadae uje useme wanaume wabaya.

(Sorry kwa kukutolea mfano, lengo ni kufikisha ujumbe kwa wadada wengi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia tena, cha msingi "anatoa".
 
Hata kama ni 50,000 kwa siku kumi ana 500,000 wakati teller ana 750,000 kwa mwezi
Kwahiyo hapa unatufundisha tunapodanga tuangalie penye dau kubwa right?
Mkaka wa watu aungueeee we ukachote tu, bora huyo wa kwenye kiyoyozi.
 
Kwahiyo hapa unatufundisha tunapodanga tuangalie penye dau kubwa right?
Mkaka wa watu aungueeee we ukachote tu, bora huyo wa kwenye kiyoyozi.
Hapana kudanga ni kutafuta wa kujenga nae maisha. Bank teller ujue zaidi ya uzuri wa tai hela yake ni ya mahesabu usimpe pressure.

Usimdharau muuza chips ana mudu kununua vocha kila siku.
 
Wadada wa mujini walimlipisha Msukuma Mbunge kodi ya mwaka, amestuka kumbe ilitakiwa hela yake tu si yeye
Kuna sponsor mmoja huyo alikua anatoka na rafiki yangu aiseeeee. Nilimuuliza huyu ukitaka kumkiss inakuaje maana kwanza sio MTU mzima ila sura yake kama Ana miaka 70. Lakini Hawa madada wa mjini kawaimport Sana mkoani na ile sura.

Kuna mwingine alikuaga shosti wa rafiki yetu alikua anatoka na Muuza kachori. Alikua hata akitaka laki 5 siku 2 tu kapata. Yani ukihadithiwa unaona huruma sababu mpaka Ada alikua anamlipia bby wake halafu sista duu balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana kudanga ni kutafuta wa kujenga nae maisha. Bank teller ujue zaidi ya uzuri wa tai hela yake ni ya mahesabu usimpe pressure.

Usimdharau muuza chips ana mudu kununua vocha kila siku.
Wanawake hatudharau pesa wewe, kama unatujua vizuri lkn.
 
Kuna sponsor mmoja huyo alikua anatoka na rafiki yangu aiseeeee. Nilimuuliza huyu ukitaka kumkiss inakuaje maana kwanza sio MTU mzima ila sura yake kama Ana miaka 70. Lakini Hawa madada wa mjini kawaimport Sana mkoani na ile sura.

Kuna mwingine alikuaga shosti wa rafiki yetu alikua anatoka na Muuza kachori. Alikua hata akitaka laki 5 siku 2 tu kapata. Yani ukihadithiwa unaona huruma sababu mpaka Ada alikua anamlipia bby wake halafu sista duu balaa

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sponsor mmoja huyo alikua anatoka na rafiki yangu aiseeeee. Nilimuuliza huyu ukitaka kumkiss inakuaje maana kwanza sio MTU mzima ila sura yake kama Ana miaka 70. Lakini Hawa madada wa mjini kawaimport Sana mkoani na ile sura.

Kuna mwingine alikuaga shosti wa rafiki yetu alikua anatoka na Muuza kachori. Alikua hata akitaka laki 5 siku 2 tu kapata. Yani ukihadithiwa unaona huruma sababu mpaka Ada alikua anamlipia bby wake halafu sista duu balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdada alipata sponsor kutoka mkoani. Baba alikuwa akifika Dar anafikia Kempinsik ana transactions za uhakika baada ya kuuza ng’ombe, maziwa na ngozi. Alimchukulia mdada nyumba Sinza na furniture zote ingawa yeye hajawahi kufika.

Akija mjini mdada anahamia Kimpinsiki mpaka anaondoka na anaachiwa pesa ya kutosha.

Huku mjini mdada ana boy friend wake James. Siku moja wakati mzee anashughulika mdada si aanze kumuita James 😂
 
Yesuuu..mwanzo wa kurudi shidani sasa
Kuna mdada alipata sponsor kutoka mkoani. Baba alikuwa akifika Dar anafikia Kempinsik ana transactions za uhakika baada ya kuuza ng’ombe, maziwa na ngozi. Alimchukulia mdada nyumba Sinza na furniture zote ingawa yeye hajawahi kufika.

Akija mjini mdada anahamia Kimpinsiki mpaka anaondoka na anaachiwa pesa ya kutosha.

Huku mjini mdada ana boy friend wake James. Siku moja wakati mzee anashughulika mdada si aanze kumuita James

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom