Mnakosea mahesabu wadada wa mjini

Mnakosea mahesabu wadada wa mjini

Sawa, hiyo elfi hamsini nimetoa kama mfano tu lakini yaweza kuwa chini ya hapo au kuzidi kidogo!
Na hapo jamaa wa chips anakuwa bado hajalipa kodi ya pango ya hapo anapouzia chips umeme n.k!

Najaribu kufikiria kuona sizani kama mkaanga chips anapata faida kubwa kiasi hicho kwa mtizamo wa wengi jinsi ulivyo!

Nimeona nichangie mada kwa kujaribu kuchambua kiundani kidogo !


Sent using Jamii Forums mobile app
Chips nadhani inategemea na lokesheniii
Ukiwa eneo zuri mf jirani na shule hosp stendi kkoo nk unapata
Ila ndo vileeee utakoma na jotrooo lol
 
Hahahahaaa. Mzinga huwa unapigwa ukishatulia. Akikupiga mzinga mapema anakufukuza
Huyo muuza kachori muache achunwe hadi mfupa, afilisikeeeee ndo akili itamkaa vizuri, coz kuna wanaume wengine wajinga mno, unahonga laki 5 wakati maisha yako ya kuunga unga

Utakuta mdada anakuchuna pesa, hlf hizo hizo hela zako, anaenda kumpa mwanaume mwingine, huyo mwanaume anaepewa hizo hela zako, utakuta ni handsome boy flani..ambae anakula papuchi ya bure, wakati ww unaehonga pesa hujaipata, au unaila kwa tabu kubwa.

Ndo maana nikitongoza mdada hlf akanipiga mzinga naishia kufuta namba yake chap Mzigua90

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama vile wamekuelewaa mwezi wa tisa tutawapa mtihani tuone ka hilo somo wamelielewa
 
Thats why nikachukua hatua mapema.
Ushawahi kuona mtu anadanga wazi wazi?
Bila aib ? Ndio huyu sasa.

Akikosa sponsor huko mjini unakuta amejichokea hafai. Ataniganda www.. hata kama hatujaongea mwezi. Ngoja apate.. ananauwa busy akutafuti.

Well sipotezagi muda na watu wajinga mm. Yes pesa ya kumpa ninayo. Lakin attitude yake inanifanya nikae mbali kabisaaa. Tabia nzur humfanya mwanaume atoe pesa bila hata kuombwa.

Sio kila saa ukipiga simu kusalimia.. mtu anaomba hela.. ukipigasimu kumjulia hali.. anaomba hela. Ukipiga sim kusalimia nyumbani. Anaomba hela. Jesus.. !!
Wewe hukua kundi la mwanaumr wa maisha Bali alikua anakuchukulia kama sponsor halafu mshamba anaonekana wifi pia anajua ukiwa ofisi Fulani Una hela (kama wanaojua bankers wana hela).
Halafu hata uwe na hela Kama nini kama mwanamke hajataka kutulia na wewe ataruka tu chief. Hao wapika chips unakuta MTU hajampenda ndio maana haoni maana ya kupoteza muda wake na MTU anaehustle. Hawa wenye hela hata ukimlia wakati humpendi roho haiumi wala nini.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je Huyo mkaanga chips hiyo 200,000/- anayoingiza kwa siku moja ni “net amount “?
Au ni ghafi yaani gross amount?

Je hiyo laki mbili ni baada ya kutoa gharama za kununulia mafuta, viazi, makaa/gesi, kumlipa kijana, tomato, n.k.?

Nimeona nitoe angalizo kidogo maana isijekuwa ni gross figure ambapo akitoa gharama zote anabaki na 50,000/- tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani akibaki na hiyo 50 thou, wewe mwenye mshahara wa 2m utamkuta huyu anaeweka 50 kila siku? Fungwa hivyo hivyo akili na vimikopo vyenu makazini
 
Kwani akibaki na hiyo 50 thou, wewe mwenye mshahara wa 2m utamkuta huyu anaeweka 50 kila siku? Fungwa hivyo hivyo akili na vimikopo vyenu makazini

Sizani kama ni kiivyo!
Kama wapo wa hivyo ni wachache tena kwa baadhi ya maeneo!
Nikianza kukupa mchanganuo ndo utaweza kuona kinachobaki ni nini kwa Muuza chips!

Tena hao wanakadiriwa kodi kwenye mauzo kitu ambacho ni maumivu kwao!

Hela inaongea jamani !
Hao wangekuwa wanapata hizo hela ingeonekana tu !
Mbona wakulima wenye hela wanajulikana?
Tungeona mtaani wakijenga na kununua magari!

Mzunguko wa watz unafanana , mtu akipata hela angependa anunue gari au ajenge n.k

Ukiona hafanyi hayo fahamu kuwa hela haijatosha kufanya hayo!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapenda wanaume wenye pesa, wawe wasafi, wamiliki magari mazuri. Hiyo hesabu ni kama pyramid walio na vitu hivyo ni wachache sana nao kuna waliowasaidia kufikia hapo hawawezi kuwasahau. Inawezekana ni wazazi, ndugu, au wapenzi na wake zao.

Unampenda bank teller anaepata
750,000. Anakatwa student loan, anakatwa mkopo wa vitz, analipa kodi ya chumba na sebule, hajakula wala hajaweka gari mafuta. Unategemea akupe hela ya saloon, akununulie vocha ya simu na kumbom vi 20,000. Unamuongezea pressure, akikukimbia usitafute mchawi.

Wakati kuna mkaka anakaanga chips na mishkaki, anaingiza laki mbili kwa siku na ana uwezo wa kukupa hayo maisha unayotaka. Humtaki kisa status mjini utawaambia nini mashost eti babe mkaanga chips!

Ndiyo hapo mnapokosea hesabu zenu.
Nimekupenda Sky Eclat kwa point hiyo
 
Back
Top Bottom