Mnafiki ishi nae kinafiki

Mnafiki ishi nae kinafiki

Dah mkuu kwema ila Misri kudraw na Iran imenipotezea hela kwenye kubet. Nilitaka Misri ishinde magoli matatu mkeka utiki niondoke na hela ya maana.

Wanafiki wengine ni South Africa sijui kwanini wamesonga mbele hatua za mtoano. Wapigwe tu na Canada.

Lakini nao wameshakuwa wanafiki. Vipi na wewe huko mishe zinaendaje?

Shukran za dhati.

adriz de mbusii
Ziko poa tu mkuu!
Toka mwaka uanze 2026 sijawah beti kiongozšŸ¤“
 
Usiingie kwenye kundi la wanafiki, ishi naye kwa akili na tahadhari, wakati mwingine asijue kama unajua unafiki wake.
 
Siku zote mtu ambae ni mnafiki unatakiwa uishi nae kinafiki mana kuna watu wanafik wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafik ish nae kinafiki

Wewe mtu mnafiki unaishi nae vipi?
Someone can make a very good comedian if he takes his talent seriously.
 
Hahaha kiongozi. Hongera zako mkuu wewe ni kati ya mashujaa wachache waliochukua uamuzi wa kibabe na kishujaa.
šŸ˜€ japo nakuwa na hamu balaa inanijia ya kubeti lakin ghafla nasahau ! Siku inapita mpak nimeshazoea
 
Siku zote mtu ambae ni mnafiki unatakiwa uishi nae kinafiki mana kuna watu wanafik wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafik ish nae kinafiki

Wewe mtu mnafiki unaishi nae vipi?
Gentleman,
ni muhimu zaidi kuishi na watu vizuri,
lakini pia kujiepusha kabisa kutoa siri za nguvu ya ufalme wako hata kwa mkeo tu achilia mbali rafiki au ndugu.

Fanya mipango na mambo yako kimya kimya na utatoboa vizuri sana na bila stress.

unakumbuka habari ya Samson na Delilah? Na siku hizi wapo madelila hadi wakiume šŸ’
 
Dah mkuu kwema ila Misri kudraw na Iran imenipotezea hela kwenye kubet. Nilitaka Misri ishinde magoli matatu mkeka utiki niondoke na hela ya maana.

Wanafiki wengine ni South Africa sijui kwanini wamesonga mbele hatua za mtoano. Wapigwe tu na Canada.

Lakini nao wameshakuwa wanafiki. Vipi na wewe huko mishe zinaendaje?

Shukran za dhati.

adriz de mbusii
Nafurahi sana kuona ukifeli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom