Mnafiki ishi nae kinafiki

Mnafiki ishi nae kinafiki

Siku zote mtu ambae ni mnafiki unatakiwa uishi nae kinafiki mana kuna watu wanafik wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafik ish nae kinafiki

Wewe mtu mnafiki unaishi nae vipi?
Mi siwezi aisee,nikishajua huyu ni snitch namkata juu kwa juu akalale na baba yake huko🖕🏼
 
Sure, vp kiongoz kwema?? naon umeongea kwa hisia san
Dah mkuu kwema ila Misri kudraw na Iran imenipotezea hela kwenye kubet. Nilitaka Misri ishinde magoli matatu mkeka utiki niondoke na hela ya maana.

Wanafiki wengine ni South Africa sijui kwanini wamesonga mbele hatua za mtoano. Wapigwe tu na Canada.

Lakini nao wameshakuwa wanafiki. Vipi na wewe huko mishe zinaendaje?

Shukran za dhati.

adriz de mbusii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom