Mnafiki ishi nae kinafiki

Mnafiki ishi nae kinafiki

Bwashee, mimi naingia mtegoni na siishi , kuisha labda uwe na ubongo mdogo kama wa nungunungušŸ˜…
Sasa utaingiaje mtegoni ukiwa na ubongo mkubwa, mbona logic ndogo tu.
 
Hata kama nimefail wewe toto jinga bado tu Misri imefuzu mtaonošŸ˜†šŸ˜…šŸ¤£. Kwa hiyo bado mimi mshindi maarasss.

NYAMBAFF
Mshahara wako haukutoshi mpaka ujiingize kwenye Makamari ? Mbona Scandinavian countries na Ulaya nchi nyingi wanalipa vizuri ?

Kama unaishi maisha ya dhiki Ulaya kutokana na kufanya kazi zenye malipo ya chini tuna CV zako kwangu nikurahisishie nikuunganishe na marafiki zangu Ulaya wakupe mchongo wa kueleweka.

Niko seriazi Nyangwisi nataka nikusaidie , sipendi kuona ukiteseka na kuishi maisha ya tabu Ulaya urudi bongo kapuku
 
Mshahara wako haukutoshi mpaka ujiingize kwenye Makamari ? Mbona Scandinavian countries na Ulaya nchi nyingi wanalipa vizuri ?

Kama unaishi maisha ya dhiki Ulaya kutokana na kufanya kazi zenye malipo ya chini tuna CV zako kwangu nikurahisishie nikuunganishe na marafiki zangu Ulaya wakupe mchongo wa kueleweka.

Niko seriazi Nyangwisi nataka nikusaidie , sipendi kuona ukiteseka na kuishi maisha ya tabu Ulaya urudi bongo kapuku
Elfu 80 madaf kwa lisaa ni kidogo? Maarass Mitayo nyangwisi.

NYAMBAFF
 
Siku zote mtu ambae ni mnafiki unatakiwa uishi nae kinafiki mana kuna watu wanafik wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafik ish nae kinafiki

Wewe mtu mnafiki unaishi nae vipi?
Ukiona mtu mnafiki kwako ujue wewe ndue ulie anza unafiki.
 
Heheheh na ukaniita Mimi rafiki yako, sio mbaya.

Hivi una undugu na chizi maarifa
Hapana sina undugu na popoma
unajua kwa nini nimekuita rafiki kwa sababu unawapaga doz makaffir kwenye nyuz zao za kuponda dini yetu ya kiislam
 
Mi siwezi aisee,nikishajua huyu ni snitch namkata juu kwa juu akalale na baba yake hukošŸ–•šŸ¼
Dawa ya mnafiki ni kumchinjilia baharini ukiendelea kuishi naye hakika na wewe utakuwa mnafiki twice.
 
Elfu 80 madaf kwa lisaa ni kidogo? Maarass Mitayo nyangwisi.

NYAMBAFF
Duh ! Maarassmbus Nyangwisi kumbe unapata hela nyingi hivyo ?

Achana na kuwekaza kwenye kamari na Mabange Fanya vitu vya msingi maana deportation inakuja soon unarudi bongo kulima Magimbi .
 
Duh ! Maarassmbus Nyangwisi kumbe unapata hela nyingi hivyo ?

Achana na kuwekaza kwenye kamari na Mabange Fanya vitu vya msingi maana deportation inakuja soon unarudi bongo kulima Magimbi .
Hahahahahaaaaa. Status ambayo ninayo hata murder, drugs na rape related cases/charges haiwezi nifanya kuderpotiwa.
 
Dawa ya mnafiki ni kumchinjilia baharini ukiendelea kuishi naye hakika na wewe utakuwa mnafiki twice.
Kabisa kabisa,maana mtu mbaya kwako haanzi leo kuwa mbaya,alikuwa mbaya kwako toka zamani
 
Mimi mwenyewe naweza kuona rafiki ni mnafiki kumbe Mimi pia ni wale wale kasoro tarehe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom