Mnachukuliana vipi na marafiki wa aina hii?

Huna lolote ww mbinafsi tu.....huna urafiki wa kweli hafu huyo mwenzio anaonekana Ana urafiki wa kweli ila ww ndo kivuruge

Kwa kifupi ww huwezi Kuishi na rafiki.
Unaweza pia ukawa upo sahihi.
 
Hiki mdo kitu kinachonifanya nikipanga nisipange kqrbu na mitaa nliokulia maana washkaji watataka kuja kupata kitonga wkt sometime mtu unataka tu utulie zako
 
Anapafahamu kwangu, anajua nakaa mwenyewe na alinambia itakua mda mfupi tu haitazidi ata wiki mbili.
sasa naona uvumilivu unanishinda, nmemiss uhuru wangu, kumwambia nashindwa na aliwahi nisaidia pia.

Niishi nae vipi,

Mvumilie banah.. sema inabidi umbandikie ratiba mpya mda wa kurudi nyumbani pamoja na nidhamu za hapo nyumbani
 
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe marafiki, tunasaidiana katika mambo mengi na ni mtu mzuri.

Miezi miwili iliopita mambo yake hayakwenda sawa akaniomba aje akae kwangu kwa mda mfupi akijipanga ili aende kupanga, Ila sasa naona kabisa uvumilivu umeniisha na sijui anaondoka lini na naona nikimuuliza atajisikia vibaya.

Ratiba ya kwangu imebadilika kabisa, mimi si mtu wa kutoka napenda kuwahi kurudi nyumbani na kupata mda mwingi wa kupumzika, yeye anachelewa kurudi akirudi ni hekaheka atataka tuongee nisipomjibu anajisikia vibaya, atabamiza milango, uo usiku ndio atataka apike, kunakua hakuna utulivu na kachumba ni kamoja tu,..najikuta tu nina hasira na kisirani.

Mnachukuliana vipi na watu wa haina hii?

Solution hapo ni kuzungumza nae hakuna njia ingine, mwambie yote ambayo huyataki
 
Ila ujue nini?!! Shida iko kwako wewe mwenyew.
Wewe ni mbinafsi sana. Hio tabia yako utapoteza watu wengi wanaokuthamini sana. Jifunze kumchukulia rafiki yako yuko poa tu,hana tatizo lolote km matatz yenyew ndio hayo uliyoyataja.kwa kuwa huwezi kumpata rafiki malaika.
 
Bonga nae kirariki huwezi kujua nini anajipanga nacho au changamoto zipi zinamkabili, kwa kuwa usshasema mambo hayajakaa sawa basi mvumilie
 
Najua kabisa kwamba tukikaa wote mda mrefu hatutawezana,lakini nilishindwa kumkatalia vile na yeye aliwahi kunisaidia uko nyuma.
Natamani apate kwake aende ndo sijui itakua lini.

Kumleta mwanaume wangu ndani naona haitakua busara.
Then vumilia
 
Ukimya wako ndio kuteseka kwako. Kaa nae chini umwambie ukweli na yeye akueleze plan yake ni ipi kama unaweza msaidia alipokwama umsaidie
 
Malezi yana nafasi kubwa ya kukufanya wewe uwe kama ulivyo shida kubwa hapo ni malezi mmelelewa ktk family tofauti ndio maana unaona rafiki yako ni mzigo kwasababu kaleta utaratibu ambao hujauzoea kabisa

Hata sisi wanaume huwa tunapata sana hizi changamoto, hapa una jambo la kujifunza kimaisha lkn pia kuwa mvumilivu kwa mwenzako kimsingi umekili kwamba na yeye anamchango kwako mvumilie hatufanani kwa kila kitu

NB: kwani hamna mpango wa kuolewa ?
Kwanza hamuoni shida kujambiana nyie kwa nyie?
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Hivi kwasababu gani wanawake huwa hawawezi kuvumiliana?
 
Hivi kwasababu gani wanawake huwa hawawezi kuvumiliana?
Nadhani kwa sababu hawawezi kumwambia mtu kosa lake usoni, kosa la shoga huyu anaenda kulalamika kwa shoga yule.

Mfano kwa sisi wanaume, kama mshkaji tunaishi gheto anachelewa kurudi namwambia tu; We fala ukishatoka kuzurura unanisumbua, mi nalala tutapiga stori kesho. Anaeza kujibu we pimbi tatizo unalala sana.
Hapo imeisha hakuna kinyongo.

Hakuna aliye mkamilifu.
 
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe marafiki, tunasaidiana katika mambo mengi na ni mtu mzuri.

Miezi miwili iliopita mambo yake hayakwenda sawa akaniomba aje akae kwangu kwa mda mfupi akijipanga ili aende kupanga, Ila sasa naona kabisa uvumilivu umeniisha na sijui anaondoka lini na naona nikimuuliza atajisikia vibaya.

Ratiba ya kwangu imebadilika kabisa, mimi si mtu wa kutoka napenda kuwahi kurudi nyumbani na kupata mda mwingi wa kupumzika, yeye anachelewa kurudi akirudi ni hekaheka atataka tuongee nisipomjibu anajisikia vibaya, atabamiza milango, uo usiku ndio atataka apike, kunakua hakuna utulivu na kachumba ni kamoja tu,..najikuta tu nina hasira na kisirani.

Mnachukuliana vipi na watu wa haina hii?
Me nlikua nae mmoja amekaa kwangu Toka mwezi wa Kumi na moja mwaka Jana........ nyumba nlokua naish mwanzo ilikua vyumba viwili.....nkahamia kweny kimoja na sebule bado nko nae.....Kuna mtu nkaingia nae mahusiano.....eeh akaanza kua anamuomba Ela me sijui...mara anamwambia mambo yangu, huyo akawa kaniacha bila kujua sababu.....huyo Rfk alikua achangii chochote ndani me nmlishe, hadi pads nmnunulie.......nlivokuja kujua nkamwambia tu ukweli....ugomvi ulozuka hapo....oooh ww una roho mbaya, unitunzi me kama rafk ako, unamjali mtoto ako na Nini na Nini....... nkamwambia tu ondoka nyumbani kwangu......akaondoka....kwa hyo ukimwambia ondoka jiandae kwa bifu sisi wadada akil zetu ni ndogo sana!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe marafiki, tunasaidiana katika mambo mengi na ni mtu mzuri.

Miezi miwili iliopita mambo yake hayakwenda sawa akaniomba aje akae kwangu kwa mda mfupi akijipanga ili aende kupanga, Ila sasa naona kabisa uvumilivu umeniisha na sijui anaondoka lini na naona nikimuuliza atajisikia vibaya.

Ratiba ya kwangu imebadilika kabisa, mimi si mtu wa kutoka napenda kuwahi kurudi nyumbani na kupata mda mwingi wa kupumzika, yeye anachelewa kurudi akirudi ni hekaheka atataka tuongee nisipomjibu anajisikia vibaya, atabamiza milango, uo usiku ndio atataka apike, kunakua hakuna utulivu na kachumba ni kamoja tu,..najikuta tu nina hasira na kisirani.

Mnachukuliana vipi na watu wa haina hii?
We mtimie usiangalia atakufikiriaje!!
 
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe marafiki, tunasaidiana katika mambo mengi na ni mtu mzuri.

Miezi miwili iliopita mambo yake hayakwenda sawa akaniomba aje akae kwangu kwa mda mfupi akijipanga ili aende kupanga, Ila sasa naona kabisa uvumilivu umeniisha na sijui anaondoka lini na naona nikimuuliza atajisikia vibaya.

Ratiba ya kwangu imebadilika kabisa, mimi si mtu wa kutoka napenda kuwahi kurudi nyumbani na kupata mda mwingi wa kupumzika, yeye anachelewa kurudi akirudi ni hekaheka atataka tuongee nisipomjibu anajisikia vibaya, atabamiza milango, uo usiku ndio atataka apike, kunakua hakuna utulivu na kachumba ni kamoja tu,..najikuta tu nina hasira na kisirani.

Mnachukuliana vipi na watu wa haina hii?
sishangai hizi ni tabia za kike, wanawake hamuwezagi kuishi kwa pamoja bila kisiraani, mna kaubinafsi.

Hata kwa baadhi ya wanaume wasiojielewa huwa wana tabia za kike kama zako, ubinafsi.

Labda huyo unayeishi naye angekuwa mwanaume, angekutuliza kwa mshedede/mkuyenge, usingekuwa na kisiraani.
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Mzee mwenzangu umeongea ukweli sisi tunapendana tukiwa mbali bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom