Mna-save vipi pesa?

Mna-save vipi pesa?

Mnatunzaje pesa jamani

Mshahara wangu 650,000 kwa mwezi

Sina familia inayonitegemea

Kwa Wazazi naweza kutoa haizid 100.000

Na siyo lazima kuwapa

Yaan sina yule mtu ananitegemea kabisa kabisa

Lakini matumizi yangu yamekua makubwa kuliko kipato ninachoingiza

Natunza vipi pesa ili niyafikie malengo ??
Nunua Hisa La mama…

Nunua hisa zako, kaa tulia mwisho wa mwaka save/uza pesa/hisa zako UTT…rudia mzunguko wako mpaka utakapofanikisha malengo yako!
 
Mnatunzaje pesa jamani

Mshahara wangu 650,000 kwa mwezi

Sina familia inayonitegemea

Kwa Wazazi naweza kutoa haizid 100.000

Na siyo lazima kuwapa

Yaan sina yule mtu ananitegemea kabisa kabisa

Lakini matumizi yangu yamekua makubwa kuliko kipato ninachoingiza

Natunza vipi pesa ili niyafikie malengo ??
Hii ni bajeti yangu ya siku 2
 
Ishi kulingana na unachoingiza, hapo sitasema uishi vipi kulingana na kipato chako, mambo mengine ni akili Tu na committment.
 
Sasa hiyo nayo ni pesa ya kusave?
Njoo tule bia hapa tabata kijana
 
Nisiwe muongo huwa simalizi laki 3 ndani ya mwezi 1.

Unga kg 25
gas kubwa 60k mkataba miezi 6+.(Nina miezi 4 na bado hata nusu haija fika).
dagaa kisado 1 - 8k
Mchele kg 25 - 50k.
Usafiri home na kwenye u jobless ni dk 10-15 tu(baiskeli ipo).
Mafuta litre 5 25k. (Miezi 2+)
Umeme 5k + maji 5k.
Nyama au kuku 40k
Total= 210k.
Umeme wa elfu 5?
 
Garama za kuipata hio laki sita unaweza kuta inazidi laki tano , hivyo ni ngumu sana kuweka akiba hali maisha ya naendelea .
Ni kumuomba Mungu atoe wepesi na mlango wankutokea inapokuja chngamoto.
 
Back
Top Bottom