Usikubali pesa ikupelekeshe au ikununue

Usikubali pesa ikupelekeshe au ikununue

Umeongea kitu cha maana sana ila ni ngumu sana kwa watu wengi kukuelewa,

Unatakiwa uitawale Pesa na sio Pesa ikutawale wewe,

Pesa ikisha kutawala badala ya wewe uitawale,basi huo ndio mwanzo wa kupoteza utu wako, heshima yako,na hatimaye kusahau kuishi,

Coz muda wako wote utautumia kukimbizana na pesa,mwisho wa siku unakuja kujikuta kua ulisahau kuishi na ukakimbizana na pesa tu kwenye uhai wako.
 
Umeongea kitu cha maana sana ila ni ngumu sana kwa watu wengi kukuelewa,

Unatakiwa uitawale Pesa na sio Pesa ikutawale wewe,

Pesa ikisha kutawala badala ya wewe uitawale,basi huo ndio mwanzo wa kupoteza utu wako, heshima yako,na hatimaye kusahau kuishi,

Coz muda wako wote utautumia kukimbizana na pesa,mwisho wa siku unakuja kujikuta kua ulisahau kuishi na ukakimbizana na pesa tu kwenye uhai wako.
Exactly broski , pesa haitakiwi imtawale mtu
 
Umeongea kitu cha maana sana ila ni ngumu sana kwa watu wengi kukuelewa,

Unatakiwa uitawale Pesa na sio Pesa ikutawale wewe,

Pesa ikisha kutawala badala ya wewe uitawale,basi huo ndio mwanzo wa kupoteza utu wako, heshima yako,na hatimaye kusahau kuishi,

Coz muda wako wote utautumia kukimbizana na pesa,mwisho wa siku unakuja kujikuta kua ulisahau kuishi na ukakimbizana na pesa tu kwenye uhai wako.
♥️
 
Naombeni kueleweshwa pesa inamtawala vipi mtu, na mtu anaitawala vipi pesa?
 
Naombeni kueleweshwa pesa inamtawala vipi mtu, na mtu anaitawala vipi pesa?
Pesa inakutawala pale ambapo unakubali mambo ambayo wewe mwenyewe hauyafurahii ila unalazimika kuyafanya kwasababu ya nguvu ya pesa .

Pesa unaitawala pale ambapo , kuna dau la kukushawishi kuipokea hiyo pesa lakini unazingatia zaidi utu na thamani yako
 
Pesa inakutawala pale ambapo unakubali mambo ambayo wewe mwenyewe hauyafurahii ila unalazimika kuyafanya kwasababu ya nguvu ya pesa .

Pesa unaitawala pale ambapo , kuna dau la kukushawishi kuipokea hiyo pesa lakini unazingatia zaidi utu na thamani yako
Asante!
 
Back
Top Bottom