mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Ila twende mbele turudi nyuma.mwezi wa mshahara ni mrefu.kutoka 1 mpaka 30 sio mchezo
Ukinyoa shida sana hapa JF. Hukumbuki uzi ule. Sijui watu wanataka niniNiliyenyoa je?
Mpaka ufe ndiyo wanatulia😂😂Ukinyoa shida sana hapa JF. Hukumbuki uzi ule. Sijui watu wanataka nini
Anajua Jehovah Nishi🥴Mnatumia sn hela out of budget.....sana sana nguo.... urembo n.k ! Kutokusuka sio hoja.... uko poa mdada ??? Oktoba unatiki au unatoka ...? Nimechomekea in Magu's voice 😊
Hususan hapa JF.Mpaka ufe ndiyo wanatulia😂😂
Mi mzima kabisa mkuu,uko poa?hujambo
😂😂Ukiizingatia jf hutosonga mbele...hawa unanyoka nao mkuu🤒Hususan hapa JF.
huo unga si utaharibika?Unga kg 25
Siku hizi kuna gauge zinasoma mita mkuuUnajuaje gas imebakia kiasi gani mkuu!
Nisiwe muongo huwa simalizi laki 3 ndani ya mwezi 1.
Unga kg 25
gas kubwa 60k mkataba miezi 6+.(Nina miezi 4 na bado hata nusu haija fika).
dagaa kisado 1 - 8k
Mchele kg 25 - 50k.
Usafiri home na kwenye u jobless ni dk 10-15 tu(baiskeli ipo).
Mafuta litre 5 25k. (Miezi 2+)
Umeme 5k + maji 5k.
Nyama au kuku 40k
Total= 210k.
Breakfast Mimi nina routine ya mazoezi so una weza shangaa nakunywa ginger tea iliyo mixiwa na kitunguu maji, swaumu na tangawizi yenyewe tu.Hongera sana mkuu.
Vipi kuhusu breakfast, matunda, mbogamboga, maji, juice?
Hakuna kitu hapo, anasema mchele kilo 25, unga kilo 25 je huo mchele unaiweka mafuta tu unakula? Au huo unga unakorogea uji tu? Hakuna bajeti ya mboga hapo,matunda hakuna, mimi nanunua vyote hivyo ulivyovitaja na ambavyo hajavitaja, kama tambi,sausages,maharage nk, na bado nalazimika kuacha si chini ya 5000 daily, kiufupi hesabu yake haijakamilikaHii nimeielewa mkuu
😂😂😂😂😂Naomba unioe tafadhali
Sasa nipande daladala 500, nispend 4hrs wakati bolt buku 2 dakika chache nimekamilisha safari.Unapanda boda, hautaki kutembea japo 1Km.
Unarequest sana Bolt. Yani wadada siku hizi mmejizoelesha sana kurequest, daladala hamtaki kupanda kabisa.
Mlo wako kwa siku unatumia kiasi kisichopungua 8000/=, hapo kwa mwezi ni 240k.
Vocha kwa mwezi haipungui 100k.
Ukichanganya na vikorokoro vingine kama kusuka, mafuta, perfumes, nguo, viatu, unakuta imeshasoma 550k.
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Nimekosea hapo juu?
Kwa kuanzia, fungua account au tumia account ambayo hauna access nayo kwa haraka, kajaze ile huduma ya kukatwa salary huko huko inaingia kwenye hiyo account.....mengine angalia kwenye hiki kitabuNO REFORM NO ELECTION
Mnatunzaje pesa jamani
Mshahara wangu 650,000 kwa mwezi
Sina familia inayonitegemea
Kwa Wazazi naweza kutoa haizid 100.000
Na siyo lazima kuwapa
Yaan sina yule mtu ananitegemea kabisa kabisa
Lakini matumizi yangu yamekua makubwa kuliko kipato ninachoingiza
Natunza vipi pesa ili niyafikie malengo ??