MMU team bachelors Vs team wasio kua bachelors.

MMU team bachelors Vs team wasio kua bachelors.

ndoa ni kifungo huru rafiki nikiogopa mbya zaidi ukute umeingia chaka ni balaaa
Acha uoga ww ukiingia chaka shart uwe na fyekeo,shoka unaenda kufyeka majani yote na kung'oa visiki vyote,tatzo unataka akung'olee mwenzio ili upakute pasafi kwako iwe mteremko
 
Mm nakaribia kuondoka kwenye team ya makapera!I really wanna Marry her!

Nasubiri tu DEMBA ajibu maombi yangu niende kwa wazazi kutoa posa!

Kila la heri..
 
Last edited by a moderator:
Acha uoga ww ukiingia chaka shart uwe na fyekeo,shoka unaenda kufyeka majani yote na kung'oa visiki vyote,tatzo unataka akung'olee mwenzio ili upakute pasafi kwako iwe mteremko

mmh kuna wengine utafikiria umeingia kuzimu ndogo yani umetengeneza jehanamu yako
 
Acha uoga ww ukiingia chaka shart uwe na fyekeo,shoka unaenda kufyeka majani yote na kung'oa visiki vyote,tatzo unataka akung'olee mwenzio ili upakute pasafi kwako iwe mteremko

ha ha ha kuna visiki vingine having'oleki...
 
Kila la heri..

Nashukuru Mkuu!
Nimechoka na hali hii ya upweke hasa mvua ikinyesha hapa Dar!Nahitaji mwenzangu wa kubadilishana nae mawazo ya maisha tujenge familia!

Nasubiri tu jibu nipige hatua ingine
 
ha ha ha kuna visiki vingine having'oleki...
Hakuna kisichong'oleka ukiona hivyo umeingia na vifaa duni inatakiwa ufanye utafiti ujue nia aina gani ya visiki viko huko viski vya kung'olewa kwa kijiko huwezi kutumia shoka utafeli
 
mmh kuna wengine utafikiria umeingia kuzimu ndogo yani umetengeneza jehanamu yako
Usiogope mambo ya kawaida si unajua watu wenyewe tunakutana ukubwani kila mtu kalelewa katika maadili tofauti automatically hata misimamo lazima tutofautiane ndo maana neno uvumilivu linapochukua nafasi yake!
 
Usiogope mambo ya kawaida si unajua watu wenyewe tunakutana ukubwani kila mtu kalelewa katika maadili tofauti automatically hata misimamo lazima tutofautiane ndo maana neno uvumilivu linapochukua nafasi yake!

uvimilivu huwa unaisha kabisa loh unaweza vumilia mwisho wa siku ukapata ukichaa mweee maisha mafupi lkutesana ndo nini
 
Hakuna kisichong'oleka ukiona hivyo umeingia na vifaa duni inatakiwa ufanye utafiti ujue nia aina gani ya visiki viko huko viski vya kung'olewa kwa kijiko huwezi kutumia shoka utafeli
Daudi1 usiseme hivyo kuna vingine ni balaaa wewe
 
Mkuu, miss chagga ni mtani wangu...
Nilienda nae chemba akanipa dits zote...
Hajaolewa, hana bwana na anakusubiri wewe...teh!

aisee ndugu Eli79 ujue bado nina shida sana, nimekuwa nisiyejielewa. Baada ya christmas nilipata kisanga hicho, nikiwa na muda nitashare tena na nyie!!

Tembosa sijaolewa sasa niliivyopewa ile nafasi na Eli79 ya kukutunza nikawa nasubiria ruhusa yako lakini umekaa kimya....Eli79 njoo huku nitetee

kunitunza bado naona kama ni ngumu sana! afu miss its look like wengi mnajua kama mimi huwa na joke ndiyo maana kila kitu mnakichulia kwa wepesi sana!!!
 
Last edited by a moderator:
Daudi1 usiseme hivyo kuna vingine ni balaaa wewe
Kwani umepatwa na nini mbona umekuwa muoga kiasi hicho kwani unafikiri waliosema kila shetani na mbuyu wake walikosea,tumia vifaa orijino siyo hata kama ni mchina basi awe orijino vitango'ka tu
 
uvimilivu huwa unaisha kabisa loh unaweza vumilia mwisho wa siku ukapata ukichaa mweee maisha mafupi lkutesana ndo nini
Chukua mfano kwa wazazi wako nani amepata kichaa wamevumiliana mpaka umekuwa umeweza hadi kutoa comment humu why wewe ushindwe?
 
Hakuna kisichong'oleka ukiona hivyo umeingia na vifaa duni inatakiwa ufanye utafiti ujue nia aina gani ya visiki viko huko viski vya kung'olewa kwa kijiko huwezi kutumia shoka utafeli

teh teh teh zana duni au sio...
 
Back
Top Bottom