Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 755
MMUs JF Special
Some JF member Quoutes I Love (MMU)
Katika threads mbali mbali hapa MMU watu hutoa Michango mbali mbali ambayo hufurahisha, elimisha, kosha, imarisha na saa ingine hata kukwazisha But all in all most ya michango hubeba ujumbe mkubwa saaana ambao ingawa wakati mwingine huchukulia kama mzaha but ujumbe behind the mzaha hua muhimu.
The following are some of the best quotes (kwa upande wangu) kutoka katika three of my threads Take NOTE kua hazijapangwa kulingana na ubora wa hio quote.. hivyo ya mwisho yaweza kua bora kulika ya kwanza katika huu mpangilio..
Hata hivyo most kuna quotes zao nyiiingi zimenifurahisha ila niliona its beta I withdraw to most ambao nilibahatika kupata michango yao
Kaizer
- Iwe kupenda kwanza au baadae.. Biashara kwanza
Michelle
- Kuna watu ukitofautiana kwa PM ni bifu kwa thread pia
Bubu Ataka Kusema
- Nimekutana na watu wa maana saana hapa, ambapo naweza kusema kweli wamekua rafiki wa karibu mno
- EMT
- Social Media imefanya mwananchi wa kawaida kua journalist
The Finest
- To the world you may be one person, to a person you may be the world
Daughter
- Sometimes we suffer with the bitter state of coffee till the last sip only to find out sugar crystals lying at the botton
Mestod
- Only God anajua ramani ya maisha yetu kabisa, anajua tulipotoka tulipo na mwisho wetu
- Manumbu
- One thing I would like to know how do we know if one of us is dead
CPU
- Kucheza mdako ama rede kwa mzee haimaanishi kabakili jinsia
- Lizzy
- i should probably change and tryanna get to know em before saying naaah he/she is too mature
Gaga
- Go out and screw up Dont try and be perfect
-The Boss
- Africans we love other peoples wife most..
- Arsene Wenger
- Mapenzi Mchezo wa ajabu saana
Afrodenz
- Live to love love to live
- Chauro
- Mie nipo 26-32 kuna vijitu kavieleza vina ukweli na mimi
- Rutashubanyuma
- Do not be awed by materialistic possessions, even the Rich cry
SMU
- Mama na machungu anayo pitia uhakikisha ustawi wa mwanae
Pearl
- Kila kitu kinawezekana katika hii dunia kikubwa kubaliana na ukweli
Fixed Point
- Kitu kinacho fanya kwa mama mkwe wangu ni kumtreat kama mamangu
Pauline
- I will always be my self
Samora10
- Happy mothers day to ma mom, all the girls(future moms) and all the moms in here
Ndetichia
- I Love you Mom
Mnyamahodzo
- Mama nakupenda naona fahari kukupenda.
Karen_Happuch
- I am proud to be your Mother
JourneGwalu
- Natamani kusema mengii juu ya mama, ukweli usiopingika maneno hayatoshelezi
Nyumba kubwa
- I am an over possessive person, I will not set him free, what if he does not come back!!
The dirty paka
- Love does not need a forulae it needs a personality to be strong
Bacha
- Jinsi anavyo ishi mwinyi haji na mkewe sio lazima afanane na minyi Pemba na mkewe
Belinda Jacob
- Nikimpata Mtu namuonesha mapenzi ya kweli ila sio kumzingira kama hashikiki
- Husninyo
- Nina allergy na icecream..
First Lady
- Siku hizi sipendi kujipa pressure kama zamani
Uporoto1
- If you love someone lock her in, if she leaves hunt her down
Mentor
- Wanawake wa mjini shida tupu!!!! Hawaoleweki
Dark City
- Watu wanafanya biashara ya kuwowana badala ya kuoana
Fidel80
- Mapenzi haya wacha yaitwe mapenzi tatizo hushibi
Positive Thinker
- Ukipata mwanamke above 39 yrs upo safe saana
- Son of Alaska
- When it come to love advice every Dick, Tom and Jerry are love Gurus
Zion Daughter
- @25 taa nyekundu huanza kumulika kuashiria umechelewa
Eliphaz the Termite
- Man!! I like women I just cant stop loving them
Bishanga
- Naomba nikiri toka nimeingia MMU roho yangu imekua baridi
- Nyamayao
- Najutiaga kiac nilivyomsumbua mama, nilimsumbua vya kutosha jamani, alinicmamia kidete bila yeye cjui nyamayao angekuwa mtu wa namna gani, asante sana mama kwa kunipigania..
Ulimkafu
- Kweli kuna mambo mazuri saana humu jamvini
Maty
- JF usipokua mjanja kazi lazima zilale
Nyani Ngabu
- Nawaza wangapi humu wanatumia jina zaidi ya moja
Freema Agyeman
- Kauli za kikubwa vigumu kurespond
- Konakali
- Duh! Kweli umekua addicted (@AshaDii)
Dinnah
- Kuolewa mpaka usubiri limtu lije kukuposa mara linakutosa aaarrrgh
Dena Amsi
- USIHARIBU THREAD
Mtumishi wetu
- Binafsi nachukia saana Serkali inavyofanya na kutesa wananchi
Steve Dii
- Nilijiunga (JF) kupata mke lakini bahati mbaya mpaka leo sijampata
Caroline Danzi
- Heshima na upendo vinachukua nafasi yake (JF)
Kbd
- Naiombea JF idumu
Black Berry
- I like honest people
Okada
- Freedom of expression, Knowledge and Skills provided.. need I say mo
Nyange
- Sijui bila JF ningekua wapi
Gazeti
- Kama mtu alopita karibu na mzinga wa nyuki akapiga mwayo asali ikadondokea bahati mbaya
Kanigini
- Hii JF Kiboko
Kimey
- Worry not I am not biting
- Camaraderie
- Simply hamna forum kama hii hapa TZ kwa magamba and magambaless
Jojobingo/The Priest
- JF haina mpinzani
Marytina
- I live life to the fullest at JF nikiwa mtaani haiwezekani mambo mengine ni kero kwa jamii
Cheusimangala
- Leo hii nikimshauri mtu simsaidii tu kwa mtaji bali bali namshauri na aina za biashara anazoweza kufanya kulingana na kiasi kilichopo
Excellent
- Hua napenda kutafakari signature za watu zenye upeo wa hali ya juu na fikra tofauti
Eiyer
- I am so proud you are my siter..
Elia
- Mkuu.. kuna mindoto mibaya bora usiote
- Sharohiphop
- Kwa kweli naelimika saana hapa JF kupitia mawazo ya watu wengi
- Asprin
- Baada ya kudadavua na kupembenua, si nikagundua utanibemendea wajukuu zangu? Kisa cha kuwa shugamami wakati babu mwenyewe nipo ni nini..
NOTE: Just in case kuna member anahisi hio quote sio yake please sema nikupe evidence .
AshaDii anawatakia good Friday and a wonderful relaxing Weekend.... enjoy..:happy:
Pamoja saana
AshaDii
Una muda mwingi sana!!