MMU’s JF Special

MMU’s JF Special


MMU’s JF Special

Some JF member Quoutes I Love …(MMU)

Katika threads mbali mbali hapa MMU watu hutoa Michango mbali mbali ambayo hufurahisha, elimisha, kosha, imarisha na saa ingine hata kukwazisha… But all in all most ya michango hubeba ujumbe mkubwa saaana ambao ingawa wakati mwingine huchukulia kama mzaha but ujumbe behind the mzaha hua muhimu.

The following are some of the best quotes (kwa upande wangu) kutoka katika three of my threads… Take NOTE kua hazijapangwa kulingana na ubora wa hio quote.. hivyo ya mwisho yaweza kua bora kulika ya kwanza katika huu mpangilio..

Hata hivyo most kuna quotes zao nyiiingi zimenifurahisha ila niliona its beta I withdraw to most ambao nilibahatika kupata michango yao…


  • Iwe kupenda kwanza au baadae.. Biashara kwanza
– Kaizer

  • Kuna watu ukitofautiana kwa PM ni bifu kwa thread pia
– Michelle

  • Nimekutana na watu wa maana saana hapa, ambapo naweza kusema kweli wamekua rafiki wa karibu mno
– Bubu Ataka Kusema

  • Social Media imefanya mwananchi wa kawaida kua journalist
- EMT

  • To the world you may be one person, to a person you may be the world
– The Finest

  • Sometimes we suffer with the bitter state of coffee till the last sip only to find out sugar crystals lying at the botton
– Daughter

  • Only God anajua ramani ya maisha yetu kabisa, anajua tulipotoka tulipo na mwisho wetu
– Mestod

  • One thing I would like to know how do we know if one of us is dead
- Manumbu

  • Kucheza mdako ama rede kwa mzee haimaanishi kabakili jinsia
– CPU

  • i should probably change and tryanna get to know ‘em before saying ‘naaah he/she is too mature
- Lizzy

  • Go out and screw up… Don’t try and be perfect
– Gaga


  • Africans we love other peoples wife most..
-The Boss

  • Mapenzi Mchezo wa ajabu saana
- Arsene Wenger

  • Live to love… love to live
– Afrodenz

  • Mie nipo 26-32 kuna vijitu kavieleza vina ukweli na mimi
- Chauro

  • Do not be awed by materialistic possessions, even the Rich cry
- Rutashubanyuma

  • Mama na machungu anayo pitia uhakikisha ustawi wa mwanae
– SMU

  • Kila kitu kinawezekana katika hii dunia kikubwa kubaliana na ukweli
– Pearl

  • Kitu kinacho fanya kwa mama mkwe wangu ni kumtreat kama mamangu
– Fixed Point

  • I will always be my self
– Pauline

  • Happy mothers day to ma mom, all the girls(future moms) and all the moms in here
– Samora10

  • I Love you Mom
– Ndetichia

  • Mama nakupenda naona fahari kukupenda.
–Mnyamahodzo

  • I am proud to be your Mother
– Karen_Happuch

  • Natamani kusema mengii juu ya mama, ukweli usiopingika maneno hayatoshelezi
– JourneGwalu

  • I am an over possessive person, I will not set him free, what if he does not come back!!
– Nyumba kubwa

  • Love does not need a forulae it needs a personality to be strong
– The dirty paka

  • Jinsi anavyo ishi mwinyi haji na mkewe sio lazima afanane na minyi Pemba na mkewe
– Bacha

  • Nikimpata Mtu namuonesha mapenzi ya kweli ila sio kumzingira kama hashikiki
– Belinda Jacob

  • Nina allergy na icecream..
- Husninyo

  • Siku hizi sipendi kujipa pressure kama zamani
– First Lady

  • If you love someone lock her in, if she leaves hunt her down
– Uporoto1

  • Wanawake wa mjini shida tupu!!!! Hawaoleweki
– Mentor

  • Watu wanafanya biashara ya kuwowana badala ya kuoana
– Dark City

  • Mapenzi haya wacha yaitwe mapenzi tatizo hushibi
– Fidel80

  • Ukipata mwanamke above 39 yrs upo safe saana
– Positive Thinker

  • When it come to love advice every Dick, Tom and Jerry are love Gurus
- Son of Alaska

  • @25 taa nyekundu huanza kumulika kuashiria umechelewa
– Zion Daughter

  • Man!! I like women I just cant stop loving them
– Eliphaz the Termite

  • Naomba nikiri toka nimeingia MMU roho yangu imekua baridi
– Bishanga

  • Najutiaga kiac nilivyomsumbua mama, nilimsumbua vya kutosha jamani, alinicmamia kidete bila yeye cjui nyamayao angekuwa mtu wa namna gani, asante sana mama kwa kunipigania..
- Nyamayao

  • Kweli kuna mambo mazuri saana humu jamvini
– Ulimkafu

  • JF usipokua mjanja kazi lazima zilale
– Maty

  • Nawaza wangapi humu wanatumia jina zaidi ya moja
– Nyani Ngabu

  • Kauli za kikubwa vigumu kurespond
– Freema Agyeman

  • Duh! Kweli umekua addicted (@AshaDii)
- Konakali

  • Kuolewa mpaka usubiri limtu lije kukuposa mara linakutosa aaarrrgh
– Dinnah

  • USIHARIBU THREAD
– Dena Amsi

  • Binafsi nachukia saana Serkali inavyofanya na kutesa wananchi
– Mtumishi wetu

  • Nilijiunga (JF) kupata mke lakini bahati mbaya mpaka leo sijampata
– Steve Dii

  • Heshima na upendo vinachukua nafasi yake (JF)
– Caroline Danzi

  • Naiombea JF idumu
– Kbd

  • I like honest people
– Black Berry

  • Freedom of expression, Knowledge and Skills provided.. need I say mo’
– Okada

  • Sijui bila JF ningekua wapi
– Nyange

  • Kama mtu alopita karibu na mzinga wa nyuki akapiga mwayo asali ikadondokea bahati mbaya
– Gazeti

  • Hii JF Kiboko
– Kanigini

  • Worry not I am not biting –
Kimey

  • Simply hamna forum kama hii hapa TZ kwa magamba and magambaless
- Camaraderie
  • JF haina mpinzani
– Jojobingo/The Priest

  • I live life to the fullest at JF nikiwa mtaani haiwezekani mambo mengine ni kero kwa jamii
– Marytina

  • Leo hii nikimshauri mtu simsaidii tu kwa mtaji bali bali namshauri na aina za biashara anazoweza kufanya kulingana na kiasi kilichopo
– Cheusimangala


  • Hua napenda kutafakari signature za watu zenye upeo wa hali ya juu na fikra tofauti
– Excellent

  • I am so proud you are my siter..
– Eiyer

  • Mkuu.. kuna mindoto mibaya bora usiote
– Elia

  • Kwa kweli naelimika saana hapa JF kupitia mawazo ya watu wengi
- Sharohiphop

  • Baada ya kudadavua na kupembenua, si nikagundua utanibemendea wajukuu zangu? Kisa cha kuwa shugamami wakati babu mwenyewe nipo ni nini..
- Asprin
NOTE: Just in case kuna member anahisi hio quote sio yake please sema nikupe evidence….


AshaDii anawatakia good Friday and a wonderful relaxing Weekend.... enjoy..
:happy:

Pamoja saana
AshaDii



Una muda mwingi sana!!
 
Yaani dearest katika maneno yote ninayoandika hilo la bifu ndo uliloona la ku-quote???? ngoja nakutafuta na mimi.


ha ha ha... (oh sorry...)

Mpenzi that message ni ujumbe mzito na wa maana saana...
hua unaongea mengi ya muhimu but of all those quotes/quoted
hakuna ameelezea side effect ya jamvini sometime.. for hata mimi
imenitokea ingawa huwa kwepa saana jamvini nikiona ni shari...

Michelle dear Am sorry kama hujapenda...
 
Una muda mwingi sana!!


Mara nyingi hizo ni kauli za watu ambao kazi ya
week moja anataka afanye mwezi mzima! With
Commitment unaweza fanya vitu vingi kwa wakati mmoja...

Najua wengi wanachukulia jamvi sehemu ya MZAHA...
Am sorry sio hivyo kwangu..

Enjoy
...


BTW... Hakuna quote umependa???
 
Alimng'oa kwa vitimbi na kumdharaurisha Kenneth K... akamnyanyasa na kumvua wadhifa woote...
Personally nilikua simkubali kabisa.. Kundi moja na mafisadi wa hapa nchini... ni mtu wa kujirusha.. kelele nyiiingiii...
Dah! nilijisahau.. hivi warusha uzi wowote kuhusu huyu jamaa nikashushe HASIRA ZANGU juu yake..

Habari yako bana!
Pole sana....Nenda katoe rambirambi zako hapa:

https://www.jamiiforums.com/international-forum/146925-chiluba-is-no-more.html

Habari yangu nzuri sana..... salamu kwa Asha D. Mwambie babu anamuuliza, alikuwa wapi siku zote?
 
Mara nyingi hizo ni kauli za watu ambao kazi ya
week moja anataka afanye mwezi mzima! With
Commitment unaweza fanya vitu vingi kwa wakati mmoja...

Najua wengi wanachukulia jamvi sehemu ya MZAHA...
Am sorry sio hivyo kwangu..

Enjoy
...

Nami nikifungua sredi yangu, hii quote lazima nikurushe nayo...kha!
 
Pole sana....Nenda katoe rambirambi zako hapa:

https://www.jamiiforums.com/international-forum/146925-chiluba-is-no-more.html

Habari yangu nzuri sana..... salamu kwa Asha D. Mwambie babu anamuuliza, alikuwa wapi siku zote?


Asante saaana Asprin.. ulipomgusia tu i knew kua lazima GT watakua wamegusia..
Nimeenda moja kwa moja na kumwaga hasira zangu...lol.. Saizi zimetulia...

Babu Asha D anaogopa kujibu hilo swali.. adui zake wamfuata saana watajua kambi wanilipue...lol
 
Asante saaana Asprin.. ulipomgusia tu i knew kua lazima GT watakua wamegusia..
Nimeenda moja kwa moja na kumwaga hasira zangu...lol.. Saizi zimetulia...

Babu Asha D anaogopa kujibu hilo swali.. adui zake wamfuata saana watajua kambi wanilipue...lol

ha ha ha... Babu AshaDii on behalf of Asha D will be humbled...
And when ASHAdii is humbled Babu will be double humbled.... isn't it dangerous?
 
ha ha ha... (oh sorry...)

Mpenzi that message ni ujumbe mzito na wa maana saana...
hua unaongea mengi ya muhimu but of all those quotes/quoted
hakuna ameelezea side effect ya jamvini sometime.. for hata mimi
imenitokea ingawa huwa kwepa saana jamvini nikiona ni shari...

Michelle dear Am sorry kama hujapenda...

Dearest mimi nimependa, una uhuru wa kutoa mawazo yako kama unavyofanya,ninapaswa kuyaheshimu kama ninavyofanya....

hapo nimesema tu,usikwepe shari,kuna watu si vibaya ukawaweka sawa manake wanafikiri dunia inazunguka kwenye vichwa vyao tu...

nakutakia wikiendi njema dearest.
 
HAPANA Babu... Humbled people always live in harmony...
Au wewe muoga wa Amani???
So there is no danger? Kama nimekuelewa vizuri. Hahahah...amani nayo bana ikizidi yaweza leta madhara mengine.... Yaani unajisikia amani kufanya chochote kile... yaani kila kitu amani tu..... hebu jibu PM yangu basi...khaa!
 
Dearest mimi nimependa, una uhuru wa kutoa mawazo yako kama unavyofanya,ninapaswa kuyaheshimu kama ninavyofanya....

hapo nimesema tu,usikwepe shari,kuna watu si vibaya ukawaweka sawa manake wanafikiri dunia inazunguka kwenye vichwa vyao tu...

nakutakia wikiendi njema dearest.
Halafu wewe.......

Dawa yako iko jikoni!
 
Dearest mimi nimependa, una uhuru wa kutoa mawazo yako kama unavyofanya,ninapaswa kuyaheshimu kama ninavyofanya....

hapo nimesema tu,usikwepe shari,kuna watu si vibaya ukawaweka sawa manake wanafikiri dunia inazunguka kwenye vichwa vyao tu...

nakutakia wikiendi njema dearest.


Michelle this feedbak imeniweka at ease... Nashukuru dear na nitafuata ushauri pia..
Naona sasa ni wakati wa kubadilisha SIGNATURE yangu... hapa jamvini...
Enways i admire and appreciate michango yako pia.. one of the level headed ladies najua jamvini...

Do take care... hav a lovely weekend..
 
So there is no danger? Kama nimekuelewa vizuri. Hahahah...amani nayo bana ikizidi yaweza leta madhara mengine.... Yaani unajisikia amani kufanya chochote kile... yaani kila kitu amani tu..... hebu jibu PM yangu basi...khaa!


NO...No danger at all kukiwa na amani...lol
PM nishajibu... wori not...
Alafu Khaa! ya nini tena???
 
NO...No danger at all kukiwa na amani...lol
PM nishajibu... wori not...
Alafu Khaa! ya nini tena???
Kha ya nini? Kha ni ya khaa...haina mbadala...
BTW hebu cheki na Tume ya mawasiliano watuambie hiyo PM ulontumia imenasa kwenye mkongo upi? Au iko kwenye foleni Magomeni Mapipa?
 
Kha ya nini? Kha ni ya khaa...haina mbadala...
BTW hebu cheki na Tume ya mawasiliano watuambie hiyo PM ulontumia imenasa kwenye mkongo upi? Au iko kwenye foleni Magomeni Mapipa?



Khaa!! Haijafika... Let me check... lol
 
- Rutashubanyuma

  • Mama na machungu anayo pitia uhakikisha ustawi wa mwanae

Ashadii....you are awesome.........................that is what comes immediately into my mind.................................keep it up...........gal............
 
Ashadii....you are awesome.........................that is what comes immediately into my mind.................................keep it up...........gal............


Thanks Ruta, hope you are well and good for umeadimika...
Tena asante... Enjoy...
 
Back
Top Bottom