MMU’s JF Special

MMU’s JF Special

Imetulia hiyo ya @25 taa inaanza kuwaka kuashiria umechelewa. Nimecheka hapa mpaka naamsha watu chumbani mwenzenu jamani! sijui huyu aliwaza nini.
 
Asha we kiboko! kwa msisitizo nasema tena na tena....'hata kama nina mihasira nikiingia MMU roho yangu inakuwa bariiiiiiiiiidi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilijua tu
Yaani ukianza tu Quote ya CPU lazima ifuate ya Lizzy, and vise versa.
Mmmmh
 
Woowwww! Ashadii, asiyekubali cjui tumwiteje, hizo nyuzi zilitisha mazee, zilichangiwa bana, we ni mkali aisee, pamoko sana.
 
Mtu wako pacha wako mtata Faiza umemsahau!



Chapanga bahati mbaya kama wewe ilivyo hajawahi changia katika uzi
toka na sababu kua ni uzi tatu tu... yawezekana siku hio the so claimed pacha hakuwepo...
Ila angechangia angenukuliwa... like i said hata wewe pia..
 
The world is still here!



For any person to live is to make those/what surrounds you your world...
Yes broda if you look ... the world is still here!
 
Asha we kiboko! kwa msisitizo nasema tena na tena....'hata kama nina mihasira nikiingia MMU roho yangu inakuwa bariiiiiiiiiidi!!!!!!!!!!!!!!!!!!


ha ha ha Bishanga....
Raha jipe mwenyewe.... burudisha roho yako nobody Can beta than you!!!
 
Nilijua tu
Yaani ukianza tu Quote ya CPU lazima ifuate ya Lizzy, and vise versa.
Mmmmh


Huwezi amini CPU... Ndo na notice...lol.. genuinely... BTW Msalimie saana...
 
Woowwww! Ashadii, asiyekubali cjui tumwiteje, hizo nyuzi zilitisha mazee, zilichangiwa bana, we ni mkali aisee, pamoko sana.


Thank you Sharohphp.. you have kind of been absent a bit..
Hope uko pouwa and do have a lovely weekend...

Do take care..
 
For any person to live is to make those/what surrounds you your world...Yes broda if you look ... the world is still here!
Exactilly my lvly dada!Thats why i lv u!!
 
Hivi huyu Chiluba si ndo alimng'oa Kaunda madarakani?

RIP Chiluba.
 
Hivi huyu Chiluba si ndo alimng'oa Kaunda madarakani?

RIP Chiluba.



Alimng'oa kwa vitimbi na kumdharaurisha Kenneth K... akamnyanyasa na kumvua wadhifa woote...
Personally nilikua simkubali kabisa.. Kundi moja na mafisadi wa hapa nchini... ni mtu wa kujirusha.. kelele nyiiingiii...
Dah! nilijisahau.. hivi warusha uzi wowote kuhusu huyu jamaa nikashushe HASIRA ZANGU juu yake..

Habari yako bana!
 
Yaani dearest katika maneno yote ninayoandika hilo la bifu ndo uliloona la ku-quote???? ngoja nakutafuta na mimi.
 
Back
Top Bottom