Hakuna siku hata moja nakunywa iasi hicho, kwanza sinywi nyingi, nahakikisha ninakunywa kiasi ili isinisumbue, na ni ijumaa na jumamosi tuukishalewa what do u do often ????
Umewahi kulewa na usikumbuke kilichotokea ???????
Mwenzangu eti naonaga aibu, ila nikipita baa zetu huku mtaani napata tuha ha ha...
Gaga femininity hadi kwenye kunywa??? Enzi zangu nilikua nakaa kwenye stuli ndefu na chupa kabisaaa!! lol
looooo pole sana mie sio type hiyoUmeniangusha gaga
mimi napenda mdada anywe mpaka azimike lol
it sexy sometimes.....lol
Mwenzangu eti naonaga aibu, ila nikipita baa zetu huku mtaani napata tu
Kwa kweli kuna sehemu ni nomaInategemea mtoko.. ukitoka na galfriends mi naona pouwa tu,
Mkitoka causual with your man as the way mmedress na mahala penyewe pouwa tu,
Ila ukitoka nae ki formal kidogo... ni vizuri ukawa kidogo feminine...hapo nakuunga mkono...lol
Excellent wako wangapi?If is me i can't believe yet
Dah! i am dissapointed bana unakataa hali ulitamka mwenyewe... labda kama hukumaanisha...
Soma katika hio Link ni POST # 272 PAGE 14... Mstari wa Mwisho...
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/141185-kwa-nini-jf-14.html
looooo pole sana mie sio type hiyo
akizimika unambeba hadi kwao?
Mie sio mkorofi hata kidogo, ila wewe unaonekana huwa unang'ang'ania sana bar ukilewa na kuimba mapambio watu wa bara ndivo walivyoha haaaaaaaaaaa
kwa hiyo hicho ndo kinakuogopesha kuzimika sio???????
We ukilewa utakuwa unakua mkorofi...
Akizimika namrudisha kwao lol
Mie sio mkorofi hata kidogo, ila wewe unaonekana huwa unang'ang'ania sana bar ukilewa na kuimba mapambio watu wa bara ndivo walivyo
wanywa juice utawajua tui wish ningekuwa hivyo aisee.....lol
but niko very shy kwenye public....
huwa natamani siku moja nileeewe halafu nicheze mziki bila
kufuata mdundo,,,lol
yaaani ni kucheza mpaka unavua shati hivi lol
wanywa juice utawajua tu
Mwisho ngapi unakunywa?na kwa nini usindikize watu?bia nakunywa but silewi..
nakunywa ya kusindikiza wanywaji
Mwisho ngapi unakunywa?na kwa nini usindikize watu?