MMU’s JF Special

MMU’s JF Special

Nimeuona duh ikabidi na mimi nikustue kidogo maana ningekaa kimya ningeonekana mhhhhhhh nafagilia kutorushwa.....


Umetingisha kibiriti ukakuta njiti zinacheza cheza tu... kweli umenipata....lol
 
AD dear the post is beautiful ....
ADI reciprocates a 100%

Naamini you are doing good and being a good gal...

teh teh teh ..
asantee ..

im doing ok .. baridi imezidi teh teh
Hujambo lakini dear??

unapenda kuitwa ADI..
naona Mzee DC kalipenda kweli hilo jina hahahah lol
 
teh teh teh ..
asantee ..
im doing ok .. baridi imezidi teh teh
Hujambo lakini dear??
unapenda kuitwa ADI..
naona Mzee DC kalipenda kweli hilo jina hahahah lol


Mi mzima wa afya... nasikitika tu kua
Nakuonea wivu... napenda sehemu za baridi...

Hapa Mzee DC alinifaa sana kuweka jina ktk mfumo huo wa ADI...lol
Nikaona kapatia kabisaaa!!
 
Mi mzima wa afya... nasikitika tu kua
Nakuonea wivu... napenda sehemu za baridi...

Hapa Mzee DC alinifaa sana kuweka jina ktk mfumo huo wa ADI...lol
Nikaona kapatia kabisaaa!!

Yaani dada siku utatoa hicho kitambaa cheusi mdomoni mbona nitafurahi
 
Mambo my co-worker umeni-quote out of context kinadada hawatanielewa.
 
Mambo my co-worker umeni-quote out of context kinadada hawatanielewa.



Co-worker mimi ni mzima wa afya na kazi inaenda vizuri...
Of coz nime quote out of context... atae chukulia kila quote literally
hata kama haitakiwi hivyo basi kazi, itadhihirisha lack of GT...lol
 
People with many interests live, not only longest, but happiest



Quote ya ukweli hiyo FirstLady1 as well as hii hapa


Go confidently in the direction of your dreams.
Live the life you have imagined.
 
Madabwada, hivi great thinker anatakiwa awe serious masaa yote haata asijoke around?? kama alitoa point ukaiona ina maana siku nyingine akajoke kidogo baaaasi, unachukua ile joke na kum judge?? mie natofautiana na wewe, chukua cha sasa hivi usisubiri siku anajoke ndio uone kaongea pumba, mie sipendi watu wako serious masaa yote hata kwenye discussion za shuleni

habari yako binafsi Gaga, mbona nawe umekuwa serious bana?? hope uko pouwa!
 
Back
Top Bottom