"MMU Misses you Sooo Much"

Habari wana JF...

Ni wazi kua we have got lives beyond hapa JF.... Na ni wazi kua majukumu ni mengi katika jamii ambayo kwa kweli mara nyingi ndio first priorities katika maisha yetu kuliko hata hapa Jamvini... However inapotokea kua Members ambao ni wanafamilia wa hapa MMU wamepotea kitambo... Kuna baadhi ya members hasa sie wanafamilia wa MMU (Mfano mimi) hutokea kwamba Tumewa MISS.... Nyie watu (wanafamilia ya MMU) Popote kule mlipo msitegemee kukaa kwenu kimya basi na rohoni na akilini kwetu hampo!!! ACHENI kutesa mioyo yetu na agalau mtutembelee walau hata post moja tu kwa Week kuhakikisha kua kweli ni wazima wa Afya na kwamba Mwaendelea vizuri... Hivo basi naomba nitaje baadhi ya ambao nimewakumbuka kwa mda huu.... Wale ambao nimesahau kutaja naomba fellow members tukumbushane... Walau waelewe kua We REALLY MISS THEM..... (At lease I do...)
  1. Michelle
  2. Eiyer
  3. Gaga (I kno u ar fine but jamvini sijakuona mda)
  4. Stevie Dii
  5. Mestod
  6. Bacha
  7. CPU
  8. Lizzy
  9. Gagurito
  10. Manumbu
  11. Pearl
  12. Belinda Jacob
  13. Magulumalu
  14. Mentor
  15. First Lady
  16. Zion Daghter
  17. Maty (simuoni kabisa naona tu likes...lol)
  18. Dinnah
  19. Kbd
  20. Rev Masanilo
  21. Cheusi Mangala (thou she is back)
  22. Okada
  23. Elia
  24. Sharohiphop
  25. Aisha Adam
  26. Samora10
  27. Vikwazo
  28. The Dirty Paka
  29. Madabwada
  30. KonaKali
  31. Mayassa
  32. Kaka Mpendwa
  33. Fixed Point (thank God tumemuona)

Naamini ni wengi na wengine nimewasahau... Ama siwafahamu tokana na Ukweli kua MMU haijaanza juzi... I repeat Members wengine tutasaidiana kukumbushana (kwa wataopenda)

(This Post has been written with Lots of Love.....)

Pamoja Saana

AshaDii.
mi Eiyer tu jamni
 
Mbu we umewamiss wadada tu!? Lol

Am missing them too, maty, Carmel, WoS!

...mnh, soulmate jamani...hahaha...!
wakaka wote wapo hapa,....esp BAK nimemuona leo...na hata maswahiba kina teamo, kaizer,
mtm, aspirin, the finest na klorokwini wapo sana tu...! mstaafu Dark City jana nilimuona...
labda RR tu ndio kidogo kaadimika sasa....
 
...mnh, soulmate jamani...hahaha...!
wakaka wote wapo hapa,....esp BAK nimemuona leo...na hata maswahiba kina teamo, kaizer,
mtm, aspirin, the finest na klorokwini wapo sana tu...! mstaafu Dark City jana nilimuona...
labda RR tu ndio kidogo kaadimika sasa....
Mkuu mwambie MJ1 to forget the bite, we'll sing for her
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu mwambie MJ1 to forget the bite, we'll sing for her

♫....ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu...♫
6630005-carrier-pigeons.jpg
 
smiles ametoweka sana AD,nina wasiwasi na hizi multiple ID's zinatupotezea Id tulizozizoea



Kitu gani kinamfanya mtu aje na ID nyingine na kutekeleza completely ile alozoea... yaani kweli haina maana naona... Sijui lakini mayb sielewi...
 
...mnh, soulmate jamani...hahaha...!
wakaka wote wapo hapa,....esp BAK nimemuona leo...na hata maswahiba kina teamo, kaizer,
mtm, aspirin, the finest na klorokwini wapo sana tu...! mstaafu Dark City jana nilimuona...
labda RR tu ndio kidogo kaadimika sasa....


Ni kweli... BAK angekuwepo katika hiio list... fortunately karudi karibuni nae....
 
Uuuhhh... Da Asha nipo jamani, Pole kwa kunimiss.. Majukumu yalinizidi.. ila nipo sijambo bukheir kwa afya njema..


Mayasa THANK YOU very much kwa feedback bana... Tunawa Miss saana.. Uwe unachungulia kidogo bana.... Nafurahi kua ni mzima wa afya na yaelekea yoote kheri huko..... Best of Luck Mpenzi katika shughuli zako huko....
 
Belinda J, Dinnah plus this lady called Nemo..........me miss them much!! Very very very very much!!!!!!


Hawa woote Wamepotea kweli yaani... Huyu Nemo hugusa gusa tu thou briefly at least hutoa hope kua she is well.... Napenda angle za yule dada... Ila BelindaJacob... I really wish i could see her jamani...
 
Lizzy jamani please come back to us, tangu aanzishe jf yake kule yaani katumwaga sana huku ila namchunguliaga kulekule kwake
 
Hawa woote Wamepotea kweli yaani... Huyu Nemo hugusa gusa tu thou briefly at least hutoa hope kua she is well.... Napenda angle za yule dada... Ila BelindaJacob... I really wish i could see her jamani...
Napenda nemo anavombana mtu kwenye kona na hoja zake lol
 
Susy Susy Susy Susy the one and the only one nakumissssssssssoooooooooo!!!!!!!!
 
Mie Nimem-miss AfroDenzi jamani, sijamuona tangu tutoke Birthday Party tarehe 7, pale Peacock Hotel.
Plz say something, Afro D, Me missed u
 
Ohhhh dear! Nimeguswa na upendo kutoKa moyoni. Mimi ni mtu wa mwisho kabisa kuweza kufikiri kwamba ungenikumbuka. Asante sana kwa kuweka tabasamu usoni kwangu na kuifanya wikiendi yangu iishe kwa furaha.

Nipo mpendwa wangu na ni mzima afya. Niliamua kupumzika kidogo kiofisi na nikasafiri nyanda za juu kupata kibaridi kidogo. Nimerejea na tayari kuanza mzigo kuanzia kesho.

Asante kwa kunikumbuka, asante kwa kunijali. Nakupenda.
 
Hakuna hisia tamu kama kujua kuna mtu mahali fulani anakufikiria na amekukosa sana. Mi binafsi nimefarijika sana na uzi huu uliorushwa kwa ajili yetu. Nimejisikia kupendwa na kuthaminiwa. Nimejisikia kama sehemu ya hii familia njema ya jf.

Nakuombea heri mdada na Mungu akuongezee upendo. Natamani nikufahamu kwa ukaribu zaidi mpendwa wangu. Uwe na jioni njema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom