Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Hawa watu sijui wamepotelea wapi jamani.
Gaga
Shossi
Mentor
Maty
Fixed Point
Lizzy
Gagurito
Michelle
Gaga
Shossi
Mentor
Maty
Fixed Point
Lizzy
Gagurito
Michelle
Nimewahi kutana na Smilie mara moja tu! But she had made an impression on me and i wish to see her too.... ila Carmel yupo ila kwa nadra mno!!
Hawa wakuu sijawasikia kitambo na namiss sana michango yao, HashyCool, Kaka Mohamed Shossi, Yeshua Haarmalech, Mkwaruzo, Prodigy Son, Young Corporate na wengineo. Najua maisha yana purukushani zake na challenges zake za kila siku, lakini kama alivyosema AshaDii tunawamiss sana.
May God bless you all
mayasa...dah!...nalimiss hili jembe.
huyu kiumbe mayasa sijui yupo wapi!.popote alipo Mungu amtangulie kwa kila alifanyalo afanikiwe.amen.
HUSNINYO alaaniwe milele na siku ya mwisho aingie moto wa jehanam.
NAKUPENDA SANA ASHADII...
roger
....haswa Lizzy, Gaga, Michelle, Belinda Jacob, Carmel,....nyamayao....dahhh
Mbu we umewamiss wadada tu!? Lol
Am missing them too, maty, Carmel, WoS!
Aisee kiti kinanifaa sana mikoba yote nimeishakabidhiwa hivi King'asti kaenda wapi au hii wikiendi kapata pedesheeee
Maombolezo ya kupata buzi nasikia umelichuna hadi kuchahehehe! nilikua namalizia maombolezo jamani,niwieni radhi,lol
Maombolezo ya kupata buzi nasikia umelichuna hadi kucha
Aseeee!!
Duh!!!
Bigi amezeeka sasa!! haina budi kupumzika.
Bigi amemwachia The finest..
Bigi anapumzika.
Bigi anakunywa biya na Fidel na Teamo,
Bigi Anamkaribisha RR kitimoto
Bigi hataki makabaila kaizer na Asprin
Bigi anawapenda sana akina King'asti na AshaDii
Lakini Bigi amepumzika, imempasa kufanya hivyo. utu uzima dawa!!
Hahaha!! Boss kwahiyo mtu kaishaning'inizwa tayarisiku hizi hawaiti kuchuna..lol
wanaita 'kuchinja ' lol
King'asti he's tempting you to do what??now u ar tempting me. me lov u more bigi, kweli kabisa!
and me miss ur 'duuh,aiseeeh' thing
Hahaha!! Boss kwahiyo mtu kaishaning'inizwa tayari
hivi Mynameisyourname yuko wapi jamani nae,no name je?Kiranga pia nammiss bila kumsahau genekai,mom,shishi,oh cheusi mangala!
Alaaa kumbe ndio maana nilisikia binti mmoja anaongea na simu anamwambia mwenzake kuwa jana kachinja sasa watu wakawa wanashangaa nikiwemo mimi sasa nimeelewa alikuwa anamaanisha nini lolwakikukamata wanapigiana simu
twende tukamchinje mtu leo...lol ujue umeumiaa lol