Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
mpwa tanesco kikapu mbona juzi sana....sisi tulianzia pale gymkhana nje ambapo sasa hivi wamejenga SHERATON/MOVENPICK/SERENA.....wapi SALEHE ZONGA???
Ama kweli mji umebadilika sana.....
mpwa tanesco kikapu mbona juzi sana....sisi tulianzia pale gymkhana nje ambapo sasa hivi wamejenga SHERATON/MOVENPICK/SERENA.....wapi SALEHE ZONGA???
mpwa tanesco kikapu mbona juzi sana....sisi tulianzia pale gymkhana nje ambapo sasa hivi wamejenga SHERATON/MOVENPICK/SERENA.....wapi SALEHE ZONGA???
Mpwa unadiriki kuandika Tanesco ni juzi?
Labda wewe unaifahamu viwanja vya Tanesco baada ya kuongezwa kipande cha netball na zile pitch nyingine za kikapu...
Tanesco ninayozungumzia mimi ni enzi ile kuna pitch moja tu usawa wa mbuyu pale, wakati huo Gwantwa Mwasakyeni anaokota tu mipira kuwarushia kina Yassin Chogo, Shaban Tolu, Mbembenwe (hili jina sina uhakika kama nimepatia spelling) yule point guard wa Chang'ombe by then...
Enzi ambayo Tanesco wana timu yao na ina wachezaji lukuki tu wazuri ukiacha wale wa Jogoo, Pazi na Vijana...
Wapiga dunk maarufu walikuwa ni kina Dudu marehemu kaka yake Henry Mwinuka, halafu kuna yule mtoto wa Jaji Warioba aliyekuwa anachezea timu ya Oystebay...
Ama kweli mji umebadilika sana.....
ndio maana nakwambia juzi...pazi walianzia gymkhana nje pale ndio wakahamia tanesco baadae baada ya kujenga sheraton pale...huyo aluta warioba nae wa juzi kama mimi na wenzie wa pale half court kwa kimarrio obay. ngoja niishie hapa.
Mpwa unadiriki kuandika Tanesco ni juzi?
Labda wewe unaifahamu viwanja vya Tanesco baada ya kuongezwa kipande cha netball na zile pitch nyingine za kikapu...
Tanesco ninayozungumzia mimi ni enzi ile kuna pitch moja tu usawa wa mbuyu pale, wakati huo Gwantwa Mwasakyeni anaokota tu mipira kuwarushia kina Yassin Chogo, Shaban Tolu, Mbembenwe (hili jina sina uhakika kama nimepatia spelling) yule point guard wa Chang'ombe by then...
Enzi ambayo Tanesco wana timu yao na ina wachezaji lukuki tu wazuri ukiacha wale wa Jogoo, Pazi na Vijana...
Wapiga dunk maarufu walikuwa ni kina Dudu marehemu kaka yake Henry Mwinuka, halafu kuna yule mtoto wa Jaji Warioba aliyekuwa anachezea timu ya Oystebay...
Mkuu umenikumbush mbali sana, bila shaka utakuwa unamfahamu huyu mchizi wangu Shaban Kazumba ambaye alichezea Pazi ile ambayo ilialikwa Marekani miaka 90's
Mchizi wangu Shabob sasa anakinusha Germany yuko ndani ya Humberg.
Sijakuelewa! ILA MIMI NIMEJILOWEKA KWENYE BARAFU MIKONO, NAJIFUA KWA IJUMAAA HII, NASIKIA BINTI MLOKOLE KUFANYIWA HOT TALK! Hahaaaaaaaaaaaaa! I CANT WAIT TO TEAR HER INTO PIECES! Na mlokole kweli kweli sio hawa BIKRA ZA MASIKIO!
Sasa on the mean time nimejiloweka! ATAENIHITAJI ANI MENTION TO NA ALERT!
Haswa mkuu Shaban Kazumba ndiye Shaban Tolu maana wakati huo yeye ndiye alikuwa mchezaji mrefu kuliko wote na alicheza Centre "Big Man" pale Pazi...
Sikua najua huyu jamaa yupo wapi maana ile timu ya Pazi wachezaji wengine walifariki na wengine wapo Bongo kama Nyembela yupo EATV...
Kuna wakati fulani nakumbuka kama alienda Afrika Kusini kama sikosei na kina John Ntambwe, baada ya hapo sikujua kilichoendelea...
Ha ha haaaa halafu hichi kideo wala hakimaliziki, tangu jana natizama hakiishi.
kaka kuna watu wamezaliwa wameikuta sheratoni/serena tumo nao humu....wengine hawajui hata kulikuwa na embassy hotel!!
kweli kabisa hiyo embassy hotel ilikuwaga wapi?
kaka kuna watu wamezaliwa wameikuta sheratoni/serena tumo nao humu....wengine hawajui hata kulikuwa na embassy hotel!!
Haswa mkuu Shaban Kazumba ndiye Shaban Tolu maana wakati huo yeye ndiye alikuwa mchezaji mrefu kuliko wote na alicheza Centre "Big Man" pale Pazi...
Sikua najua huyu jamaa yupo wapi maana ile timu ya Pazi wachezaji wengine walifariki na wengine wapo Bongo kama Nyembela yupo EATV...
Kuna wakati fulani nakumbuka kama alienda Afrika Kusini kama sikosei na kina John Ntambwe, baada ya hapo sikujua kilichoendelea...
Unaikumbuka Bush Trekker?
Ushatumia popcorn za shngapi?
ha ha ha ha ha sasa hivi kuna barclays house/amani place etc bushtrekker pale lilikuwa TDFL building kulikuwa na duty free ndio ilikuwa supermarket yetu! wewe una kumbukumbu hio nisingeikumbuka kabisa
Yup...sawasawa kabisa! Kulikuwa na duty free/ supermarket hapo.
I told you...I'm from here, I didn't come here.
Halafu nimeona mlikuwa mnamzungumzia marehemu Mwinuka yule b-baller. Alikuwa anaitwa Henry au Hope Mwinuka.
Najua A level alisoma SRSS
Yup...sawasawa kabisa! Kulikuwa na duty free/ supermarket hapo.
I told you...I'm from here, I didn't come here.
Halafu nimeona mlikuwa mnamzungumzia marehemu Mwinuka yule b-baller. Alikuwa anaitwa Henry au Hope Mwinuka.
Najua A level alisoma SRSS